JWTZ imejifunzaje kwa Armenia vs Azerbaijan?

JWTZ imejifunzaje kwa Armenia vs Azerbaijan?

Sikuhizi ni mwendo wa jicho la mwewe tu kunako angani kwa kutumia teknolojia ya drones ambayo inaweza kurushwa ma mtu anae irusha anaweza akawa ni binti mdogo tu akiwa ofisini mkono moja anashika kikombe cha chai mwengine anasulubisha maadui.

Hakuna kujificha mbele ya drone, kitu kipo angani kina camera inayo zoom, ikiku zoom unalo.

Mnaweza kupitia mafunzo ya ukakamavubwa hali ya juu karibu mwaka mzima, ila kwa drone, hata binti ambae ni kuruta alie na muda wa wiki 1 tu kambini anaweza kuteketeza hao wote walipotia mafunzi makali mwaka mzima, achana na teknolojia aisee.

Mkuu wa majeshi ya Iran pamoja na mabidi gadi wake aliishia kupigwa na drone kipindi cha trump, achana na teknolojia aisee.

Yani ni kama mtu anacheza game tu kumbe anafanya kweli,


Modern warfare sawa na computer gaming.Tofauti pekee destruction,casualties and death are real.
 
Sisi hatupo vitani,ila tunayo ya kujifunza.
1. Miaka mingi iliyopita Armenia ilitandika Azerbaijan na kunyang'anya maeneo makubwa.

2. Mwaka 2020 Azerbaijan ilijipanga ikaanzisha vita, Armenia walikuwa na majeahi na silaha nzito mno lkn hawakujua alichokuwa nacho adui yao.

3. Armenia alipigwa,wanajeshi wake waliuawa hadi wakaweka silaha chini.hadi sasa Azwebaijan amerudisha maeneo yake.

4. Vita vya siku hizi sio vya maguvu,ni vya akili na technologia.

5. Wakati Armenia amekuja na vifaru na jeshi imara kama tulivyozoea, Azerbaijan alikuja na Drones,nyingi na efficient zikaua wanajeshi wengi.

6. Walinunua drones bora sana toka kwa Israel na Uturuki. Amini usiamini,wameshinda vita yote kwa deones.

7. Kwa sasa Israel,uturuki,china,ufaransa na marekani wameboresha sana technolojia hii.

8. Azerbaijan ni nchi ya kiislam lkn ni ally wa israel dhidi ya Iran,mosas hupitia pale kupeleleza na kutandika iran. Armenia ni pure christian ila hawana faida kwa israel. Wanajeshi wengi sana wa Azerbaijan wamekuwa trained kwa tech mpya,ans it yielded.

9. Israel wapo very close na Rwanda,wamewauzia silaha,na tech hii ndio walitaka watujaribishie kipindi kile tunataka kuwatwanga. Tungepigwa kama watoto. Hawakufanya hivyo kwasababu israel inatuhitaji na hawapendi adui ukanda huu. Ila tukileta fyokofyoko wangetufanya lolote.tushukuru Mungu kumtumia Blair.

NB:-Siongei hivi kwa kuichukia israel,mimi ni pro-israel na pro-jrws. Mungu ibariki Israel.

10. Jeshi letu pia wanunue vifaa vya kisasa,kama huamini,soma kilichotokea vita ya Armenia mwaka jana,waloaibika kupita kiasi. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
armenia walipigwa💥 huku wakiendelea kujitapa(propaganda)
 
JW hawahitaji kununua drones kijulinda, wanatakiwa kujikita kwenye uelewa wa kuweza ku hack hizo drones, kwa kuwa hayo madude Ni Kama computer lenye mabawa.
 
Sikuhizi ni mwendo wa jicho la mwewe tu kunako angani kwa kutumia teknolojia ya drones ambayo inaweza kurushwa ma mtu anae irusha anaweza akawa ni binti mdogo tu akiwa ofisini mkono moja anashika kikombe cha chai mwengine anasulubisha maadui.

Hakuna kujificha mbele ya drone, kitu kipo angani kina camera inayo zoom, ikiku zoom unalo.

Mnaweza kupitia mafunzo ya ukakamavubwa hali ya juu karibu mwaka mzima, ila kwa drone, hata binti ambae ni kuruta alie na muda wa wiki 1 tu kambini anaweza kuteketeza hao wote walipotia mafunzi makali mwaka mzima, achana na teknolojia aisee.

