Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu nilichokuuliza, kama huna jibu PIGA KIMYA!!Unazungumzia mlivyokuwa mnajazana kwenye mikutano na humu mitandaoni mkaacha kwenda kupiga kura?
Ulitaka kikundi cha Amsterdam ndo kishinde?Acha wazimu, hayo yaliofanyika sio maamuzi ya watazania, ni maamuzi ya kikundi cha wahuni wachache kikiongozwa na jiwe.
Unachokiita "small community waliopo kwenye social media" Kikiwa ni small engine ya Vibaraka (Puppets) wanaotumiwa na Mabeberu, Wezi nk wanaotaka kuinunua nchi yetu kwa kuharibu amani tuliyonayo. Hao lazima tuwaogope kuliko Ukoma. Na hii ndio sababu sisi Watanzania kwa wing I safari hii tumeichagua CCM kwa kishindo.Jibu nilichokuuliza, kama huna jibu PIGA KIMYA!!
Kwa hiyo ukiwa na mtoto wakoAcha wazimu, hayo yaliofanyika sio maamuzi ya watazania, ni maamuzi ya kikundi cha wahuni wachache kikiongozwa na jiwe.
Uliripoti Tume?Nyie ndio wa kwanza kusema Tanzania ni nchi huru halafu mnatuwekea hapa picha za Rais wa zamani wa Burundi ili tumwamini anachokisema! Wangese sana nyie. Yaani mnataka tumwamini huyu fara wakati sisi wenyewe tulikuwepo kwenye vituo vya kupigia kura na kuona makura yenu yakiingizwa vituo kwenye vikapu. Mna akili kweli?
Akili za kipumbavu kabisa hizi!Unachokiita "small community waliopo kwenye social media" Kikiwa ni small engine ya Vibaraka (Puppets) wanaotumiwa na Mabeberu, Wezi nk wanaotaka kuinunua nchi yetu kwa kuharibu amani tuliyonayo. Hao lazima tuwaogope kuliko Ukoma. Na hii ndio sababu sisi Watanzania kwa wing I safari hii tumeichagua CCM kwa kishindo.
Nakushauri tii sheria bila shuruti. Na Fanya utafiti kama kweli hao wanaowashauri wanaitakia mema Nchi yako na hayo wanayotafuta kifichoni yatasaidia nini Jamii yako ma Taifa lako.Tuacheni tuandamane. Waoga jifungieni ndani. Nchi huwa ina akina Nyerere na Mandela na nyie wengine. hatuwe wote kuwa akina Nyerere na Mandela.
Ukikua utaaachaTumepiga KTUMEPIGA KURA TUKAIPA CCM USHINDI NA WEWE NI MMOJAWAPO ULIEICHAGUA CCM
Naona Zanika unajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe kweli yajayo yanafurahisha.Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Utajiri wa dawa haudumu.Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Kwanini msijaribu kujikosoa wenyewe kwa uhalifu mliofanya? Haya yatawaandamaneni hata nyie.We we hukupiga kura unalalamika tu