Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Hahahahaaa siwezi kuacha aisee
Sweetheart nilikua kimya maksudically ili kujipa muda kukubaliana na uhalisia kuwa team yangu inarudi nyuma hatua nyingi sana msimu huu, kina Marotta wanazingua tu kwenye usajili
Lakini huwa nasoma michango yako na inanifariji kuwa niling'oa chuma mamy, nakulavuz sana na waambie kina Ntuzu waache kumendea usingizi wa Baba
Last edited by a moderator: