Uchaguzi 2020 Jumuiya za Madola ziheshimu maamuzi yetu watanzania

Uchaguzi 2020 Jumuiya za Madola ziheshimu maamuzi yetu watanzania

Yaani ziheshimu wezi na wizi?? Jiwe icc inamuita.

Siro usicheze na maandamano ya watanzania utaishia ICC halafu utaiacha familia yako
Mnadanganywa sana na kitu ICC ,akitangazwa huwezi kupinga popote na hiyo ICC mpaka tuwaue kwanza mnaweza kutushtaki na tena mpaka mahakama za ndani zisiwape haki ndipo mtupeleke ICC na vilevile Prof. Kabudi anaweza kuchomoa nyaya hata kabla Lissu hajatuchafua ni muda tu utaona mwenyewe.
 
Acha wazimu, hayo yaliofanyika sio maamuzi ya watazania, ni maamuzi ya kikundi cha wahuni wachache kikiongozwa na jiwe.
Unaweza kutuwekea ushahidi?


1604269378830.png
 
Hahaha mbona sisi tulipiga kura kuiondoa ccm, zakwetu zilienda wapi?!
 
Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.

Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.

Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.

Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.

Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.

Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.

Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.

G

Sio watanzania wameamua bali vyombo vya dola. Na kila kilichofanyika kufanikiasha utawala huu wa dola tume ona kwa macho yetu.
 
Watuache kama tulivyo mbona wao wanamfunga assange, kumsaka kwa udi snowden sisi hatusemi sio kwamba hatuoni makosa Yao, la hasha , ni kwamba hayatuhusu..period!!!
 
Watuache kama tulivyo mbona wao wanamfunga assange, kumsaka kwabudi snowden sisi hatusemi sio kwamba hatuoni makosa Yao, la hasha , ni kwamba hayatuhusu..period!!!
Yani man hata wao Marekani now sio shwari kwa sababu ya Uchaguzi ni full matamko na mapolisi wapo na magari mitaani na wameua watu weusi kwa kutumia nguvu sana ila leo wanajifanya wanatoa macho Tanzania ,wachonganishi wapo Tweeter na walipewa blue tick dah inauma sana jamani watanzania wanavyotuchafua.

Cheki huu mkwara kwa Serikali ya Marekani

We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during United States' elections this week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.

I
 
Sio watanzania wameamua bali vyombo vya dola. Na kila kilichofanyika kufanikiasha utawala huu wa dola tume ona kwa macho yetu.
Wewe hukupiga kura. Sisi tuliopiga ndio tumeiweka CCM madarakani.
 
Wewe hukupiga kura. Sisi tuliopiga ndio tumeiweka CCM madarakani

Nasema hivi, upuuzi wote uliofanywa na genge la wakora wa ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola vinavyotumika vibaya, tumeona kwa macho yetu. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Nasema hivi, upuuzi wote uliofanywa na genge la wakora wa ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola vinavyotumika vibaya, tumeona kwa macho yetu. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Mapovu yatawaisha taratiiibu halafu maisha yataendelea mtahudumiwa na Serikali ya CCM
 
Mapovu yatawaisha taratiiibu halafu maisha yataendelea mtahudumiwa na Serikali ya CCM

Huo Ni ukweli mchungu kuwa ccm Ni kundi la wakora wenye madaraka. Kama Ni kuhudumiwa hata wakoloni walituhudumia maana sio hisani, bali Ni kodi za wananchi.
 
Tutayapinga vikali mapinduzi haramu ya CCM ya October 28.
 
Hatimaye Tanzania tumemshinda Shetani
Kwa kweli watanzania wamewaonyesha mabeberu ni jinsi gani walivyoamka na hata kukataa kuandamana na hao vibaraka wao sijui watawalipa nini kama waliwekeza!!!!
 
Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.

Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.

Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.

Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.

Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.

Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.

Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.

G

Ipo tofauti ya wananchi kupiga kura ili kuwapata washindi.Na tayari kuwa na washindi mfukoni zoezi la kupiga kura likawa Kama kutimiza formula tu.
 
Back
Top Bottom