Juventus Special Thread

umemsikia Ancelloti?Anasema,"with all regards to mr. Sacchi,many enemies,much honour!"akinukuu huo usemi wa fashisti Mussolini!kwa hiyo Ancelloti anasapoti huu upuuzi?nimechoka kabisa ila sijawahi kusikia mashabiki wa Juve wakimbagua muafrica,labda wakati fulani walikuwa na tuhuma za racist chants against southern Italians na watu wa Naples,na hili ni tatizo la kihistoria kule Italia wazungu wa kaskazini na kusini hawaivi chungu kimoja!
 

Ni Ancelloti au Fabio Capello? Me nilisikia ya Capello na sikushangaa sana maana huyu ni mwehu ila hilo la Ancelloti kama kweli basi tutakua tunashabikia Juventus kimyakimya
 
Hii 2nd half tunacheza kifalafala kweli, kiungo imepoteana kabisa na tusipoangalia huyu Salah ataondoka na 'gozi' leo
 
La fidanzata d'Italia.
Il Bianconerri.
The zebras.
JUVE!
JUVE!
JUVE!
JUVE!
JUVE!
JUVE!
 
Hatuna mpinzani ligi nzima, hii ligi kikwazo kwa maendeleo ya Juventus, Roma ngoma ya kitoto, Milan washazoea kushika ukuta siku hizi, wale washenzi wa Napoli mpira wao kama Mji Mpwapwa tu.

cc; Gang Chomba, Ziroseventytwo, juve2012, pachanya

Hapo pekundu tutake radhi. Huu msimu utaisha kama msimu uliopita. Nyie mlipata scudetto cc tukapata copa italia. Kule copa italia tayari mnatembelea gongo. Matumaini yenu ni madogo.

Milani kama kawa wanashiriki.
Cc: Gang Chomba
 
Last edited by a moderator:
Hapo pekundu tutake radhi. Huu msimu utaisha kama msimu uliopita. Nyie mlipata scudetto cc tukapata copa italia. Kule copa italia tayari mnatembelea gongo. Matumaini yenu ni madogo.

Milani kama kawa wanashiriki.
Cc: Gang Chomba

Yaani unajisifia kombe la mbuzi? Na kombe lenyewe hujalichukua bado? Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Lazio wametupa njia kwenye Coppa kwa kuharibu saikolojia ya Fiorentina leo.Ila Sassuolo nao wabiiishiiiii,tumshukuru Pogba ingawa hakufurahishwa na mashabiki wa Juve ambao leo walikuwa na kampeni ya kuzomea mwanzo mwisho ili kuonyesha walivyochefuka kufungwa na Fiorentina ndani ya Turin.Mara kumi kufungwa na Inter,kuliko Fiorentina,there is always a bitter rivalry between the two sides.Hata mimi sipendi kufungwa na Fiorentina kabisa.Sijui kwa nini?eti Mourinho why?!kwanini Juventini hatupendi kupigwa na Fiorentina na Napoli zaidi hata ya Milan na Inter?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…