Sweetheart nilikua kimya maksudically ili kujipa muda kukubaliana na uhalisia kuwa team yangu inarudi nyuma hatua nyingi sana msimu huu, kina Marotta wanazingua tu kwenye usajili
Lakini huwa nasoma michango yako na inanifariji kuwa niling'oa chuma mamy, nakulavuz sana na waambie kina Ntuzu waache kumendea usingizi wa Baba
Hahaha!!! Ulijuaje huyo ndo mwizi wako mkuu?? Nakulavus mo sweetheart, Ntuzu usikie maneno ya daddy wako Jozee....
My dear ng'ombe hazeeki maini na utu uzima dawa mimi bado nawaaminia mabruda,ni kajiupepo tu mambo yatakuwa sawa bado kuna tumaini naamini haitakuwa kama ile timu ya Anko Gang Chomba sitaki hata asikie atanishukia na mvua ya majibu balaa....lol.....
Kuondoka kwa Pirlo,Vidal na Tevez kwa wakati mmoja hilo ni pigo kubwa sana kwa Juventus,hasa kwenye kiungo na Ushambuliaji ingawa wamesajili (Khedira,Dyabala,Zaza,Mandzukic) Now wachezaji wanahitaji muda ili wazoeane but Khedira ni spana mkononi nina wasiwasi nae sana.All in all still Juve wana nafasi kubwa ya kutetea scudeto
Pale Serie A kungekuwa na timu moja ina ushindani mkubwa sana na Juve basi tungeshuhudia Juve anakamata nafasi ya pili au ya tatu.
Kwa nafasi za kiungo walizosajili ni za kawaida sana, pale walihitajika waweke mtu wa maana katikati.
Kule mbele wasidhani Morata anaweza akawika sana kama msimu ulioisha, sidhani kama itakuwa Rais. Hivi huyu Mandzukic ana umri gani, Juve wanapaswa kusajili watu wenye damu changa ambao wanaweza wakakaa hata kwa misimu minne mfululizo, hawa akina Mandzukic sehemu zao ni kama Man U, Galatasaray, AC Milan n.k
Mourinho eeeh how old ur,! Hiyo style yako ya uandishi imenifanya niulize, huwa nakuchukulia kuwa wewe ni 50+.Sweetheart nilikua kimya maksudically ili kujipa muda kukubaliana na uhalisia kuwa team yangu inarudi nyuma hatua nyingi sana msimu huu, kina Marotta wanazingua tu kwenye usajili
Lakini huwa nasoma michango yako na inanifariji kuwa niling'oa chuma mamy, nakulavuz sana na waambie kina Ntuzu waache kumendea usingizi wa Baba
Mourinho eeeh how old ur,! Hiyo style yako ya uandishi imenifanya niulize, huwa nakuchukulia kuwa wewe ni 50+.
Seria A siku hizi ni ligi ya wakongwe Di Natale, Totti, Klose, Pirlo, Tevez, Evra wote ni wakongwe but wamefanya vizuri
Pale Serie A kungekuwa na timu moja ina ushindani mkubwa sana na Juve basi tungeshuhudia Juve anakamata nafasi ya pili au ya tatu.
Kwa nafasi za kiungo walizosajili ni za kawaida sana, pale walihitajika waweke mtu wa maana katikati.
Kule mbele wasidhani Morata anaweza akawika sana kama msimu ulioisha, sidhani kama itakuwa Rais. Hivi huyu Mandzukic ana umri gani, Juve wanapaswa kusajili watu wenye damu changa ambao wanaweza wakakaa hata kwa misimu minne mfululizo, hawa akina Mandzukic sehemu zao ni kama Man U, Galatasaray, AC Milan n.k
Bianconeri wenzangu mnaonaje ujio wa cuadrado.?
Cuadrado anakwenda kucheza winga ya kulia? Tuna vijana wengi sana wa kucheza namba hiyo, sioni ni kwa namna gani Cuadrdo ata-improve team yetu.
Ukiwaacha Marchisio na Pogba, hatuna kiungo wa kati anayeweza kuamua mchezo uchezejwe, kwa maoni yangu hapo katikati ndio panahitaji kuimarishwa ila kina Marotta wamekazana na mawinga tu maana hata yule mkoloni ni winga matokeo yake ni kutupangia kina Padoin kwenye CM
Llorente kwaheri.
Safari njema, napata wakati mgumu kwamba huyu jamaa nitamkumbuka kwa lipi.
Sasa nimesikia Mzee upo Vinovo, hebu tuhabarishe yaliyojiri, maana simuelewi kabisa Marotta
huyu Lorente kwanini msimpeleke EPL kwa Arsenal au Man U?
huyu Lorente kwanini msimpeleke EPL kwa Arsenal au Man U?
Chuki zako kwa Man U zitakuua.......
Sweetheart naona mmepata kundi mchekea huko Europa