Mkuu wa majeshi ya Iran pamoja na mabidi gadi wake aliishia kupigwa na drone kipindi cha trump, achana na teknolojia aisee.

Yani ni kama mtu anacheza game tu kumbe anafanya kweli,


Points za nguvu, tech ndio future. 😂 😂 😂
 
Drone ulizoelezea hapa ni zile za kwenye movie,ndizo zinaweza operetiwa na kabinti,halafu unaioverate sana teknolojia ya drone wakati ambapo Huwezi kimshoot mtu aliye eneo jingine mpaka uwe na watu hapo wanaokufeed information . accuracy ya drone ni 40%.
Huyo kabinti anayemwongelea, sivyo unavyodhani. Anasema mwanamke wa makamo mwenye mafunzo ya kijeshi na anayehusika kwenye kitengo cha drone piloting inayokuwa chini ya Airfore sana sana. Na wapo mabinti kama hao, it's a fact hata kama kaongeza sukari kidogo hapo pa kunywa chai huku akisulubisha target! 🤣
Proponents of drone strikes assert that drone strikes are largely effective in targeting specific combatants. Some scholars argue that drone strikes reduce the amount of civilian casualties and territorial damage when compared to other types of military force like large bombs. Military alternatives to drone strikes such as raids and interrogations can be extremely risky, time-consuming, and potentially ineffective. Relying on drone strikes does not come without risks.
 
Uliposema kwamba, nchi fulani ilipigwa halafu ikajipanga, hivyo nikawa nasoma ili nipate link kwa Tanzania kuipiga nchi fulani ambayo itakuja kulipiza kisasi.

Labda ulikuwa unamanisha kwamba, Uganda wanaweza kuja kulipiza kisasi cha vita ya Kagera kama JWTZ hawatajipanga?
 
Uliposema kwamba, nchi fulani ilipigwa halafu ikajipanga, hivyo nikawa nasoma ili nipate link kwa Tanzania kuipiga nchi fulani ambayo itakuja kulipiza kisasi.

Labda ulikuwa unamanisha kwamba, Uganda wanaweza kuja kulipiza kisasi cha vita ya Kagera kama JWTZ hawatajipanga?
Umewaza kivivu sana. Jitahidi huwaza upya pia fanya tafiti.
 
Sisi hatupo vitani,ila tunayo ya kujifunza.
1. Miaka mingi iliyopita Armenia ilitandika Azerbaijan na kunyang'anya maeneo makubwa.

2. Mwaka 2020 Azerbaijan ilijipanga ikaanzisha vita, Armenia walikuwa na majeahi na silaha nzito mno lkn hawakujua alichokuwa nacho adui yao.

3. Armenia alipigwa,wanajeshi wake waliuawa hadi wakaweka silaha chini.hadi sasa Azwebaijan amerudisha maeneo yake.

4. Vita vya siku hizi sio vya maguvu,ni vya akili na technologia.

5. Wakati Armenia amekuja na vifaru na jeshi imara kama tulivyozoea, Azerbaijan alikuja na Drones,nyingi na efficient zikaua wanajeshi wengi.

6. Walinunua drones bora sana toka kwa Israel na Uturuki. Amini usiamini,wameshinda vita yote kwa deones.

7. Kwa sasa Israel,uturuki,china,ufaransa na marekani wameboresha sana technolojia hii.

8. Azerbaijan ni nchi ya kiislam lkn ni ally wa israel dhidi ya Iran,mosas hupitia pale kupeleleza na kutandika iran. Armenia ni pure christian ila hawana faida kwa israel. Wanajeshi wengi sana wa Azerbaijan wamekuwa trained kwa tech mpya,ans it yielded.

9. Israel wapo very close na Rwanda,wamewauzia silaha,na tech hii ndio walitaka watujaribishie kipindi kile tunataka kuwatwanga. Tungepigwa kama watoto. Hawakufanya hivyo kwasababu israel inatuhitaji na hawapendi adui ukanda huu. Ila tukileta fyokofyoko wangetufanya lolote.tushukuru Mungu kumtumia Blair.

NB:-Siongei hivi kwa kuichukia israel,mimi ni pro-israel na pro-jrws. Mungu ibariki Israel.

