Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, CA = Central Africa Republic??Juzi Kati wafurumushwa CA walipokuwa baada ya kujihusisha na ubakaji
Kweli kabisa mkuuKweli huyu ni msemaji wa taasisi kubwa kama JWTZ huku uelewa wake wa mambo ni ndogo kiasi hiki ? Kuna haja kuweka watu katika nafasi kulingana na uwezo wao kitaaluma
Ninajiandaa kuondoka JamiiForums. Nimebakiza siku 8 tu. Una neno lolote kwangu??Naona siku Tz Vita ikitokea Members wa JF ndo watakaosonga mbele sio Jwtz
Endelea kujifunzaNinajiandaa kuondoka JamiiForums. Nimebakiza siku 8 tu. Una neno lolote kwangu??
Nilishiriki shindano la stories of change 2023. Ndio ninasikilizia kama nitapata hela. Kwa sasa sikai sehemu kama hapaniingizii pesa ndio maana nikikosa pesa pahala ninaondoka faster.Endelea kujifunza
Fanya hvo home BoyNilishiriki shindano la stories of change 2023. Ndio ninasikilizia kama nitapata hela. Kwa sasa sikai sehemu kama hapaniingizii pesa ndio maana nikikosa pesa pahala ninaondoka faster.
Sawa home boy mwenzangu.Fanya hvo home Boy
Kuna wapigaji walimuzia mama mmoja nyumba iliyokuwa inamilikiwaKuwavua nguo raia na kuwadhalilisha ndo ubora wenyewe?
MaliziaKuna wapigaji walimuzia mama mmoja nyumba iliyokuwa inamilikiwa
Na jwtz maeneo ya msasani
Nyuma ya tanesco huko
Jana mabaunsa walienda na mama huyo kumtoa mtu aliyekuwa anakaa ndani,mule ambaye ni mjedah [emoji1]
Wakati huo alikuwa hayupo nyumbani
Sasa basi mtiti ukaanza si wanajeshi MP wakaja hapo kilichoendelea yule mama anakijua mwenyewe
Ila naona issue hii media hawajaipata
Maana ingekuwa aibu
Ova
Hali ya huyo mama ipoje huko hospitalini🤣Kuna wapigaji walimuzia mama mmoja nyumba iliyokuwa inamilikiwa
Na jwtz maeneo ya msasani
Nyuma ya tanesco huko
Jana mabaunsa walienda na mama huyo kumtoa mtu aliyekuwa anakaa ndani,mule ambaye ni mjedah [emoji1]
Wakati huo alikuwa hayupo nyumbani
Sasa basi mtiti ukaanza si wanajeshi MP wakaja hapo kilichoendelea yule mama anakijua mwenyewe
Ila naona issue hii media hawajaipata
Maana ingekuwa aibu
Ova
Mkuu, CA = Central Africa Republic??
Inasikitisha sana mkuu