Juventus Special Thread


Hahahaha!!! Unaniua kwa cheko hapa maana kila mtu ananishangaa....nyie mmepinda na kunyongorota kabisaaaa!!! Shikamoo wote...... Ntuzu naomba ucheki replay tena hawa jamaa jana wamecheza vizuri wengi hawakutegemea wana haki ya kuongea....
 
Last edited by a moderator:
Ahahahahahahahaha hivi TUPACified kapigwa Ban kweli?

Daddy embu hakikisha kama kapigwa ban unipe majibu najitolea kuwa wakili wake hii adhabu ibadilishwe.... Sindano zimuingie akiwa humu humu I don't want to loose anyone here.
 
Last edited by a moderator:


Okay Mkuu unaweza kuongea lkn kwa hii juve sio km iko Na mpira km ule ulioibwaga Madrid miaka ile. Sioni kabisa vizazi vya mpira ktk hiyo timu yenu.

Wiki ijayo sio mbali utakuja niambia mwenyewe. Ancelloti ni mfaleme huko kwenu Italy.
 
Last edited by a moderator:

Teh teh teh, naona kijana bado ana mawenge ya shughuli ya jana mpaka kasahau nyakati.
Leo media yote inamponda mchezaji ghali duniani kwa kuvurunda jana, wamemuandama kijana wa watu bure bila kuelewa ya kuwa hakuwa na cha kufanya mbele ya Chiellini
Niliwauliza juzi hawa kina Salamander kwa nini Khedira hapati namba wakanijibu kisiaasa, sasa jana wakatuletea yule kichwa maji Ramos kwenye Midfield ya Arturo, Marchisio na St.Pirlo, akaishia kurukaruka tu kama kabanwa na mkojo, Vidal katawala dimba kama anacheza na mji mpwapwa vile
Sebuleni kwa Madrid huwa tuna historia ya kupeleka dhahma pale, Del Pierro alishasujudiwa kwa makofi na vigelegele siku tunamtwaa mwali pale, wiki ijayo itakua zamu ya Andrea
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!!! Unaniua kwa cheko hapa maana kila mtu ananishangaa....nyie mmepinda na kunyongorota kabisaaaa!!! Shikamoo wote...... Ntuzu naomba ucheki replay tena hawa jamaa jana wamecheza vizuri wengi hawakutegemea wana haki ya kuongea....

everlenk Jana sikutizama kabisa mpira lkn kwa juve hii wala haitishi
 
Last edited by a moderator:

Dah!!! Kunywa kapepsi kabaridi huko uliko nakuja kulipa.... Hivi unaanzaje kukaa kimya kwa game mlilolicheza jana? Mnaanzia wapi? Ronaldo hadi anamfokea refa chezea angekuwa mwingine red ingemuhusu pale......jana mmeushangaza ulimwengu kwa kweli wale waliotupia mapicha yao ya Simba na Swala wameaibika, Swala kala Simba hahahahahahaha!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:


Najua mamito wewe hasimu wako ni Madrid Na ombi lako kuu ni bora ukutane Na juve kuliko watoto Wa ancelloti lkn kwa ninavoona juve kashatupwa nje tayari.
 
Okay Mkuu unaweza kuongea lkn kwa hii juve sio km iko Na mpira km ule ulioibwaga Madrid miaka ile. Sioni kabisa vizazi vya mpira ktk hiyo timu yenu.

Wiki ijayo sio mbali utakuja niambia mwenyewe. Ancelloti ni mfaleme huko kwenu Italy.

