Huo mdahalo unaweza ukadhalilisha uisilamu pia, hofu ya nini.
Ngoja nisubirie huo mtanange.
Ujinga kabisaBanana republic badala wataalamu wafanye mkakati liitwe kongamano la ujasiriamali uwanja wa taifa. Linaletwa shindano la dini za kigeni.
YESU ni Mungu ,Yesu anatuma manabii na mitume
Usimuweke daraja moja na marehemu Muhammad
Kitabu Chao hakimtambui Yesu kinamtambua Issa, ila wanalazimisha Issa ndio Yesu ili kupotosha
Ndio maana hapo hawajaandika
Issa vs Muhammad,wameandika Jesus vs Muhammad,
Wangeandika Issa vs Muhammad wala watu wasingeona uchochez
Kwenye Quran hakuna Yesu Kuna issa ni watu wawili tofauti kabisa ,wenye historia tofauti
Sikweli tumesoma lugha tunajua ,
YESU kwa kiarabu ni Yasu na maana ni moja
Issa Haina maana moja na Yesu
Mngedili na issa ambaye ni tofauti na Yesu
Huyo masihi Issa sio Yesu, Waislamu Kwan mna matatizo gn ya uelewa?Walivyo mambumbu wanadhani Yesu ni wa kwao peke yao! Kumbe kwenye uislamu kwetu yupo, ni miongoni mwa mitume ya Allah.
Kama wao wanaona Masihi Issa mwana wa Mariam ni umoja katika utatu au mtoto wa Mungu, kwetu sisi uislamu ni matusi.
Hivyo tunatumia hiyo njia kuelimisha jamii ya kiislamu ifahamu hivyo!
Kama wao wana ushahidi wa juu wanachokisema tukutane kwa Mkapa. Waje kwa mdahalo!
Mdahalo unamhusu Jesus siyo Yesu. Nimeangalia kamusi ya Kiswahili hakuna neno JesusHuyo masihi Issa sio Yesu, Waislamu Kwan mna matatizo gn ya uelewa?
Kwanini unaweweseka kabla mambo hayo hayajayokea? Na kwanini unahisi ukristo utadhalilika?Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Wapumbavu hawawezi kuelewa nilichoandika.Mdahalo unamhusu Jesus siyo Yesu. Nimeangalia kamusi ya Kiswahili hakuna neno Jesus
Waislamu c mnasema kuran imeshushwa kutoka mbinguni, inakuwaje unasema kuran imetokana na Biblia ambayo mnaisema imeandikwa na watuKwanini unaweweseka kabla mambo hayo hayajayokea? Na kwanini unahisi ukristo utadhalilika?
By the way, Quran imetokana na Biblia. Mambo mengi yaliyo kwenye Quran yametoka kwenye Biblia na siyo other way around. Sasa kwanini unaogopa mapema hivi.??
Habari zilizopo humo, kuna ambazo zimetolewa kwenye biblia.Waislamu c mnasema kuran imeshushwa kutoka mbinguni, inakuwaje unasema kuran imetokana na Biblia ambayo mnaisema imeandikwa na watu
Nan alizicopy kutoka kwenye Biblia kuja kwenye kuranHabari zilizopo humo, kuna ambazo zimetolewa kwenye biblia.
Hata wewe unajiona mjanja wakat dini ya mudi uongo tuuMleta Mada Ndo Kapandisha Kisukari Na Presha Juu huyu Anaonekana Ana Kanisa Anaona Isije Mdahalo UkawasanuA Kondoo Wakakimbia Zizini.
Mdaharo wa upuzii tuuTulieni dawa ziwaingie mdahalo hakuna kusitishwa