Siku hizi kila kitu kiko wazi... Jeshi likinunua military weapons kokote kule inajulikana. Rwanda kanunua mizigo ya maana kutoka kwa China ba Israel... It's very risk kumuingia Rwanda mzima mzima anakuadhiri mapema tu.Siraha zinazonunuliwa na Jeshi letu hawawezi kuzitangaza kwa kila mtu kama huamini waambie wabeep
Dahh! Waheshimu Basi hao watu, masaa yote wako kazini kulinda taifa usiwadharau wanajeshi wetu, wanajua kazi yao kuliko unavyodhani.Tatizo jeshi la Tanzania wamejazana mazezeta wao wanajua vita ni kukimbia kimbi atunkama wehu
Jeshi la Congo Lina silaha Bora Mara nne ya Rwanda. Usidanganyike, ila kinachowasumbua ni viongozi kukosa uzalendo tu Basi!We unafikiri kwanini Congo Hadi leo anatandikwa na kanchi Kama rwanda? Vita sio ukubwa wa nchi... Vita Ni investment kwenye silaha na intelligence unit Basi.
Jeshi la Congo nliwaona goma pale soja wanavaa ndala Kama Wavietnam?Jeshi la Congo Lina silaha Bora Mara nne ya Rwanda. Usidanganyike, ila kinachowasumbua ni viongozi kukosa uzalendo tu Basi!
Mhhhh! Siyo kigezoJeshi la Congo nliwaona goma pale soja wanavaa ndala Kama Wavietnam?
Congo hamna jeshi kile kikundi Cha ngoma tu.
Asante!Umewaza kivivu sana. Jitahidi huwaza upya pia fanya tafiti.
Data za wauza siraha zinawachengua watu.. Mitandao hiiWe fala unataka silaha zitangazwe kweny kalio lako ama!!?
Unakuta mtoa mada anapenda kweli jeshi bas tu hana vigezo!!!!Data za wauza siraha zinawachengua watu.. Mitandao hii
Siri za jeshi zipo kwenye mikakati zaidi na uendeshaji, ila kama unanunua siraha kutoka nje, ni ngumu sana kuwa na usiri labda kama wangekuwa wanatengenezaSiku hizi kila kitu kiko wazi... Jeshi likinunua military weapons kokote kule inajulikana. Rwanda kanunua mizigo ya maana kutoka kwa China ba Israel... It's very risk kumuingia Rwanda mzima mzima anakuadhiri mapema tu.
Muhimu jeshi letu lazma liwe modernized and world class army lenye silaha za kisasa zaidi.
Hawa watoto mkuu, hawana hekima ya kujua nini wasema wao ni kupayuka tuDahh! Waheshimu Basi hao watu, masaa yote wako kazini kulinda taifa usiwadharau wanajeshi wetu, wanajua kazi yao kuliko unavyodhani.
Uchumi wa nchi una reflect na jeshi lake... Sababu siku hizi uchumi wako ndio utaamua uimara wa jeshi lako. Rwanda kapiga hela kibao toka Congo kwa hiyo ana mkwanja saana na kanunua world class jet fighter za kutosha anazofanyia uhalifu wake kule Congo.Kila mbongo sasa hivi akisoma article ya masuala ya jeshi nae anajifanya expert kuja kufundisha jeshi letu.
Wako smart Hata kwenye uniform zaoHii inaitwa red arrow anti tank missiles inayoweza kutandika medium range kwa maana ya any range ndani ya East Africa.
Ana negotiate kununua Air defense system itakayomuwezesha kujilinda na mashambulizi yote ya anga.
Anavyopenda utawala yule bwana tunaweza kujikuta whole East Africa block tunaongea kinyarwanda siku moja.. Kagame Ni war monger.View attachment 1797033View attachment 1797034View attachment 1797035
Hela kibao zipo wapi? Ni kawaida sana madikteta kujisifia kwamba wapo vizuri ila uhalisia huwa ni tofauti.Uchumi wa nchi una reflect na jeshi lake... Sababu siku hizi uchumi wako ndio utaamua uimara wa jeshi lako. Rwanda kapiga hela kibao toka Congo kwa hiyo ana mkwanja saana na kanunua world class jet fighter za kutosha anazofanyia uhalifu wake kule Congo.
Ambazo sisi bado hatujanunua sababu hazionekani kwenye global index ya weapons purchasing.
Mkuu, kwanza niseme umetoa somo zuri sana, tena sana cause mazoezi ya kivita na maandalizi yote ya kivita hufanywa kukiwa na AMANI sio wakati wa matatizo, kilicho nileta ni hiyo No 9; Kagame na Rwanda vinakuzwa sana, hivi unakikumbuka kipindi kile JK akiwa rais aliombwaga na UN kwenda Congo kuwadhibiti M23? Unadhani hasa lengo lilikua ni wale M23? Lengo lilikua ni Kagame, KAgame hana hamu na JK, nahisi hata sasa kakata tena mawasiliano na sisi cause rafiki yake kaitwa mbele za haki, sasa hivi tena regime ya Bongo ni kama imerudi the JK regime; KAgame aliomba poo kwa JK mkuu. Tafadhari, rekebisha hiyo No 9, Rwanda sio size yetu kabisa, tuongeage na Kenya labda na Uganda but sio ule nusu mkoa wa Mwanza, Iringa, Tanga nk, Rwanda inakuzwa mno.Sisi hatupo vitani,ila tunayo ya kujifunza.
1. Miaka mingi iliyopita Armenia ilitandika Azerbaijan na kunyang'anya maeneo makubwa.
2. Mwaka 2020 Azerbaijan ilijipanga ikaanzisha vita, Armenia walikuwa na majeahi na silaha nzito mno lkn hawakujua alichokuwa nacho adui yao.
3. Armenia alipigwa,wanajeshi wake waliuawa hadi wakaweka silaha chini.hadi sasa Azwebaijan amerudisha maeneo yake.
4. Vita vya siku hizi sio vya maguvu,ni vya akili na technologia.
5. Wakati Armenia amekuja na vifaru na jeshi imara kama tulivyozoea, Azerbaijan alikuja na Drones,nyingi na efficient zikaua wanajeshi wengi.
6. Walinunua drones bora sana toka kwa Israel na Uturuki. Amini usiamini,wameshinda vita yote kwa deones.
7. Kwa sasa Israel,uturuki,china,ufaransa na marekani wameboresha sana technolojia hii.
8. Azerbaijan ni nchi ya kiislam lkn ni ally wa israel dhidi ya Iran,mosas hupitia pale kupeleleza na kutandika iran. Armenia ni pure christian ila hawana faida kwa israel. Wanajeshi wengi sana wa Azerbaijan wamekuwa trained kwa tech mpya,ans it yielded.
9. Israel wapo very close na Rwanda,wamewauzia silaha,na tech hii ndio walitaka watujaribishie kipindi kile tunataka kuwatwanga. Tungepigwa kama watoto. Hawakufanya hivyo kwasababu israel inatuhitaji na hawapendi adui ukanda huu. Ila tukileta fyokofyoko wangetufanya lolote.tushukuru Mungu kumtumia Blair.
NB:-Siongei hivi kwa kuichukia israel,mimi ni pro-israel na pro-jrws. Mungu ibariki Israel.
10. Jeshi letu pia wanunue vifaa vya kisasa,kama huamini,soma kilichotokea vita ya Armenia mwaka jana,waloaibika kupita kiasi. MUNGU IBARIKI TANZANIA.