Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Scudetto bado mkuu. AS Roma 2 Milan 0. Ubingwa bado. Leo Napoli tunapiga na kocha wetu wa zamani Walter Mazarri. Cc hatuna cha kupoteza heshima tu.
 
Scudetto bado mkuu. AS Roma 2 Milan 0. Ubingwa bado. Leo Napoli tunapiga na kocha wetu wa zamani Walter Mazarri. Cc hatuna cha kupoteza heshima tu.


neples nikamatieni huyo asusa ili nizidundulize point zilizobaki na kupata nafasi ya kucheza hili kombe la alhamisi...
 
neples nikamatieni huyo asusa ili nizidundulize point zilizobaki na kupata nafasi ya kucheza hili kombe la alhamisi...

Teeh teeh teeh teehee..!! Milan ni kama Abajalo vile, watu tunaandaa ratiba ya kusherehekea UCL baada ya kulinyanyua pale Lisbon we unapumulia gesi kupata nafasi ya kucheza Alhamisi? Kwii kwiii kwiii kwiii ...!!
 
Scudetto bado mkuu. AS Roma 2 Milan 0. Ubingwa bado. Leo Napoli tunapiga na kocha wetu wa zamani Walter Mazarri. Cc hatuna cha kupoteza heshima tu.

Scudetto imeisha mkuu.mkamate juve mwanzoni sio mwisho.juve ni expert wa strength in depth mkuu.waulize milan walikimbiza tofauti ya point moja kwa mechi ngapi!kama ni mbio basi ni kama usain bolt,utamuacha kwenye starting block akiamka taratibu lakini at 60 to 70m mark anakupumulia kisogoni,ukitaka asipite basi tembea kwa spidi yake na aki-accelerate na wewe bana makalio uongeze mwendo otherwise atakupita na akipita utafukuza kwa spidi isiyo yako hadi uone dunia inakimbia kurudi nyuma na wewe umesimama,matokeo yake kizunguzungu chaali,kama unabisha subiri uone,roma wanakimbia kwa spidi sio yao,sasa madhara yake subirini mtaona!
 
Teeh teeh teeh teehee..!! Milan ni kama Abajalo vile, watu tunaandaa ratiba ya kusherehekea UCL baada ya kulinyanyua pale Lisbon we unapumulia gesi kupata nafasi ya kucheza Alhamisi? Kwii kwiii kwiii kwiii ...!!


ndo utamu wa Soka huo...
Leo kicheko kesho kwikwi kesho kutwa kilio...

Wewe hilo kombe hujalibeba tangu 2002 enzi hio raisi mkapa...

Jiulize umetimua makocha wangapi na kununua wachezaji wangapi?

Teh teh teh
 
Hawa watoto sijui wataweza mbinu za Mourihno??
Warudi nyuma wapaki basi walinde goli hilo...
 
Hii mechi ya sassuolo ilikuwa na magoli matamu sana,hadi Conte kaslide kwenye nyasi kama Mourinho teh teh!
 
Maveteran wenzangu wa Juventus vipi leo hawa wareno benfica tunaweza tukawaadabisha leo kweli? Najua watakuja kupaki DCM lao!
 
Maveteran wenzangu wa Juventus vipi leo hawa wareno benfica tunaweza tukawaadabisha leo kweli? Najua watakuja kupaki DCM lao!

Tutalifumuafumua kama ATM walivyolifanya Yutong la Chelsea

Forza Bianconeri, Forza Conte
 
Leo afe kipa afe beki lazima benfica atambelee kucha

Mkuu watoto wakianza kupata goli mechi itakuwa ngumu sana...
Naona Tevez na Llorient wataanza wote...It means mtashambulia tokea mwanzo..ila wasiwasi wangu ni Counter za Watoto na walivyo na winga zenye kasi???
 
Mkuu watoto wakianza kupata goli mechi itakuwa ngumu sana...
Naona Tevez na Llorient wataanza wote...It means mtashambulia tokea mwanzo..ila wasiwasi wangu ni Counter za Watoto na walivyo na winga zenye kasi???

Hatutakiwi kuruhusu goli wala kukosa goli.
 
Back
Top Bottom