Mmeona eeh?madhara ya kumkimbiza Bolt.kizunguzungu pwaa chali!chezea la vechia signora wewe.campioni di talia.wakitaka na haya wayachukue wampe inter,tutatwaa mengine.unamshusha juve daraja?hawana adabu hawa ngoja tuendelee kutwaa ubingwa mfululizo hadi wakome.we have proven them wrong.na waseme sasa kwamba tunapanga matokeo.waseme sasa?nasema hivi,semeni sasa?hamna adabu nyie waitaliano.ngoja niende kwenye forums zao nikawapashe.kila tukitwaa ubingwa naikumbuka calciopoli,nawakumbuka trezeguet,del piero,camoranesi,na wenzao,naitafakari hasara hii inayoendelea kuidhoofisha serie a kwa ajili ya mpuuzi mmoja tu aitwaye Moratti!nalia sana.hongera juve,hongera wadau wote wa italia.nitakuwa nikimwaga like kwa kila comment ya kiungwana kwenye thread hii kwa muda wa wiki hii yote.huree
Mourinho shifta Viper myao wa tunduru Chimunguru bologna ndetichia Belo obwato Ziroseventytwo "pweza"@pachanya
Pazi rubaman strong ruler .nawatumia salaam wale woote wenye kisebusebu na kiroho papo wakiongozwa na rais wao
gutierez pole kwa msiba wa Tito na karibu jijini Turin yaani ni full shangwe saa hizi pale vinovo training camp,kama ingekuwa kule kwetu hizi shangwe saa hizi barabara zimefungwa,watu wamesimama vibarazani,wanawake wamebeba watoto huku wakiswingswing,vijana wako mbele,wanawake na wanaume wako kati,wapiga ngoma wako line ya pili toka nyuma,wazee wako back bench ngoma inapita barabarani,watu wanaimba "kamuacha mume wake kafuata mdundikoo eehee lelele le kafwata mdundikoo kamuacha mume waake kafuata mdundikoo ndu ndu ndu ndu ndundu.."aaah watoto wa siku hizi nawapa pole sana,hawajapitia uzoefu huu dah!hadi waende msibani maneromango ndio waone mambo haya,tena mazishi yenyewe siku hizi mnazika kinondoni,yaani mtoto akienda mbali basi labda beach,kila siku beach tuu,wakiacha shule wakawa wavuvi mnalalamika,pelekeni watoto nyumbani wakafaidi african dance jamani,teh teh,nina furaha leo yaani natapika tu,tapika tu,kila linalokuja kichwani tapika tu kwi kwii!