JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

IDF hakuna wenye miili kama jamaa ila msako wanaotembeza GAZA mabikra 72 kuzimu ndio wanauelewa vizur.
Hawa ambao mwezi wa nne wapo gaza inayo zidiwa ukubwa na kigamboni lakini wakashindwa kuiteka na kuwapata mateka dhidi ya migambo ya jiji sasa wakija tz hiyo IDF tofauti yake na jwtz ni mashoga walio jaa humo.
 
Sasa ww siumetuambua kuwa Hamas wako mashimoni ? kwahiyo labda wanajeshi wake watakuwa wanauliwa na majini maimuna.
Kwani huko mashimoni wanakaa milele?

Si kuna muda wanatoka kutafuta mahitaji ya kuwafanya waendelee kusurvive humo shimoni ndio hapo wanakutana na kipigo.
 
Nyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?

Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.

Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.
Uhusiano wa jeshi letu na raia siyo mzuri hivyo usilazimishe lipendwe. Acheni kuwa mnapiga na kutesa raia kisa tu mmoja wenu kafumaniwa huko na mke wa mtu na kupigwa mtama. Always remember that an army unit without discipline is nothing but a bunch of hooligans!

Na hiyo ni kazi mliyoomba wenyewe hamkulazimishwa na mtu. Hivyo huo ni wajibu wenu. Kila mmoja akianza kuelezea umuhimu wa kazi yake itakuwaje?

Raia wanawapenda sana na kuwaheshimu ila matukio ya kuwageuka na kuwapiga bila sababu yanawatia doa wakati nyie ni jeshi la wananchi tena la sita kwa ubora duniani.

Badilikeni! 🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Kwani huko mashimoni wanakaa milele?

Si kuna muda wanatoka kutafuta mahitaji ya kuwafanya waendelee kusurvive humo shimoni ndio hapo wanakutana na kipigo.

Kwa hiyo wakitoka kufuata mahitaji ndo wanatoka wanawauwa wanajeshi wa jeshi teule?
Alafu kwa sasa gaza ni mahitaji gani ambayo watatoka kuyatafuta?

Tofauti ya IDF na JWTZ ni kuwa idf imejaa mashoga na wafukuana mitaro .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mbona M23 bado wapo.
Wapo Sasa hivi ndio, ila hio mission iliofanywa wakati huo ilifanikiwa na wakapigwa. Kama wewe mgeni JF huwezi jua hili ila Kuna nyuzi nyingi sana humu za Jwtz na M23 miaka ya 2012-2014. Mpaka Kagame akawa analia lia. So far Ukanda wetu ni Jwtz pekee ambao waliweza kuwapiga Hawa jamaa kwa ufanisi mkubwa.
 
Nchi inajilinda hii. Amani ya nchi hii siyo kwasabb ya jeshi. Ni aina ya watu wake. Wajinga waliojaa uoga na hofu.

Mitafaruku ya nchi jirani haisababishwi na uvamizi au udhaifu wa majeshi yao. Ni kwasabb ya aggressiveness ya wananchi wake.
📌📌📌📌📌📌📌👏👏👏👏👏👏
 
Kwa hiyo wakitoka kufuata mahitaji ndo wanatoka wanawauwa wanajeshi wa jeshi teule?
Alafu kwa sasa gaza ni mahitaji gani ambayo watatoka kuyatafuta?

Tofauti ya IDF na JWTZ ni kuwa idf imejaa mashoga na wafukuana mitaro .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hayo maswala ya jeshi teule utajadili na wadini wenzako wanaoamini kwenye uteule

Halafu hakuna nchi ambayo imekosa mashoga

Hata hapo Makka mnapopaona patakatifu na kuenda kuhiji, hao watu wapo.

Utofauti ni kwamba hawajioneshi na kujitangaza kwasababu ya sheria kali na hicho ndio kinachokufariji.

Kuna mifano mingi ya masheikh ambao ni mashoga na wanapigania haki za ushoga kama haki zingine za kibinaadamu.

Wapo celebrities ambao wame convert kuwa waislamu na bado ni mashoga, wavuta bangi, wachora tattoo vitu ambavyo ni mwiko kwenye dini.

And the funniest part that makes me laugh ni pale napoona jumuiya ya kiislamu inakuwa proud na hao watu kuliko wewe unayevaa makanzu na kujitengenezea kovu la kimakusudi kwenye paji la uso kwa kujisugua sugua and still nobody knows you
 
Subiri uje uingie kwenye anga zao upapaswe kalio ndo utaiona kazi ya kuvunja matofari.
Mimi Sina silaha Wala sifanyi mazoezi ya mabavu maana naweza kupata kwa njia nyingine za halali. Lakini hawatishi kihivyo. Hizo sifa kawaambie wajichanganye na wenye mazoezi kama wao ndio watafurahia show.
 
Wenzetu wanapotuambia Tanzania ubunifu 0 , tuwe tunawaelewa wanachosema .
 
Nyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?

Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.

Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.
Hicho wanachokifanya JWTZ ni upumbavu mkubwa. Dunia iko mbali sana kwenye teknolojia za kivita, hayo mazingaombwe wangewaachia mgambo wa jiji
 
Back
Top Bottom