Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

juve wanazingua sana .natazama mechi na chievo,tatizo lile lile,hatuwezi kufungua timu ilinayocheza defence.chievo wanatusumbua on counters na walipiga bao la pili refa kawanyima.sie kazi ni kutengeneza chances bila kuzitumia.timu zote zinatujua sasa kila anayekutana nasi anakaa nyuma,anapiga counters.i'm fustrated.
 
juve wanazingua sana .natazama mechi na chievo,tatizo lile lile,hatuwezi kufungua timu ilinayocheza defence.chievo wanatusumbua on counters na walipiga bao la pili refa kawanyima.sie kazi ni kutengeneza chances bila kuzitumia.timu zote zinatujua sasa kila anayekutana nasi anakaa nyuma,anapiga counters.i'm fustrated.

Kaka pole na frustration but at least we are winning pamoja na kwamba hatuchezi vizuri, na hii ndio sifa ya a great team, kupata matokeo wakati mnacheza vibaya.
Mimi nna imani sana na kikosi hiki.


BTW, Gang Chomba asije kuwa kapatwa na ugonjwa wa moyo, we need to keep a close eye on him!
 
Last edited by a moderator:
Naona Milan chupuchupu chupi kuchanika na Sassuolo utafikiri sio wale waliofanywa kitu mbaya juzi na Inter
 
juveeeeeeeee! Chapa mtu 2-1. Conte boys hawataki mchezo.
 
Kaka pole na frustration but at least we are winning pamoja na kwamba hatuchezi vizuri, na hii ndio sifa ya a great team, kupata matokeo wakati mnacheza vibaya.
Mimi nna imani sana na kikosi hiki.


BTW, Gang Chomba asije kuwa kapatwa na ugonjwa wa moyo, we need to keep a close eye on him!


ndugu zangu mie nipo na kihoro moyoni...
Maana hili jukwaa la michezo ndo jukwaa langu boora kabisa ambalo huwa nakuwa nalo huru pindi tu napoingia JF...

Lakini hii AC Milan inavyonitenda najiona kama nina RB na sitakiwi kukanyaga humu.

Ila dah wanasema ''Mswahili lake Sokoni, na Muungwana lake rohoni''...mie mwanakwetu langu rohoni.

Nina imani soon ntarudi katika winning truck...
 
Last edited by a moderator:
ndugu zangu mie nipo na kihoro moyoni...
Maana hili jukwaa la michezo ndo jukwaa langu boora kabisa ambalo huwa nakuwa nalo huru pindi tu napoingia JF...

Lakini hii AC Milan inavyonitenda najiona kama nina RB na sitakiwi kukanyaga humu.

Ila dah wanasema ''Mswahili lake Sokoni, na Muungwana lake rohoni''...mie mwanakwetu langu rohoni.

Nina imani soon ntarudi katika winning truck...

Pole sana!
 
ndugu zangu mie nipo na kihoro moyoni...
Maana hili jukwaa la michezo ndo jukwaa langu boora kabisa ambalo huwa nakuwa nalo huru pindi tu napoingia JF...

Lakini hii AC Milan inavyonitenda najiona kama nina RB na sitakiwi kukanyaga humu.

Ila dah wanasema ''Mswahili lake Sokoni, na Muungwana lake rohoni''...mie mwanakwetu langu rohoni.

Nina imani soon ntarudi katika winning truck...

ha ha haaaa!sassuoloo!
 
Pole sana!

mwe!umpe hongera bhana,na magoli yake ya kokoliko,jogoo kachelewa tena kapiga goli mbili dk za mwisho na kudroo.yaani Chomba huyu jogoo akibadili ratiba zake akawahi kuwika mtarudi kwenye track.
 
inter 2 fiorentina 1.Mazari chupuchupu,ile kipenga cha mwisho kimelia tu,katoka nduki sijui alifikiri akibaki ground refa ataanzisha mechi upya ha ha haa.kuna timu hata ukizifunga huamini,huna hamu nazo tena.
 
