Hakuna kitu kama hichoMkuu, kwani wewe ulitaka kumtumia na kumwaga? Kuambiwa ukajitambulishe kwao ina maana yeye kama yeye alikuwa ameshakukubali.. Ina maana ungeenda kwao kupata baraka za wazee, basi penzi lenu lingekuwa rasmi.. Think twice.. Mtumie hiyo laki, ukajitambulishe kwao and then hiyo laki utaikata kwenye mahari.
Alitumbuliwa jana huyo kadalaki si pesa!
Acha uongo ww jimbi proves itSasa kwani me nilikutongoza wewe mchaga wa machame mnaeua waume zenu kisa pesa???
hukuonyesha kama upo serious,, njoo tenaIlikuwepo.. Uligoma ku negotiate
kujiamini ndiyo dawaDuh, we mbona mbabe ivyo unajiamini nini? [emoji57]
Uliniogopa sana...hukuonyesha kama upo serious,, njoo tena
haya nitajileta mwenyeweUliniogopa sana...
Nilikuona ulivyoanza kutetemeka...
Ulidhani kama nakushushia heshima...
Utanitafuta ukishakuwa na amani moyoni.
Mpunga upo
Tatizo ww mzaha mwingiiiiiiiihaya nitajileta mwenyewe
Mkuu mtaka cha uvungun shart ainame... Wanakamsemo kapo hv "kama kweli unampenda utamhonga"Juzi nilimtongoza demu akaniambia hawezi kunikubalia hadi nikajitambulishe kwao basi nikaamua kupiga kimya. Sasa leo kanitumia SMS anaomba nimsaidie 100,000/= na mie nimemwambia akajitambulishe kwetu.
Ukijifanya mjinga mie nakuwa mpumbavu.
sa hivi nipo seriousTatizo ww mzaha mwingiiiiiiii
Unajua pa kunipata.. Sasa hivi unianze mwenyewe ili nijue upo serious..sa hivi nipo serious
teh mtego haya nakufuataUnajua pa kunipata.. Sasa hivi unianze mwenyewe ili nijue upo serious..
Uje na dau lako kabisa no discount.teh mtego haya nakufuata
milioni mbiliUje na dau lako kabisa no discount.
Na uchague sehemu ya kwenda kabisa..unalipa cash sku hio hio no mkopo no credit debit hakuna..
Unaleta mzaha sasa.. Mambo y inbobo unayaanika huku. M2 natoa ila sio kwneye kadamnasi... Nitaonekana kiazi sanaamilioni mbili
Hahaha Mkuu spirit yako sio ya mchezo mchezoUnaleta mzaha sasa.. Mambo y inbobo unayaanika huku. M2 natoa ila sio kwneye kadamnasi... Nitaonekana kiazi sanaa