Hutaki kabisa kutuona mabuluda tukicheza fainali, Inshallah
 
everlenk Jana sikutizama kabisa mpira lkn kwa juve hii wala haitishi

Kumbe na match hukuangalia mwanakwetu halafu bado unamashaka na soka la Bianconeri, haikua buubaa kama zile zenyu mkikutana na team kubwa kama juzi mlivyocheza na Man Utd, sisemi mengi, katafute repy uangalie kwa utulivu halafu ndio urudi hapa
#FinoAllaFine
 
Last edited by a moderator:

Kwa budget finyu sana tunatandaza soka maridhawa kabisa, Ntuzu na team yake yenye mishahara ya kufuru kuanzia wafagizi mpaka kwa kocha na sugar daddy juu, they can only dream of playing soka maridadi kama la mabudula
 
Last edited by a moderator:
Daddy embu hakikisha kama kapigwa ban unipe majibu najitolea kuwa wakili wake hii adhabu ibadilishwe.... Sindano zimuingie akiwa humu humu I don't want to loose anyone here.

kuna watu wana maneno sana Jf, eti nipigwe ban ya mwaka mmoja, daaaaaaaah!!!!
 

hahahahhahaahha kichwa maji naniiiiiii!!!!????
 
Last edited by a moderator:
Kwa budget finyu sana tunatandaza soka maridhawa kabisa, Ntuzu na team yake yenye mishahara ya kufuru kuanzia wafagizi mpaka kwa kocha na sugar daddy juu, they can only dream of playing soka maridadi kama la mabudula

Ndo maana Boss wa Chelsea alitaka amlete Pep Guardiola pale darajani. Si kwamba Guardiola ni bora sana, hapana, ila aondoe ile roho ya kuzuia ambayo imeketi ndani ya timu.
 
Last edited by a moderator:

Juve mna kelele kweli wakati mna umri wa sterling hamjachukua ndoo ya uefa, ngoja niende sebuleni kwa mashetani nitarudi hapa wiki ijayo baada ya second leg ya bernabeu
 
Last edited by a moderator:
everlenk Jana sikutizama kabisa mpira lkn kwa juve hii wala haitishi

Najua mamito wewe hasimu wako ni Madrid Na ombi lako kuu ni bora ukutane Na juve kuliko watoto Wa ancelloti lkn kwa ninavoona juve kashatupwa nje tayari.
Ntuzu my dear nadhani unanielewa vizuri mimi siyo haters kiviiile penye ukweli huwa nasema, siyo kwa sababu eti ya RM nina wanangu pale CR7 na Chicha14 siwezi kuwachukia ,kiukweli Juve ya jana ilikuwa moto hata nami inanipa hofu tukikutana final..... Wameushangaza ulimwengu wengi waliobet jana wamelia ..........najua nawe ni timu RM so huwezi kuwakubali kirahisi Juve.
 
Last edited by a moderator:
hahahahhahaahha kichwa maji naniiiiiii!!!!????

Mwehu mmoja hivii, mpuuzi mmoja hivi sijui kala maharage ya wapi yulee
Ukichwa maji wake afanyie hukohuko, hao kina Chiellini, Barzagli, Bonucci wanamgeuza kitoweo muda wowote na pahala popote pale, eti Ramos ni midfield wa kucheza na St.Pirlo.....Ancelotti alitukosea heshima
 
Juve mna kelele kweli wakati mna umri wa sterling hamjachukua ndoo ya uefa, ngoja niende sebuleni kwa mashetani nitarudi hapa wiki ijayo baada ya second leg ya bernabeu

Ona oyaoya mwingine huyu hata unachokiandika hujui halafu unataka battle na mabudula, huyo kilikuu kazaliwa Brazil ikichukua kombe la dunia kule America, Juventus ya yule nguli aliyeenda kufundisha team ya kina Ntuzu ilichukua kombe lini?
Haya njoo ufute hizi kamasi kabla watu hawajaziona
 
Last edited by a moderator:


Hoja yangu mamito ni kwamba second leg bado haijachzwa. Ikichezwa Na tukapata matokeo Yake hapo tutaweza kusema.
 
Last edited by a moderator:
BTW Ntuzu naomba umtakie heri Mourinho kazaliwa leo ndo maana ana raha zote za dunia ukizingatia na Juve wamempa furaha kwanini asicheke, daddy Aleyn uwe unaona tag basi kuna kazi jana nimekupa umetekeleza?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…