JWTZ: Jeshi letu ni kati ya Majeshi 6 Bora duniani

JWTZ: Jeshi letu ni kati ya Majeshi 6 Bora duniani

USA
Ukraine
British
China
Russia
Iran
Egypt
Israel
Ukraine

Waambie waache utani
Ww nae ni kilaza nambari one!....Ukrein hapo anafanya nn???...yaani ule ubishi wako wa uzi wa kulee unatembea nao kila sehemu...,..
Russia anapambana na NATO huku kafungwa pingu za miguu na mikono pamoja na kitambaa machoni ilà bado yupo na anadunda....ww unamuona ni mdogo kwa Ukrein...yaani bila ya ushabiki wowote na bila propaganda za West...Russia ndio Jeshi nambari moja sasa hv duniani....period!!!

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza hili tukio la kurudisha sare za jeshi la Marekani linachekesha.
 
Afu uwez amini sijawahi kuona Mwanajeshi wa UsArmy yyte akionea Raia mara Sjui kavaa nguo za Jeshi mara sjui kafanyaje Wako peace kinyama jaman hata wa china njoo tz pita tu bahati mbaya kambini ukiwa na boda boda tu pikipiki utaibeba huku umeiwasha na uzunguke Nayo mgongoni kambi zima na hakuna hata kosa wala tishio lolote la amani ulilofanya Afu tunajiita Jeshi la wananchi wakati wananchi wenyew wnatuogopa inabd ifanyike reform kwakweli...
Aise acha kabisa, kuna mwaka nilikwenda Ujerumani ilikuwa ni semina za maswala ya kijamii na maendeleo. Weekend tukapata mwenyeji akawa tour guide wetu. Akawa anatupeleka kwenye sehemu mbalimbali za kutalii. Kuna mahali alibugi tukaingia eneo la Jeshi. Hatukuteswa ila jamaa walitufanyia yaani walitulinda silaha. Hata ukitaka kwenda chooni unafuatwa na mtu mwenye silaha.
Kilichotuokoa ni communication iliyofanyika baina yao na ubalozi. Na kwa sababu ilikuwa ni safari ya kikazi na ubalozi ulikuwa unajua balozi alikuja hadi tulipokuwa. Wakachukua finger print zetu na picha kisha wakatuachia. Yule mjerumani mwenyeji walishikilia kwa muda wa siku tatu. Tulipomuulizia alikuwa akisema "those guys are fucken."
Jamaa walivyokuwa serious utadhani wamekamata magaidi, ulikuwa ukijitikisa unashangaa askari mwenye silaha anakuja akiwa ameishika silaha madhubuti. Simu kila kifaa cha kielectronic walikikamata.
Jamaa walitushikilia kuanzia saa majira ya saa tatu asubuhi hadi saa saa mbili usiku lakini kwa wakati huo saa mbili usiku ni kama saa kumi jioni.
Pamoja na mikikimikiki jamaa walitukarimu vizuri, tulipata milo mitatu mizuri.
 
USA
Ukraine
British
China
Russia
Iran
Egypt
Israel
Ukraine

Waambie waache utani
Na
Niwatu wa utani kwelikweli na ukizubaa wamekumaliza

Lakini ,naamini hatuoni prighovin waputin alivosema anataka kuja Tz kunawatu wanasumbua kapotea
 
Anajidhalilisha yeye pamoja na taasisi ya JWTZ kwa maana hata foreign diplomats wanafuatilia habari za Tanzania na taasisi zake. Kusema kuwa "We have one of the most disciplined and well-equipped army" ingetosha sana pasipo kuitaja hiyo namba 6.
Taasisi imara hii sidhani kama inaweza dharirishwa na mtu moja hayo ni mapungufu yake na uelewa wake imeishia hapo labda
 
Back
Top Bottom