10. Jeshi letu pia wanunue vifaa vya kisasa,kama huamini,soma kilichotokea vita ya Armenia mwaka jana,waloaibika kupita kiasi. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
sorry to tell you this ww umeangalia vita moja tu.
America wana moja ya jeshi kubwa la anga.. including drones.
but even today bado wanatuma infantry forces kufanya kazi nzito, huku jeshi la anga likibaki kama support kutoka angani.

Rwanda wangekuwa superior kuliko sis. wasingekuwa wanaleta vijana wao kula coz za uongozi monduli au chuo cha usalama. kila mwaka wanaleta watu wao kujifunza.

Pili huwez shinda vita only buy deploying drones. lazimanu deploy na other forces pia.
 
JW hawahitaji kununua drones kijulinda, wanatakiwa kujikita kwenye uelewa wa kuweza ku hack hizo drones, kwa kuwa hayo madude Ni Kama computer lenye mabawa.
utawezaje ku hack chombo bila kuwa nacho? lazima ujue aspects zote za kifaa husika.
huwez sema utaka ku hack simu wkt simu huna.
 
Tatizo jeshi la Tanzania wamejazana mazezeta wao wanajua vita ni kukimbia kimbi atunkama wehu
Dhahir wewe sio mtanzania, unawa provoke ukitaraji watakujibu chochote? Hahahahaaa, kikojozi unachekesha, JWTZ sio level za hao walokutuma, kawaambie uranium ipo tz, wakitaka kujua matumizi waje tu 😂
 
Hivi kuwa mtanzania ni sifa sana huku Duniani
Dhahir wewe sio mtanzania, unawa provoke ukitaraji watakujibu chochote? Hahahahaaa, kikojozi unachekesha, JWTZ sio level za hao walokutuma, kawaambie uranium ipo tz, wakitaka kujua matumizi waje tu 😂
 
Si nimeona juzi kati kuwa kampuni ya Lugumi ndo itaendelea na ku-supply vifaa ktk geshi letu....[emoji848]
Sijui atakuwa na connection na huko unakokusema kuwa wako juu ki-tech...!!?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Sisi hatupo vitani,ila tunayo ya kujifunza.
1. Miaka mingi iliyopita Armenia ilitandika Azerbaijan na kunyang'anya maeneo makubwa.

2. Mwaka 2020 Azerbaijan ilijipanga ikaanzisha vita, Armenia walikuwa na majeahi na silaha nzito mno lkn hawakujua alichokuwa nacho adui yao.

3. Armenia alipigwa,wanajeshi wake waliuawa hadi wakaweka silaha chini.hadi sasa Azwebaijan amerudisha maeneo yake.

4. Vita vya siku hizi sio vya maguvu,ni vya akili na technologia.

5. Wakati Armenia amekuja na vifaru na jeshi imara kama tulivyozoea, Azerbaijan alikuja na Drones,nyingi na efficient zikaua wanajeshi wengi.

6. Walinunua drones bora sana toka kwa Israel na Uturuki. Amini usiamini,wameshinda vita yote kwa deones.

7. Kwa sasa Israel,uturuki,china,ufaransa na marekani wameboresha sana technolojia hii.

8. Azerbaijan ni nchi ya kiislam lkn ni ally wa israel dhidi ya Iran,mosas hupitia pale kupeleleza na kutandika iran. Armenia ni pure christian ila hawana faida kwa israel. Wanajeshi wengi sana wa Azerbaijan wamekuwa trained kwa tech mpya,ans it yielded.

9. Israel wapo very close na Rwanda,wamewauzia silaha,na tech hii ndio walitaka watujaribishie kipindi kile tunataka kuwatwanga. Tungepigwa kama watoto. Hawakufanya hivyo kwasababu israel inatuhitaji na hawapendi adui ukanda huu. Ila tukileta fyokofyoko wangetufanya lolote.tushukuru Mungu kumtumia Blair.

NB:-Siongei hivi kwa kuichukia israel,mimi ni pro-israel na pro-jrws. Mungu ibariki Israel.

10. Jeshi letu pia wanunue vifaa vya kisasa,kama huamini,soma kilichotokea vita ya Armenia mwaka jana,waloaibika kupita kiasi. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
kwa hiyo unataka jeshi likutangazie wewe ili ili lipate faida gani?
 
Back
Top Bottom