Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia sana neno extraction
Ova
Hao wenye hizo drone si ndo wako gaza wanahenyeshwa na wanamgambo wanao tumia silaha za mwaka 47?Apitie kwenda kufanya Nini boss, Dunia hii ya vita vya drones, Bado makomandoo wanaona sifa kuvunjia mawe kichwani? Tuombe tu isitokee vita maana itakuwa aibu.
Kama ni hivyo jeshi la US lisingeweka vifaa vyake hadharani. Mkuu mambo ya kijeshi sio uganga wa kienyeji. Acha story hizo babu.Mlitaka wafanye nini? Mlitaka walipue mabomu live ama ? Nyie vipi nyie?
Halafu nyie mnao ponda hayo mnayo yaita magembe ( maigizo) mnafahamu chochote kuhusu sayansi ya majeshi na sanaa ya vita ( military science & the art of war?
Moja kati ya kanuni za sanaa ya vita ni " pretend to be weak when ur strong when ur a weak so that u can fool ur enemies."
Hakuna jeshi lolote duniani linaweza kuweka skills zake hadharani namna hiyo.
JWTZ wapo sahihi kabisa
Ungekuwa hauwaogopi ungekuwa unatumia ID feki fala ww.Siyo uwaite. Njoo nao kabisa.
Vilaza wakubwa hao.
Wasingekuwa na hizo drones wangekuwa wameshamalizwa, hizo drones ndio zinawafanya watoe kisago pande hizo. Wananifanya nilale maana huo ndio wajibu wao kwani wanalipwa mishahara na sio hisani boss. Wakishindwa kulinda nilale wataajiriwa wengine walioko tayari kwa kazi hiyo ya ulinzi maana ni mshahara wanapata.Hao wenye hizo drone si ndo wako gaza wanahenyeshwa na wanamgambo wanao tumia silaha za mwaka 47?
Kijana acha dharau hao ndo wanakufanya unalala usingizi.
I am not in the least bit impressed.
Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo kwangu hayana maana yoyote ile.
View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n
PAWA MABULANamkumbuka pawa
Kutumia I'd fake sio kosa kwenye mitandao ya kijamii, bali ni kwa ajili ya privacy. Labda useme hilo jeshi liko kupambana na watoa maoni wasio kubaliana na maigizo Yao outdated.Ungekuwa hauwaogopi ungekuwa unatumia ID feki fala ww.
Hatuko mbali. nilipenda hizi mambo nikiwa bush arumeru nimekuja dar weee nimekua mjanja uo ni upimbi upimbilimbiHuo upumbavu nilikuwa naupenda kuuangalia kipindi nikiwa mtoto mdogo
Lakini sasa hivi nimeshakua na kugundua ni upumbavu tu
One on one simwogopi mtu. I can hold my own.Ungekuwa hauwaogopi ungekuwa unatumia ID feki fala ww.
ahah eti upimbilimbiHatuko mbali. nilipenda hizi mambo nikiwa bush arumeru nimekuja dar weee nimekua mjanja uo ni upimbi upimbilimbi
I am not in the least bit impressed.
Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo ya kipuuzi puuzi, kwangu hayana maana yoyote ile.
View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n
Depal unatukana jeshi letu tukufu? ngoja waje wakung'oe komweHaha extraction inaweza beba wazee mpaka Kizimkazi
Haha si ndo huyo MC hapo anamwambia mama kizimkaziDepal unatukana jeshi letu tukufu? ngoja waje wakung'oe komwe
Wameweka vifaa vyao vyote? Yani jeshi liweke siri zake za kijeshi hadharani?Kama ni hivyo jeshi la US lisingeweka vifaa vyake hadharani. Mkuu mambo ya kijeshi sio uganga wa kienyeji. Acha story hizo babu.
Hivi aga inakuwaje raia anaambiwa aogelee tope nae anaogelea, kwanini asikatae wamuue au wamkamate wamwogeshe wenyewe?Siyo uwaite. Njoo nao kabisa.
Vilaza wakubwa hao.
Wasingekuwa na hizo drones wangekuwa wameshamalizwa, hizo drones ndio zinawafanya watoe kisago pande hizo. Wananifanya nilale maana huo ndio wajibu wao kwani wanalipwa mishahara na sio hisani boss. Wakishindwa kulinda nilale wataajiriwa wengine walioko tayari kwa kazi hiyo ya ulinzi maana ni mshahara wanapata.
Vifaa vyao sio siri boss, labda hujui lolote kwenye Dunia hii. Siri kwao ni mbinu sio vifaa. Hawahitaji kuweka vitu vyote, lakini uhalisia wa nguvu zao kijeshi uko wazi. Yale mameli ya kivita, madege makubwa ya kivita ni Siri?Wameweka vifaa vyao vyote? Yani jeshi liweke siri zake za kijeshi hadharani?
Tell me ur joking please