Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Belo sio kama mashindano hayawezi muziki wa Benfica mzito
Tutalifumuafumua kama ATM walivyolifanya Yutong la Chelsea
Forza Bianconeri, Forza Conte
Benfica wako pungufu tangu dk 66, una Vidal,Pirlo,Pogba,Tevez,Lorrente,Buffon,Chielini then Benfica anakusumbua nyumbani
Shughuli kushney.haya,hongera zao.Benfica ila kama tunashindwa timu kama hizi sijui zile za CL tutaziweza mwakani?
Acha hizo hata Real Madrid ya kina Ronaldo, Figo, Roberto Carlos, Zidane ilikuwa inatolewa makamasi na vitimu vidogo itakuwa Juventus hii?
Benfica wako pungufu tangu dk 66, una Vidal,Pirlo,Pogba,Tevez,Lorrente,Buffon,Chielini then Benfica anakusumbua nyumbani
Benfica wako pungufu tangu dk 66, una Vidal,Pirlo,Pogba,Tevez,Lorrente,Buffon,Chielini then Benfica anakusumbua nyumbani
Mkuu wape credit Benfica walikuja na game plan wakaitumia na ikafanya kazi. Kuwa mtu pungufu sio lazima ufungwe
Mkuu wape credit Benfica walikuja na game plan wakaitumia na ikafanya kazi. Kuwa mtu pungufu sio lazima ufungwe