Haya na me nimerudi home, hiyo fixture list ya october umeiangalia vizuri juve2012?
Galatasaray na Milan, home na nna uhakika wa maximum points hapa, halafu kuna away fixtures za Fiorentina na Madrid, hapo sasa itabidi umuone mtabiri wako, Ziroseventytwo
 
Last edited by a moderator:
Haya na me nimerudi home, hiyo fixture list ya october umeiangalia vizuri juve2012?
Galatasaray na Milan, home na nna uhakika wa maximum points hapa, halafu kuna away fixtures za Fiorentina na Madrid, hapo sasa itabidi umuone mtabiri wako, Ziroseventytwo

mh,ngoja nimtafute pweza wangu zero!hiyo ratiba mh!ngoja nikanunue diclopar!bora usingeniambia kaka.
 
Last edited by a moderator:
Juve rest Pirlo but still keep derby dominance

Juventus continued to dominate neighbours Torino on Sunday by winning a niggly derby 1-0 with a Paul Pogba goal after resting playmaker Andrea Pirlo.

The Serie A champions completed their ninth match against Torino without conceding a goal, a run stretching back to 2002, and extended their unbeaten run in the fixture to 13.

The only goal came in the 54th minute when Carlos Tevez headed against the crossbar from a corner and Frenchman Pogba reacted quickly to bury the rebound for the visitors, amid suspicions of offside.

Juventus remained unbeaten this season with 16 points from six games, level with Napoli. AS Roma, who began the weekend in top spot with 15 points, were at home to Bologna later on Sunday.

Juventus coach Antonio Conte has made it clear he will rotate the squad this season and, having rested goalkeeper Gianluigi Buffon one week ago, it was 34-year-old Pirlo's turn on Sunday.

The match was predictably intense, with numerous untidy clashes in midfield and few scoring chances.

Torino, who last won the fixture in 1996, left Alessio Cerci alone in attack and Juventus also struggled to create openings with Carlos Tevez ineffective against the home defence.
 
Wakuu tumeshinda leo. Daah, sema msimu huu kama kiwango kimepungua hivi. Kila nikiangalia mechi zetu naona kama Conte anachelewa kufanya maamuzi. Juve hatuwezi kabisa kutumia wachezaji wa pembeni. Quagliarela anamwacha nje. Cros azipigwi. kiukweli leo tumeshinda ila nimeumia sana na kiwango tulichokionesha.
 
Wakuu tumeshinda leo. Daah, sema msimu huu kama kiwango kimepungua hivi. Kila nikiangalia mechi zetu naona kama Conte anachelewa kufanya maamuzi. Juve hatuwezi kabisa kutumia wachezaji wa pembeni. Quagliarela anamwacha nje. Cros azipigwi. kiukweli leo tumeshinda ila nimeumia sana na kiwango tulichokionesha.

Pamoja na imani yangu na hiki kikosi kuna muda karoho huwa kanauma nikuona the way Roma wanacheza, nawatamani sana wale jamaa.
 
Msimu huu Serie A kutakuwa na ushindani sana kwenye ubingwa Roma,Fiorentina na Napoli wanacheza vizuri sana.Kubadilisha makocha kumezibadilisha sana Inter,Napoli.I hope hata Milan Januari watafanya usajili na kuongeza ushindani otherwise mambo yatakuwa magumu sana kwao.
 
Balaa gani hili asubuhi asubuhi hii? Eti juve2012 ni nini hiki, au ndio kutishia kujamba wakati unahara?
 
Last edited by a moderator:
Mourinho nilishakuambia Juve mwaka huu tuna tatizo kubwa.hatuna mawinga kwa hiyo mabeki wanapanda sana kupeleka mashambulizi hadi wanapoteza defensive concentration.jambo hata comentators wanaliongea juve wako static uwanjani.hawafungui vyumba haraka kwa hiyo wakikutana na timu zinakaba sana na kujaa nyuma huwa hawatembei.hata goli la Bonucci sababu ni hiyo.amepewa mpira akakabwa,hakuwa na mtu wa kumpa mpira karibu,akalazimisha pasi kwa Buffon aliyelazimika kuacha goli wazi kufungua chumba kwa Bonucci.balaa naliona hapa lichsteiner aliyekuwa akiwasumbua Galatasaray katolewa kaingia Isla..
 
Halafu hatuko agressive kama mwaka jana!watu wanacheza kama wako mazoezini.Pogba anatafuta wa kumpasia hakuna watu hawafungui vyumba.kwa hali hii ubingwa wa seria a na UEFA tusahau.hii ni mechi ya 4 naona same serious problems!
 
Back
Top Bottom