JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

haha duh
 
Ndugu Missile of the Nation zipo undoubtful facts kadhaa zimefunuliwa na kesi hii;

1. Kuna uwezekano wa 99% huyu Denis Urio si askari wa JW bali alipandikizwa huko na kupachikwa uaskari wa JW na cheo just for a special mission huku CDF Mabeyo akiwa anafahamu fika au akiwa hafahamu kabisa kinachofanyika...

USHAHIDI:

Haya yanathibitishwa na circumstantial evidence inayomzunguka huyu shahidi, mathalani;

å Elimu ya huyu bwana kwa maelezo yake ni sekondari K.4 Haiwezekani mtu mwenye elimu level hii apate cheo cha "u - luteni" hata kama atakuwa mwanajeshi miaka 30 unless afanye K.6 kisha apate ingalau shahada ya chuo kikuu...

å Kama nilivyosema, alikuwa kule kwa kazi maalumu. Haijui basics za kawaida kabisa za kijeshi. Kaifanya hiyo kazi, kaimaliza lakini in a awful and very disgraceful end....

Hata alipokuja mahamakani kutoa huo ushahidi wake, hakutokea na hayupo kazini kitambo tu. Ametokea mafichoni...!!

2. Taasisi zetu (Executive, Judiciary & Parliament) by in large ndizo zimekuwa chanzo cha maovu ktk taifa letu. Yaani ile hali ya lawlessness katika nchi yetu inaanzia juu kwa wenye mamlaka ya kulinda na kutetea katiba na sheria za nchi kuja chini kwa raia Wa kawaida....

Kaatika mazingira tunadhani nini kitatokea huko mbeleni? Honestly, yeyote anaweza kuwa na correct prediction, kuwa tusipobadili hàli peacefully sasa kwaa kusema enough is enough, basi tutakuja kuibadilisha kwa kuamuliwa na wengine...!

Kwa mfano, katika sçenario hii ya mwanajeshi Denis Leo Urio, hebu tujaribu tu kufikiri hili...

Kwamba, iweje mwanajeshi mwenye mafunzo ya kulinda usalama na mipaka ya nchi anavuka mipaka ya majukumu yake na kuanza kushiriki uovu wa kuhujumu haki za raia wa kawaida huku vyombo vyenye mamlaka vikiangalia tu uchafu huu..?

Nani amchunguze nañi sasa kwa sababu the whole system is corrupted..?
 
Mburura kama wewe huna athari yoyote! Lakini ujue kuumbuka kumeanza. Sasa hivi mashetani wanaonekana na pembe zao livi. Refer afande Jumanne asiyejulikana, Huko Mtwara umeona yanayoendelea!
Utasombwa tu na kimbunga nyang'au wahead
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.we
 
Mbona ameshindwa kuthibitisha?
wewe ndio unasema ameshindwa, lakini wenye kesi wanajua kwanini wamemleta, ili aje aunganishe dot kwenye ushahidi wa yupi ambaye labda ameshatoa ushahidi au anakuja kutoa ushahidi baada yake. ndio maana tunasema msubiri hadi kesi iishe. msikurupuke.
 
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Kosa la hao vijana watatu liko wapi sasa au unaropoka tu na wewe
 
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Hapa hakuna upotoshaji hadi hapa hii kesi ilipofikia ishabuma... akili zako nadhani ni finyu sana na mmefail pakubwa shame upon you viazi wa ccm
 
Lakin kwa ushahidi unaoendelea kutolewa mahakamani naona bado hautoshi kumfanya Mbowe aonekane Gaidi, labda tusubiri huko mbele
 
Wewe ndo maana inaitwa Chapwa naona unachapwa sana na akili zako za ...
 
Lakin kwa ushahidi unaoendelea kutolewa mahakamani naona bado hautoshi kumfanya Mbowe aonekane Gaidi, labda tusubiri huko mbele
nitacheka sana siku nikija kugundua kuwa co-accuseds na urio wote walikuwa na lao moja, kumkamatisha mbowe aliyekuwa na uchu wa kufanya uovu. na mbowe pale alipo anaweza kuwa anaamini wale wenzie ni wenzie. na chadema wanawatetea kwelikweli. jueni hao ni makombandoo. au hamuelewi?
 
Sio rahis hivyo boss, Trust me. Kumbuka Chadema na Mbowe walikuwa na nafasi ya kuongea na Serikali kulimaliza hili km Zitto alivyolianzisha lakin wakakataa kabisa, so tusitumie hisia ngoja tusubiri mwisho wake.
 
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Tahira kwa kwangu cha huu DCI na Chain of command ya jeshi wapi na wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…