Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Hakuwa kwenye kilevi kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuwa kwenye kilevi kweli?
Kanali vita haijui [emoji1]Msikilize Kanali mwenzio kikakamavu.[emoji23]
Huyu mjinga jeshi linamuendekeza
Unapokuwa msemaji wa taasisi kama Jeshi ni lazima kuwa makini sana na kauli zako kwa maana zinaonesha pia caliber yako kuwa wewe ni mtu wa namna gani.C'mon now 🤣
Ila maafande wanafahamika kwa vichekesho na ucheshi, usichukulie serious kila kitu wanachoongea.
Inaonesha ni kiasi gani wanajeshi wetu walivyopitwa na wakati. Hata kutumia Google kwa vitu simple tu ni shida
Hahahaaaa. Hawa jamaa wangependa tusiwe na TV au internet. Tuwe wajinga hivihivi. Yamkini huyi jamaa ana uelewa mdogo au amejaa ujinga, ndio maana anatafuta mitumba yao mtaani.
Anajidhalilisha yeye pamoja na taasisi ya JWTZ kwa maana hata foreign diplomats wanafuatilia habari za Tanzania na taasisi zake. Kusema kuwa "We have one of the highly disciplined and well-equipped army in the world" ingetosha sana pasipo kuitaja hiyo namba 6.Hahahaaaa. Hawa jamaa wangependa tusiwe na TV au internet. Ama jamaa ana uelewa mdogo au amejaa ujinga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndoto yng ya kuingia jwtz ilikuaga ndio hyo ya Kula wanawake kule mipakani [emoji3]Namba 6 duniani kwa kupasua matofali na kuwamegea watu wake zao!
Kuwavua nguo raia na kuwadhalilisha ndo ubora wenyewe?
Israel, US, Russia, China, German, TZ, UK, France, Italy, Japan, India,