Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,897
- 10,213
Niliangalia mechi jana,Viola walifanya kosa moja tu biashara ikaishia hapo hapo still Juve hawakucheza kiwango kizuri sana.Conte ana pressure sana kwenye michuano ya ulaya jana nilimuona Nedved jukwaani alishangilia sana freekick ya Pirlo