JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

Apitie kwenda kufanya Nini boss, Dunia hii ya vita vya drones, Bado makomandoo wanaona sifa kuvunjia mawe kichwani? Tuombe tu isitokee vita maana itakuwa aibu.
Hao wenye hizo drone si ndo wako gaza wanahenyeshwa na wanamgambo wanao tumia silaha za mwaka 47?
Kijana acha dharau hao ndo wanakufanya unalala usingizi.
 
Mlitaka wafanye nini? Mlitaka walipue mabomu live ama ? Nyie vipi nyie?

Halafu nyie mnao ponda hayo mnayo yaita magembe ( maigizo) mnafahamu chochote kuhusu sayansi ya majeshi na sanaa ya vita ( military science & the art of war?

Moja kati ya kanuni za sanaa ya vita ni " pretend to be weak when ur strong when ur a weak so that u can fool ur enemies."

Hakuna jeshi lolote duniani linaweza kuweka skills zake hadharani namna hiyo.

JWTZ wapo sahihi kabisa
Kama ni hivyo jeshi la US lisingeweka vifaa vyake hadharani. Mkuu mambo ya kijeshi sio uganga wa kienyeji. Acha story hizo babu.
 
Hao wenye hizo drone si ndo wako gaza wanahenyeshwa na wanamgambo wanao tumia silaha za mwaka 47?
Kijana acha dharau hao ndo wanakufanya unalala usingizi.
Wasingekuwa na hizo drones wangekuwa wameshamalizwa, hizo drones ndio zinawafanya watoe kisago pande hizo. Wananifanya nilale maana huo ndio wajibu wao kwani wanalipwa mishahara na sio hisani boss. Wakishindwa kulinda nilale wataajiriwa wengine walioko tayari kwa kazi hiyo ya ulinzi maana ni mshahara wanapata.
 
Ungekuwa hauwaogopi ungekuwa unatumia ID feki fala ww.
Kutumia I'd fake sio kosa kwenye mitandao ya kijamii, bali ni kwa ajili ya privacy. Labda useme hilo jeshi liko kupambana na watoa maoni wasio kubaliana na maigizo Yao outdated.
 
I am not in the least bit impressed.

Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo ya kipuuzi puuzi, kwangu hayana maana yoyote ile.


View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n

Siku nikiwa na mamlaka nitapiga marufuku huu utamaduni usiojenga uzalendo. Nitahakikisha sheria mpya inatungwa na kupitishwa na Bunge kufuta kabisa huu utaratibu
 
Kama ni hivyo jeshi la US lisingeweka vifaa vyake hadharani. Mkuu mambo ya kijeshi sio uganga wa kienyeji. Acha story hizo babu.
Wameweka vifaa vyao vyote? Yani jeshi liweke siri zake za kijeshi hadharani?

Tell me ur joking please
 
Wasingekuwa na hizo drones wangekuwa wameshamalizwa, hizo drones ndio zinawafanya watoe kisago pande hizo. Wananifanya nilale maana huo ndio wajibu wao kwani wanalipwa mishahara na sio hisani boss. Wakishindwa kulinda nilale wataajiriwa wengine walioko tayari kwa kazi hiyo ya ulinzi maana ni mshahara wanapata.

Sasa ww usiye vunja matofari kanini usijilinde mwenyewe maana hao wavunja matofari hawana maana.
Hizo drone mbona hazija wasaidia kujua mateka walipo na kuishinda Hamas miezi 4 sasa alafu una uhakika gani ya kuwa hawana hizo drone?
Kwa hiyo ww watoto wako wanatakiwa kukutukana na kukudharau kisa ni wajibu wako kuwatunza?
Au ni sawa kumdharau mwalimu aliye kufundisha kisa lilikuwa ni jukumu lake kukufundisha?
Alafu pesa za kununua hizo drone si zinatakiwa kutolewa na wanasiasa mlio wachagua wenyewe sasa kama hawatoi hizo hela mnataka wanajeshi watoe hela zao mfukoni wakanunue?
 
Wameweka vifaa vyao vyote? Yani jeshi liweke siri zake za kijeshi hadharani?

Tell me ur joking please
Vifaa vyao sio siri boss, labda hujui lolote kwenye Dunia hii. Siri kwao ni mbinu sio vifaa. Hawahitaji kuweka vitu vyote, lakini uhalisia wa nguvu zao kijeshi uko wazi. Yale mameli ya kivita, madege makubwa ya kivita ni Siri?
 
Back
Top Bottom