JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

Huko wanakokwenda kufundishwa ukomandoo wanahenyeshwa na Hamas mitaani, tunawaona wakomandoo wanaowafundisha Tanzania wakilia na kujiharia. Kwa ushahidi kabisa.
Hahahaaa! Hivi huko Gaza hayo mambo kama ya kuvunja mbao kwa mikono yanasaidiaje?

Mwanajeshi yeyote yule akijikuta yuko kwenye hali ya kupigana ngumi na adui ajue amekwisha.

Vitani hakuna anayepigana ngumi.

Yaani mimi mwanajeshi nimbananishe adui halafu eti tuanze kupigana ngumi wakati naweza kukutandika shaba? Abadani asilani.

Sitopoteza kabisa muda wangu kurusha mateke na ngumi. Ni shaba tu.
 
Majeshi yote yanafanya hivyo, na uwezo wa jeshi haupimwi kwa Maonyesho, mbona Jwtz Wana Successfull mission nyingi tu Congo, Comoro, Uganda etc. Compare na Nchi jirani Jwtz wapo level headed sana.

Hapo labda Uganda tu, Tena kutokana mshikamano wa wananchi kipindi kile. Leo ikitokea vita na Uganda Kuna wananchi wengi wataisapoti Uganda iwaindoe wakoloni weusi CCM.
 
Nyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?

Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.

Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.
Nchi inajilinda hii. Amani ya nchi hii siyo kwasabb ya jeshi. Ni aina ya watu wake. Wajinga waliojaa uoga na hofu.

Mitafaruku ya nchi jirani haisababishwi na uvamizi au udhaifu wa majeshi yao. Ni kwasabb ya aggressiveness ya wananchi wake.
 
Hauwaogopi wakati huo unatumia ID feki ili usitambulike?, kwanza hata jeshi tumeenda mbali tumia utambulisho sahihi alafu uongee mbovu dhidi ya serikali uone kama ujapapaswa kalio mchana kweupe na vijana wa chama cha kijani .

Wewe mbona unatumia ID feki na ni chawa wa CCM
 
Wakati wa Kikwete kulikua na mtifuano baina ya Jwtz na M23 waasi na Jwtz kufanikiwa kuwapiga labda kama umesahau.

Soma hii Hotuba ya Kikwete kuhusu Jwtz alilist mafanikio yao yote Darfur, Ivory coast, Liberia, Congo, Visiwa vya shelisheli, Uganda, Comoro etc.


Mbona M23 bado wapo.
 
Hahahaaa! Hivi huko Gaza nani mambo kama ya kuvunja mbao kwa mikono yanasaidiaje?

Mwanajeshi yeyote yule akijikuta yuko kwenye hali ya kupigana ngumi na adui ajue amekwisha.

Vitani hakuna anayepigana ngumi.

Yaani mimi mwanajeshi nimbananishe adui halafu eti tuanze kupigana ngumi wakati naweza kukutandika shaba? Abadani asilani.

Sitopoteza kabisa muda wangu kurusha mateke na ngumi. Ni shaba tu.
Huko watu wanavaa bullet proof, risasi za kawaida haziingi wanalambwa na rpg za kupigia vifaru.
 
Trump alitiwa hasira sana na kiduku kwa maonyesho yake,
Alivyokuwa mpumbavu awaambia US Army nao wafanye hayo maigizo, magenerali wa US Army wakamwambia akae kwa kutulia..... 🤣

Chai Kama chai. Ulikuwa ikulu ya marekani kusikia hayo?.
 
I am not in the least bit impressed.

Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo, kwangu hayana maana yoyote ile.


View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n

Upuuzi tu. Yani ni vichekesho. Ata stunt za kwenye movie wanawashinda. Ushamba tu. Hawa wanatakiwa waachwe pale Yemen tu au Somalia alafu wapoteze muda na hizo bata vuzi ndio watajua hawajui. Yani tunaaibisha.
 
I am not in the least bit impressed.

Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo, kwangu hayana maana yoyote ile.


View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n

Utoto mwingi sana. Wemzao wa wafanya mazimgaombwe mashule na
Wa Mapawa walishaacha hizi mambo, wenyewe bado wapo nazo tu. Onyesho hili limekidhi vigezo vyote vya maigizo kwa shule za msingi, lakini kiuhalisia haliakisi chochote katika action, maana linaibua maswali mengi pia ni wazito
 
Una uhakika kwamba hawajawah kuvamia? Sema walipovamia walikua jiwe naye hajaribiwi kingese... Unafikiri watu kutupwa kwenye viroba ilikua ni uzembe? Ile ilikua message Kwa wanaowatuma.

Jk alitaka akiwashe mara mbili ila wakorofi waliomba poo mapema

Remember lowasa na mkasa wa ziwa Nyasa na Ile ya jk baada ya kuletewa dharau na Mr pk

Pia kumbuka bahima empire ilivyofyekwa kimya kimya

Jeshi letu lipo vizur Kwa ukanda huu wa kwetu ni vile Hawa tunaowaona mitaani wameamua kujizima data na mabapa ya k vant
Lingekuwa vizuri CCM isingekuwepo. Tuache kusifiana ujinga. Hawana la maana.
 
Nyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?

Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.

Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.
Acha tu mkuu, Kuna watu wamelewa Amani, ila hawajui wanaoisimamia hiyo Amani ni akina nani.
 
Nyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?

Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.

Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.

Mbona unachanganya mada
 
Back
Top Bottom