JWTZ imejifunzaje kwa Armenia vs Azerbaijan?

JWTZ imejifunzaje kwa Armenia vs Azerbaijan?

Siraha zinazonunuliwa na Jeshi letu hawawezi kuzitangaza kwa kila mtu kama huamini waambie wabeep
Siku hizi kila kitu kiko wazi... Jeshi likinunua military weapons kokote kule inajulikana. Rwanda kanunua mizigo ya maana kutoka kwa China ba Israel... It's very risk kumuingia Rwanda mzima mzima anakuadhiri mapema tu.

Muhimu jeshi letu lazma liwe modernized and world class army lenye silaha za kisasa zaidi.
 
Siku hizi kila kitu kiko wazi... Jeshi likinunua military weapons kokote kule inajulikana. Rwanda kanunua mizigo ya maana kutoka kwa China ba Israel... It's very risk kumuingia Rwanda mzima mzima anakuadhiri mapema tu.

Muhimu jeshi letu lazma liwe modernized and world class army lenye silaha za kisasa zaidi.
Siri za jeshi zipo kwenye mikakati zaidi na uendeshaji, ila kama unanunua siraha kutoka nje, ni ngumu sana kuwa na usiri labda kama wangekuwa wanatengeneza
 
Kila mbongo sasa hivi akisoma article ya masuala ya jeshi nae anajifanya expert kuja kufundisha jeshi letu.
Uchumi wa nchi una reflect na jeshi lake... Sababu siku hizi uchumi wako ndio utaamua uimara wa jeshi lako. Rwanda kapiga hela kibao toka Congo kwa hiyo ana mkwanja saana na kanunua world class jet fighter za kutosha anazofanyia uhalifu wake kule Congo.
Ambazo sisi bado hatujanunua sababu hazionekani kwenye global index ya weapons purchasing.
 
Hii inaitwa red arrow anti tank missiles inayoweza kutandika medium range kwa maana ya any range ndani ya East Africa.

Ana negotiate kununua Air defense system itakayomuwezesha kujilinda na mashambulizi yote ya anga.

Anavyopenda utawala yule bwana tunaweza kujikuta whole East Africa block tunaongea kinyarwanda siku moja.. Kagame Ni war monger.
images%20(51).jpg
images%20(50).jpg
Screenshot_20210525-105439.jpg
 
Uchumi wa nchi una reflect na jeshi lake... Sababu siku hizi uchumi wako ndio utaamua uimara wa jeshi lako. Rwanda kapiga hela kibao toka Congo kwa hiyo ana mkwanja saana na kanunua world class jet fighter za kutosha anazofanyia uhalifu wake kule Congo.
Ambazo sisi bado hatujanunua sababu hazionekani kwenye global index ya weapons purchasing.
Hela kibao zipo wapi? Ni kawaida sana madikteta kujisifia kwamba wapo vizuri ila uhalisia huwa ni tofauti.
 
Sisi hatupo vitani,ila tunayo ya kujifunza.
1. Miaka mingi iliyopita Armenia ilitandika Azerbaijan na kunyang'anya maeneo makubwa.

2. Mwaka 2020 Azerbaijan ilijipanga ikaanzisha vita, Armenia walikuwa na majeahi na silaha nzito mno lkn hawakujua alichokuwa nacho adui yao.

3. Armenia alipigwa,wanajeshi wake waliuawa hadi wakaweka silaha chini.hadi sasa Azwebaijan amerudisha maeneo yake.

4. Vita vya siku hizi sio vya maguvu,ni vya akili na technologia.

5. Wakati Armenia amekuja na vifaru na jeshi imara kama tulivyozoea, Azerbaijan alikuja na Drones,nyingi na efficient zikaua wanajeshi wengi.

6. Walinunua drones bora sana toka kwa Israel na Uturuki. Amini usiamini,wameshinda vita yote kwa deones.

7. Kwa sasa Israel,uturuki,china,ufaransa na marekani wameboresha sana technolojia hii.

8. Azerbaijan ni nchi ya kiislam lkn ni ally wa israel dhidi ya Iran,mosas hupitia pale kupeleleza na kutandika iran. Armenia ni pure christian ila hawana faida kwa israel. Wanajeshi wengi sana wa Azerbaijan wamekuwa trained kwa tech mpya,ans it yielded.

9. Israel wapo very close na Rwanda,wamewauzia silaha,na tech hii ndio walitaka watujaribishie kipindi kile tunataka kuwatwanga. Tungepigwa kama watoto. Hawakufanya hivyo kwasababu israel inatuhitaji na hawapendi adui ukanda huu. Ila tukileta fyokofyoko wangetufanya lolote.tushukuru Mungu kumtumia Blair.

NB:-Siongei hivi kwa kuichukia israel,mimi ni pro-israel na pro-jrws. Mungu ibariki Israel.

10. Jeshi letu pia wanunue vifaa vya kisasa,kama huamini,soma kilichotokea vita ya Armenia mwaka jana,waloaibika kupita kiasi. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mkuu, kwanza niseme umetoa somo zuri sana, tena sana cause mazoezi ya kivita na maandalizi yote ya kivita hufanywa kukiwa na AMANI sio wakati wa matatizo, kilicho nileta ni hiyo No 9; Kagame na Rwanda vinakuzwa sana, hivi unakikumbuka kipindi kile JK akiwa rais aliombwaga na UN kwenda Congo kuwadhibiti M23? Unadhani hasa lengo lilikua ni wale M23? Lengo lilikua ni Kagame, KAgame hana hamu na JK, nahisi hata sasa kakata tena mawasiliano na sisi cause rafiki yake kaitwa mbele za haki, sasa hivi tena regime ya Bongo ni kama imerudi the JK regime; KAgame aliomba poo kwa JK mkuu. Tafadhari, rekebisha hiyo No 9, Rwanda sio size yetu kabisa, tuongeage na Kenya labda na Uganda but sio ule nusu mkoa wa Mwanza, Iringa, Tanga nk, Rwanda inakuzwa mno.
 
Back
Top Bottom