kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Nasisitiza yislma sio dini bali ni mila na desturi za kiarabuShida dini ya kiislamu haijitoshelezi ikibaki peke yake ndo maana kila siku wanahainga na YESU KRISTO
Uislam hauna uwezo na hauna miguu ya kusimama peke yake na mungu wa kiislamu bila kupiganiwa ujue hamna kitu
Wewe na nani hamna mambo ya kipumbavu?Iko siku watapasuana, huku Moshi hatunaga muda huo wakipumbavu!!
Kwahy Waislamu mnaenda kufundishana vitu ambavyo mnavijua tayari?Mdahalo unaitwa Mohammad and Jesus,
Hapo kinachoenda kuangaliwa ni mafundisho ya manabii hao wawili kama walivyozungumzwa katika dini ya uislamu, kwani nyie mmeelewaje, au mnadhani waislamu wanamuona vipi Yesu???
Sisi waislamu tunapinga tu mnavyomuita Yesu Mungu, ila still kwenye uislamu Yesu anatambulika kama miongoni mwa wajumbe wa mwenyezi Mungu na masihi
Kwenye Quran hakuna Yesu Kuna issa ni watu wawili tofauti kabisa ,wenye historia tofautiYesu ni Mungu hiyo ni kwa imani yenu, kwetu sisi waislamu Yesu ninmiongoni mwa manabii, na katika mdahalo huo kinachoenda kuongelewa ni mafundisho ya Yesu na Muhammad kulingana na Qurani, kwani hapo nyie shida mnaona wapi???
Mtanange baina ya Waislamu dhidi ya Waislamu?Mi sijui! Mi nachosubiria ni mtanange tu.
Kitabu Chao hakimtambui Yesu kinamtambua Issa, ila wanalazimisha Issa ndio Yesu ili kupotoshahiyo ni mtizamo wa kikristo, na katika imani nyingine wanamtizamo tofauti. So ni kusikiliza na mwisho kunakukubaliana au kukatiliana.
Maana kila mtu anahoja zake kwa kitabu chake
Kwani mkuu bible ya kiswahili ina Jesus?Kwenye Quran hakuna Yesu Kuna issa ni watu wawili tofauti kabisa ,wenye historia tofauti
YESU /Jesus /Yehoshua /Yasu zote maana ni mojaKwani mkuu bible ya kiswahili ina Jesus?
Its a matter of language mkuu, kama wewe ni mdau wa hizi mbaga utaelewa kua its a matter of languageKitabu Chao hakimtambui Yesu kinamtambua Issa, ila wanalazimisha Issa ndio Yesu ili kupotosha
Ndio maana hapo hawajaandika
Issa vs Muhammad,wameandika Jesus vs Muhammad,
Wangeandika Issa vs Muhammad wala watu wasingeona uchochez
Saa ajabu wewe ni Shia ambaye mwenzako Sunni anakuona kafiri au Sunni mwenzako Shia anakuona kafiriMnakuja Mbio Hadi Mnakosea Kuandika Tuliza Kipago we Kafiri.
Tulieni dawa ziwaingie mdahalo hakuna kusitishwaNatoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Sikweli tumesoma lugha tunajua ,Its a matter of language mkuu, kama wewe ni mdau wa hizi mbaga utaelewa kua its a matter of language
Mleta Mada Ndo Kapandisha Kisukari Na Presha Juu huyu Anaonekana Ana Kanisa Anaona Isije Mdahalo UkawasanuA Kondoo Wakakimbia Zizini.Ushapadisha kisukari broo tulia ustadhati
Nani kakudanganya uislam umekamilika ilo liko waziShida dini ya kiislamu haijitoshelezi ikibaki peke yake ndo maana kila siku wanahainga na YESU KRISTO
Uislam hauna uwezo na hauna miguu ya kusimama peke yake na mungu wa kiislamu bila kupiganiwa ujue hamna kitu
Issue ni kuwa mdahalo wa upande mmoja japo binafsi sijui hii hofu ya wana JF imetokea wapi?Woga wa nini sasa? mnajiita wasomi halafu mnaogopa midahalo kwani anatukanwa mtu?tusikilize then tuchambue,dini yako ikiwa ni ya kweli na huna wasiwasi nayo hupaswi kuogopa midahalo.
Its a matter of language mkuu, kwani mkuu egypt na Misri ni tofauti.YESU /Jesus /Yehoshua /Yasu zote maana ni moja
Issa Ina maana tofauti kabisa
🤣🤣Na kwakweli wanajitahidi kumpiganiaShida dini ya kiislamu haijitoshelezi ikibaki peke yake ndo maana kila siku wanahainga na YESU KRISTO
Uislam hauna uwezo na hauna miguu ya kusimama peke yake na mungu wa kiislamu bila kupiganiwa ujue hamna kitu