Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnayaogopa bure tu hayo...hamna loloteHawatabiriki hao[emoji2][emoji2]..unaweza kwenda unacheka ukarudi unalia[emoji23]
Afu uwez amini sijawahi kuona Mwanajeshi wa UsArmy yyte akionea Raia mara Sjui kavaa nguo za Jeshi mara sjui kafanyaje Wako peace kinyama jaman hata wa china njoo tz pita tu bahati mbaya kambini ukiwa na boda boda tu pikipiki utaibeba huku umeiwasha na uzunguke Nayo mgongoni kambi zima na hakuna hata kosa wala tishio lolote la amani ulilofanya Afu tunajiita Jeshi la wananchi wakati wananchi wenyew wnatuogopa inabd ifanyike reform kwakweli...Kwa siraha zipi za kisasa walizo nazo hadi waseme hivyo😂😂 achilia mbali teknolojia ambayo ni muhimili mkubwa kwenye maswala mazima ya kijeshi 😂😂 labda wangesema wao ni namba 1 kwa kutembea na wake za watu na kutia wanafunzi mimba bila kusahau kuonea raia mtaani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣......Kuna nchi za
dunia ya kwanza
Dunia ya pili
Na dunia ya 3.
Sisi kijeshi tunaweza kuwa sahihi kulingana na dunia tuliyopo
SawasawaC'mon now 🤣
Ila maafande wanafahamika kwa vichekesho na ucheshi, usichukulie serious kila kitu wanachoongea.
Umerudi lini mkuu...USA wanaendeleaje?Afu uwez amini sijawahi kuona Mwanajeshi wa UsArmy yyte akionea Raia mara Sjui kavaa nguo za Jeshi mara sjui kafanyaje Wako peace kinyama jaman hata wa china njoo tz pita tu bahati mbaya kambini ukiwa na boda boda tu pikipiki utaibeba huku umeiwasha na uzunguke Nayo mgongoni kambi zima na hakuna hata kosa wala tishio lolote la amani ulilofanya Afu tunajiita Jeshi la wananchi wakati wananchi wenyew wnatuogopa inabd ifanyike reform kwakweli...
Mkuu Umri wangu tu huwezi kufika...Tatizo la watoto wa siku hizi waliozoea watu mitandaoni bila kuwajua Watu wanadhani wanamjua mtu kupitia mtandao wakati hata anapoishi tu Hujui..Kaka we hunijui hujui niko Wapi,Hujui nfanya nini hujui Hata kama niko AFRICA AU NIKO india...Umerudi lini mkuu...USA wanaendeleaje?
hana aibu mtu mzima kutudanfanyaMie nime fanya ku google.. acha nikae namajibu yangu .. sitaki chai ya mtu 😅😅
Labda ule ubabe wao kwa raia ndio ubora wao lakini kiuhalisia ni washamba tuu, na wengi wao Elimu ya kuunga unga wamejaa darasa la saba na walio feli form 4, yani mtu akifeli shuleni anakimbilia kule alafu wanajiita jeshi la 6 kwa ubora 😂😂😂 futuhi kabisa 😂😂😂Afu uwez amini sijawahi kuona Mwanajeshi wa UsArmy yyte akionea Raia mara Sjui kavaa nguo za Jeshi mara sjui kafanyaje Wako peace kinyama jaman hata wa china njoo tz pita tu bahati mbaya kambini ukiwa na boda boda tu pikipiki utaibeba huku umeiwasha na uzunguke Nayo mgongoni kambi zima na hakuna hata kosa wala tishio lolote la amani ulilofanya Afu tunajiita Jeshi la wananchi wakati wananchi wenyew wnatuogopa inabd ifanyike reform kwakweli...
Mastori ya town
Kunguru muoga huishi miaka mingi..acha tu niendelee kuwaogopa😃😃Mnayaogopa bure tu hayo...hamna lolote
Anajidhalilisha yeye pamoja na taasisi ya JWTZ kwa maana hata foreign diplomats wanafuatilia habari za Tanzania na taasisi zake. Kusema kuwa "We have one of the most disciplined and well-equipped army" ingetosha sana pasipo kuitaja hiyo namba 6.