Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakipiga ban ya kuimport mafuta Tz ndyo utajua kama maamuzi wanayo au hawana.Bahati mbaya hawana uwezo wa kuamua tofauti hao madola.
Wakipiga ban ya kuimport mafuta Tz ndyo utajua kama maamuzi wanayo au hawana.
Bange, bange, bangii..Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Maamuzi ya wizi? Kila mmoja atafute wapi atapata haki yakeNianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Sijui miccm INA akili gani. Unadhani kungelikuwa maamuzi ya haki Luna mgombea au watu angelihangaika? Hakuna maamuzi ya watanzania, no uporaji was hakiAcha wazimu, hayo yaliofanyika sio maamuzi ya watazania, ni maamuzi ya kikundi cha wahuni wachache kikiongozwa na jiwe.
Hayo ni maamuzi ya mtu na sio ya watanzaniaNianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Kulalamika na kuhangaika sio kihalalisho ya kuonewa, Labda kuficha AibuSijui miccm INA akili gani. Unadhani kungelikuwa maamuzi ya haki Luna mgombea au watu angelihangaika? Hakuna maamuzi ya watanzania, no uporaji was haki
Maamuzi gani tumefanya sisi wananchi wa Tanzania? Ya kuchapisha kura Jamana Printers chini ya TISS na kuziingiza kwenye masanduku?Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Mkuu umesema mengi lakini rudi nyuma kidogo.Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Kura ni siri ya mpigaji mwenyewe hivyo Inawezekana familia ya Lipumba walipigia kura Wagombea wa CCM, kwenda na Mkeo/Mume au Mwanao kituoni hakukufanyi upigiwe kura sababu hilo in jukumu la siri analofanya mpigaji kwa hiari yake kuchagua mgombea anayemtaka.Mkuu umesema mengi lakini rudi nyuma kidogo.
Marehemu Raisi Mkapa kwenye kitabu chake ameongelea kuwa angefurahi kama nchi hii ingekuwa na tume huru ya uchaguzi. Naamini Mkapa unamfahamu, sasa jiulize kwa nini ameandika hivyo.
Pili jana nimemsikia Lipumba akitoa mfano wa mgombea wao ambae amekwenda kwenye kituo cha kupigia kura na wana familia saba na akapiga kura, matokeo yalipotoka amepata kura sifuri,0, zilch.
Mkapa na Lipumba huwezi ukasema ni aina ya Lissu, mmoja ni CCM na mwingine alikuwa na mahusiano mazuri na CCM. Ukisipo heshimu maamuzi ya watanzania usishangae wengine kutonyamazia ujinga unao endelea.
Kama mlipiga kura yale mabegi ya Mambosasa kura zake zilipigwa na nani?Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Ndilo tatizo la mawazo ya ombaomba. Yaani wewe umekaa hapo kuwapendeza watu ili wakupe misaada. Lini utajitegemea? Hakuna nchi dunianiani imewahi kuendelea kwa kusaidiwa. Nani akufanye ujitegemee ili uondokane na kupewa makombo kwa kubadilishana dhahabu.Sawa wataheshimu ila wakikata mrija wa madola ndio tutajua maana ya donor country
Huo nao utauita uchaguzi?!! Oneni aibu!! Sikutegemea kama mbwembwe zote zile za awamu ya tano, mala kila sehemu kwenye tv ni kishindo cha awamu ya tano tu, lakini mwisho wa siku unafanyika uchafuzi kiasi hicho!!!Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Hatuko huru kihivyo. Kuna mikataba ya kijumuia ambayo kama taifa tulisaini na hiyo ndiyo inayotuwajibisha.Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Kweli wewe ni ZWAZWA!! hivi unafikiria nchi kujitegemea ni jambo dogo?? Acheni kujidanganya, haya miaka mitano hiyo imeisha mliyoambiwa Tz, inaenda kuwa donor County, iko wapi?? Kwa staili hiyo ya mtu mmoja ndio anaamua pesa ya bajeti itumike vipi hata kwa mambo ambayo hayakuwa kwenye bajeti utegemee mtakuja kuendelea?!!!Ndilo tatizo la mawazo ya ombaomba. Yaani wewe umekaa hapo kuwapendeza watu ili wakupe misaada. Lini utajitegemea? Hakuna nchi dunianiani imewahi kuendelea kwa kusaidiwa. Nani akufanye ujitegemee ili uondokane na kupewa makombo kwa kubadilishana dhahabu.