JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

Nyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?

Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.

Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.

Acha uongo wewe tapeli. Hao JWTZ wanamlinda nani usiku?. Watu wametekwa mpaka Leo hawajulikani walipo, halafu unatuletea stori za kijinga. Punguza uongo
 
Hao wenzenu walio toka huko kwenye kuvunja mbao si ndo wameshindwa kuokoa mateka hapo gaza dhidi ya wahuni wa Hamas mwezi wa nne huu? ,kijana acha dharau dhidi ya wanao kufanya uwe salama.

Usalama upi?. Punguza sifa .
 
I am not in the least bit impressed.

Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo, kwangu hayana maana yoyote ile.


View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n

Naunga mkono hoja.

Hatuna ubunifu. Kwanza hayo maadhimisho ya viwanjani kila sherehe ni kupoteza muda na pesa.

Watu wanaandaa matamasha hayo wajipigie pesa kiulaini. Uliza gharama za hizo sherehe kama hukuambiwa mabilioni.
 
Unajua umezungukwa na nchi ngapi zilizokosa amani na zimejaa waasi na wewe upo hapa unatapika upuuzi bila ya hofu yoyote?

Nchi gani Ina waasi?. Baadala mshukuru Kuna wananchi wa Tanzania wapenda amani na wanasiasa watulivu, unaleta sifa za uongo. Amani ya Tanzania inalindwa na Mungu basi.
 
Zina waasi kutokana na tawala za kijinga zilizo kwenye nchi hizo. Kwani hizo nchi nyingine zenye waasi wana uhusiano gani na kuvunjiana matofali kichwani kwa askari wetu. Na kwa taarifa yako tushukuru tu hawajataka kuvamia hapa nchini, maana wakiamua huenda ikawa bonge la aibu. Acha vitisho vya kijinga boss.
Una uhakika kwamba hawajawah kuvamia? Sema walipovamia walikua jiwe naye hajaribiwi kingese... Unafikiri watu kutupwa kwenye viroba ilikua ni uzembe? Ile ilikua message Kwa wanaowatuma.

Jk alitaka akiwashe mara mbili ila wakorofi waliomba poo mapema

Remember lowasa na mkasa wa ziwa Nyasa na Ile ya jk baada ya kuletewa dharau na Mr pk

Pia kumbuka bahima empire ilivyofyekwa kimya kimya

Jeshi letu lipo vizur Kwa ukanda huu wa kwetu ni vile Hawa tunaowaona mitaani wameamua kujizima data na mabapa ya k vant
 
Sasa unataka waonyeshe skills zao zote hadharani? Hivi nyie sayansi ya majeshi na vita mnaijua?
Huko wanakokwenda kufundishwa ukomandoo wanahenyeshwa na Hamas mitaani, tunawaona wakomandoo wanaowafundisha Tanzania wakilia na kujiharia. Kwa ushahidi kabisa.
 
Hao wenzenu walio toka huko kwenye kuvunja mbao si ndo wameshindwa kuokoa mateka hapo gaza dhidi ya wahuni wa Hamas mwezi wa nne huu? ,kijana acha dharau dhidi ya wanao kufanya uwe salama.

Nani hao Hawa wanaopigwa na dereva bajaji.
 
Maonesho ya makomandoo kuokoa ni utoto kabsa makosa mengi saana .yani una ona kabsa hawa kutua tu wangesha kula shaba wotee ..
 
Mtu asiye na akili pekee ndo atashindwa kuelewa maana ya neno sherehe wanayoyafanya ndo yanayopaswa kufanywa kwe sherehe tusijifanye tuko serious sana hadi kwenye sherehe

Wanasherehesha. Kwa kifupi wanafanya komedi.
 
njoo na maonyesho labda jeshi linazindua biosoldiers au security robots, warsut bulletprof
 
Una uhakika kwamba hawajawah kuvamia? Sema walipovamia walikua jiwe naye hajaribiwi kingese... Unafikiri watu kutupwa kwenye viroba ilikua ni uzembe? Ile ilikua message Kwa wanaowatuma.

Jk alitaka akiwashe mara mbili ila wakorofi waliomba poo mapema

Remember lowasa na mkasa wa ziwa Nyasa na Ile ya jk baada ya kuletewa dharau na Mr pk

Pia kumbuka bahima empire ilivyofyekwa kimya kimya

Jeshi letu lipo vizur Kwa ukanda huu wa kwetu ni vile Hawa tunaowaona mitaani wameamua kujizima data na mabapa ya k vant

Stori za kutunga tu. Mbona wanachapika na madreva bajaji.
 
Libadilike liende wapi wewe unalifahamu jeshi kuliko linavyo jifahamu lenyewe ? Wewe ni mpuuzi wa siasa taka za CCM na Chadema sio kila kitu kimekaa mlengo huo

Libadilike liache kuwa chawa wa CCM.
 
Nenda makao makuu Dodoma kawaulize wana maajabu gani tofauti na kuvunjiana matofali au nenda kwenye kambi yoyote unayo ifahamu kawa ulize wata kufahamisha.

Hawana maajabu. Wangekuwa na maajabu tungejua.
 
Nunga mkono hoja.

Hatuna ubunifu. Kwanza hayo maadhimisho ya viwanjani kila sherehe ni kupoteza muda na pesa.

Watu wanaandaa matamasha hayo wajipigie pesa kiulaini. Uliza gharama za hizo sherehe kama hukuambiwa mabilioni.
Ahh dada yang kipenzi
Umepugilia msumari
Asanteee

Ova
 
Hao wenye hizo drone si ndo wako gaza wanahenyeshwa na wanamgambo wanao tumia silaha za mwaka 47?
Kijana acha dharau hao ndo wanakufanya unalala usingizi.

Acha stori za vijiweni. Eti wanakufanya unalala usiku. Wamekuwa Mungu?. Acheni kuwapa watu sifa za kijinga.
 
Una uhakika kwamba hawajawah kuvamia? Sema walipovamia walikua jiwe naye hajaribiwi kingese... Unafikiri watu kutupwa kwenye viroba ilikua ni uzembe? Ile ilikua message Kwa wanaowatuma.

Jk alitaka akiwashe mara mbili ila wakorofi waliomba poo mapema

Remember lowasa na mkasa wa ziwa Nyasa na Ile ya jk baada ya kuletewa dharau na Mr pk

Pia kumbuka bahima empire ilivyofyekwa kimya kimya

Jeshi letu lipo vizur Kwa ukanda huu wa kwetu ni vile Hawa tunaowaona mitaani wameamua kujizima data na mabapa ya k vant
Achana na madogo wa humu wanatema shit wameshiba viporo basi JF ndio ulingo wao wa kutapika hawajui hata ni mambo mangapi JWTZ wamezuia
 
Back
Top Bottom