JWTZ imejifunzaje kwa Armenia vs Azerbaijan?

JWTZ imejifunzaje kwa Armenia vs Azerbaijan?

Sisi hatupo vitani,ila tunayo ya kujifunza.
1. Miaka mingi iliyopita Armenia ilitandika Azerbaijan na kunyang'anya maeneo makubwa.

2. Mwaka 2020 Azerbaijan ilijipanga ikaanzisha vita, Armenia walikuwa na majeahi na silaha nzito mno lkn hawakujua alichokuwa nacho adui yao.

3. Armenia alipigwa,wanajeshi wake waliuawa hadi wakaweka silaha chini.hadi sasa Azwebaijan amerudisha maeneo yake.

4. Vita vya siku hizi sio vya maguvu,ni vya akili na technologia.

5. Wakati Armenia amekuja na vifaru na jeshi imara kama tulivyozoea, Azerbaijan alikuja na Drones,nyingi na efficient zikaua wanajeshi wengi.

6. Walinunua drones bora sana toka kwa Israel na Uturuki. Amini usiamini,wameshinda vita yote kwa deones.

7. Kwa sasa Israel,uturuki,china,ufaransa na marekani wameboresha sana technolojia hii.

8. Azerbaijan ni nchi ya kiislam lkn ni ally wa israel dhidi ya Iran,mosas hupitia pale kupeleleza na kutandika iran. Armenia ni pure christian ila hawana faida kwa israel. Wanajeshi wengi sana wa Azerbaijan wamekuwa trained kwa tech mpya,ans it yielded.

9. Israel wapo very close na Rwanda,wamewauzia silaha,na tech hii ndio walitaka watujaribishie kipindi kile tunataka kuwatwanga. Tungepigwa kama watoto. Hawakufanya hivyo kwasababu israel inatuhitaji na hawapendi adui ukanda huu. Ila tukileta fyokofyoko wangetufanya lolote.tushukuru Mungu kumtumia Blair.

NB:-Siongei hivi kwa kuichukia israel,mimi ni pro-israel na pro-jrws. Mungu ibariki Israel.

10. Jeshi letu pia wanunue vifaa vya kisasa,kama huamini,soma kilichotokea vita ya Armenia mwaka jana,waloaibika kupita kiasi. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Tech ya Israel angekuwa anaishi kama ndege alikuwa analukaluka halali kwake. Huu uongo wako peleka kwa watoto wenzio!
 
Umewaza kivivu sana. Jitahidi huwaza upya pia fanya tafiti.
Wewe ndio umejenga hoja kivivu. Dhana yako ni kisasi lakini mwisho unakuja kuhusianisha na kitu tofauti na kisasi.
 
We unafikiri kwanini Congo Hadi leo anatandikwa na kanchi Kama rwanda? Vita sio ukubwa wa nchi... Vita Ni investment kwenye silaha na intelligence unit Basi.
Kwani Kongo na Rwanda zipo vitani??
 
watu wapo kwenye hypersonics uko nyie mnaongelea drones leo, hivo vilikua vita vya watoto
 
Kwenye suala la kujitanua kijeshi na kiintelijensia Rwanda wanakuja vizuri sana. Wakati wa Kikwete kuna wanajeshi wengi walikimbia kazini baada ya msako wa kusaka mamluki. Rwanda amepenyeza watu wengi kwenye sekta tofauti hapa East Africa.
Sio vizur kumdharau Rwanda, vita sio ukubwa wa eneo, vita ni teknolojia na intelijensia pamoja na umoja wa kupigania nchi. Kwa miongo kadhaa, wanajeshi wa Rwanda wanazunguka huko na huku kwenye masuala ya kivita. Mfano Rwanda imepeleka jeshi lake huko Africa ya kati. Wamezoea mikikimikiki ya vita mda wowote. Tofauti na sisi kwa muda sasa tume relax.

Mimi naona nia ya Kagame kuelekea kutangaza ubabe ndani ya east Afrika ndani ya miaka 20 ijayo.. kasi yake ni kubwa mno, ukizingatia ni juzi juzi tu alikua na genocide, na nchi isiyoeleweka. Lakini kama umetembelea Rwanda hivi karibuni utaona mabadiliko. Wamewekeza kwenye elimu yao, kila mwanafunzi ana tablets au pc. Wamewekeza sana kwenye teknolojia ya IT. Twende nao taratibu wale jamaa... Ohooo!

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Kwenye suala la kujitanua kijeshi na kiintelijensia Rwanda wanakuja vizuri sana. Wakati wa Kikwete kuna wanajeshi wengi walikimbia kazini baada ya msako wa kusaka mamluki. Rwanda amepenyeza watu wengi kwenye sekta tofauti hapa East Africa.
Sio vizur kumdharau Rwanda, vita sio ukubwa wa eneo, vita ni teknolojia na intelijensia pamoja na umoja wa kupigania nchi. Kwa miongo kadhaa, wanajeshi wa Rwanda wanazunguka huko na huku kwenye masuala ya kivita. Mfano Rwanda imepeleka jeshi lake huko Africa ya kati. Wamezoea mikikimikiki ya vita mda wowote. Tofauti na sisi kwa muda sasa tume relax.

Mimi naona nia ya Kagame kuelekea kutangaza ubabe ndani ya east Afrika ndani ya miaka 20 ijayo.. kasi yake ni kubwa mno, ukizingatia ni juzi juzi tu alikua na genocide, na nchi isiyoeleweka. Lakini kama umetembelea Rwanda hivi karibuni utaona mabadiliko. Wamewekeza kwenye elimu yao, kila mwanafunzi ana tablets au pc. Wamewekeza sana kwenye teknolojia ya IT. Twende nao taratibu wale jamaa... Ohooo!

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Wanajeshi wa Tanzania wame relax? Usioongee usichokijua Huwezi kutangaziwa kila jeshi operation wanazofanya Tanzania ni nchi ambayo kupata taarifa zake za kijeshi ni ngumu sana hata Hayo mashirika wanaotangaza nguvu za kijeshi ukigoogle silaha walizoandika Tanzania wanazo miaka yote ni Hzo Hzo inamaana hawaongezi silaha au mnaanzisha Mada za kijasusi hili watu wapanick waanze kutaja humu,
 
Back
Top Bottom