Juventus Special Thread


Niliangalia mechi jana,Viola walifanya kosa moja tu biashara ikaishia hapo hapo still Juve hawakucheza kiwango kizuri sana.Conte ana pressure sana kwenye michuano ya ulaya jana nilimuona Nedved jukwaani alishangilia sana freekick ya Pirlo
 
Niliangalia mechi jana,Viola walifanya kosa moja tu biashara ikaishia hapo hapo still Juve hawakucheza kiwango kizuri sana.Conte ana pressure sana kwenye michuano ya ulaya jana nilimuona Nedved jukwaani alishangilia sana freekick ya Pirlo

Ni kweli unachosema Belo ila mechi ya jana ilikua na afadhali tofauti na ile ya kwanza, mechi ya kwanza hasa kipindi cha pili jamaa walitupeleka sana.
Jana at least tuliikamata midfield yao, hawakuwa wasumbufu sana zaidi ya dk 10 za mwanzo,
 
Last edited by a moderator:
Tevez again to the rescue.Watoto wamekaza sana.Controversial refereeing,forward haiko makini,Osvaldo kakosa sana magoli,Vidal leo kama kavuta bangi,hayupo uwanjani,hana hamasa,kakosa sana magoli,yote tisa,kumi ni refa.Italian serie a imeshuka kiwango sawa,na marefa nao shida gani?huyu refa hata marefa wetu bongo wana afadhali jamani Mourinho
 
Last edited by a moderator:
ushindi ni ushindi tu 1-0 muhimu point3 hata Juventus ingeshinda 8 kwa 7 muhimu point3.
 
Naona Mwanangu uko ktk timu yako na ligi yako!

Aaaah mi nipo pande za EPL na Chelsea na Jose Mourinho!

ha ha haa!ndio nyumbani kwangu huku mkuu,nikitoka "kazini" kule jamii intelligence nakuja huku kutuliza kichwa na "familia" yangu ya wastaarabu akina Mourinho shifta Belo Pazi Zeroseventytwo a.k.a pweza pachanya Viper na wengineo!karibu sana mkuu.Nitaanza kukutembelea hapo darajani nichangiechangie kwa kuwa sasa nimepata mwenyeji ilimradi unihakikishie hakuna harsh language bwana.
 
Last edited by a moderator:


Karibu sn Mkuu! Kule Kwetu hatuna lugha mbaya Mkuu nafikiri unanifaham! Hao jamaa zako hua wanakuja sn!

Nao msimu huu Italy kwenye UEFA wametolewa ktk raudi ya 16.
 
Last edited by a moderator:
Karibu sn Mkuu! Kule Kwetu hatuna lugha mbaya Mkuu nafikiri unanifaham! Hao jamaa zako hua wanakuja sn!

Nao msimu huu Italy kwenye UEFA wametolewa ktk raudi ya 16.

ahsante mkuu.Italia tuna safari ndefu kurudi kileleni.Calciopoli imetumaliza mkuu.Walidhani wanatukomoa Juve kumbe wanaikomoa serie a nzima hadi wao wenyewe.Saa hizi wanatia huruma Inter.laana ya uonevu inawatafuna wao na soka lote la Italy.Wengine tumeanza ushabiki na timu hizi zamani sana hata tv ilikuwa hamna ndio maana tunashindwa kuhama ila kiukweli Italia ya sasa ni kivuli cha Italia ya nyuma, si michezo tu,bali nchi nzima.Italy inayumba kiuchumi,labda wakubali kuwa chini ya Rumi(Vatican)
 


Kwakweli ata mimi Nilikua nalipenda sn kabumbu la Italy Lkn siku hizi limeshuka sn! Yani ata kwenye World cup najiuliza km kikosi cha Italy km kitafanya vzr km 2006.

Ngoja tuone itakavyokua Lkn Nina Mashaka kidogo na Wa Italy!
 

Mkuu wangu sikupata kuangalia hiii match, nilikua safari kidogo na kwa kweli Tanganyika ni nchi kubwa sana. Nadhani Scudeto tushaitia kwapani mpaka sasa, ni kukomaa na Europa tu kuanzia sasa
 
Last edited by a moderator:
Karibu sn Mkuu! Kule Kwetu hatuna lugha mbaya Mkuu nafikiri unanifaham! Hao jamaa zako hua wanakuja sn!

Nao msimu huu Italy kwenye UEFA wametolewa ktk raudi ya 16.
Ntuzu karibu sana kwa wana Bianconeri, kadi ya wanachama unaweza kumuona Viper
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli ata mimi Nilikua nalipenda sn kabumbu la Italy Lkn siku hizi limeshuka sn! Yani ata kwenye World cup najiuliza km kikosi cha Italy km kitafanya vzr km 2006.

Ngoja tuone itakavyokua Lkn Nina Mashaka kidogo na Wa Italy!


mkuu huko unavuka mipaka sasa...
We zungumzia soka lako la usajili tu, ila tukiingia kwenye timu ya taifa mtatukamatia nusu fainali ama fainali na kombe juu.
 
Salam wakuu! Leo kuna ule mpambano wa kufa m2 kati ya machampions 2 b Juventus Turin dhidi ya mabingwa wa copa italia watarajiwa yaani club iliyowahi kuchezewa na mchezaji bora kabisa hapa dunia yaani Diego Maradona hapa namaanisha S S Napoli.

Leo Napoli hawana cha kupoteza bali kulinda heshima, na kuendelea kujikita kwenye nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi. Game itaanza saa 4:45 usiku huu kwa saa za kibongo. Tukutane pale estadio st paul mjini nepol.

shifta, juve2012, obwato, Mourinho, pachanya, Viper, EMT tusikose.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…