Uchaguzi 2020 Jumuiya za Madola ziheshimu maamuzi yetu watanzania

Uchaguzi 2020 Jumuiya za Madola ziheshimu maamuzi yetu watanzania

Zanika

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
1,316
Reaction score
752
Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.

Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.

Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.

Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.

Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.

Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.

Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.

G
 
Unaonaje ukianza kwa kumshauri Jiwe aheshimu matakwa ya Watanzania!

Unaonaje ukianza kumshauri Jiwe aache uoga kiasi cha kufikia kubana bandwidth na social media!!!
 
mie kama mtz mzalendo naunga mkono kabisa jumuia ya madola kuingilia uchaguzi fake uliofanyika majuzi...karibuni sana tz ikiwezekana muondoke na jiwe hata kama kizungu hajui!.
 
Jumuiya husika zinaheshimu maamuzi yetu ndiyo maana tulivyowaonyesha live tulivyowadaka na mikura yenu feki kwenye vikapu na mabegi ndiyo wanatusaidia kupaza sauti ili nyie mumiani wa kijani muheshimu maamuzi yetu.
 
Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.

Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.

Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.

Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.

Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.

Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.

Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.

G
Pumba.
 
Jumuiya husika zinaheshimu maamuzi yetu ndiyo maana tulivyowaonyesha live tulivyowadaka na mikura yenu feki kwenye vikapu na mabegi ndiyo wanatusaidia kupaza sauti ili nyie mumiani wa kijani muheshimu maamuzi yetu.
 
Jumuiya husika zinaheshimu maamuzi yetu ndiyo maana tulivyowaonyesha live tulivyowadaka na mikura yenu feki kwenye vikapu na mabegi ndiyo wanatusaidia kupaza sauti ili nyie mumiani wa kijani muheshimu maamuzi yetu.
Unamaanisha Yale mabegi ya kula feki mliyoyaandaa?
 
Back
Top Bottom