JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

JWTZ kufanya maonyesho ya ukakamavu kwenye Sherehe za Kitaifa kumepitwa na wakati

I am not in the least bit impressed.

Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo kwangu hayana maana yoyote ile.


View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n

Majeshi yote yanafanya hivyo, na uwezo wa jeshi haupimwi kwa Maonyesho, mbona Jwtz Wana Successfull mission nyingi tu Congo, Comoro, Uganda etc. Compare na Nchi jirani Jwtz wapo level headed sana.
 
Sasa ww usiye vunja matofari kanini usijilinde mwenyewe maana hao wavunja matofari hawana maana.
Hizo drone mbona hazija wasaidia kujua mateka walipo na kuishinda Hamas miezi 4 sasa alafu una uhakika gani ya kuwa hawana hizo drone?
Kwa hiyo ww watoto wako wanatakiwa kukutukana na kukudharau kisa ni wajibu wako kuwatunza?
Au ni sawa kumdharau mwalimu aliye kufundisha kisa lilikuwa ni jukumu lake kukufundisha?
Alafu pesa za kununua hizo drone si zinatakiwa kutolewa na wanasiasa mlio wachagua wenyewe sasa kama hawatoi hizo hela mnataka wanajeshi watoe hela zao mfukoni wakanunue?
Umechanganya mambo mengi kwa wakati mmoja hadi nashindwa kujua hoja yako ni ipi. Naona umepanick vibaya, au ww ndio ulikuwa unavunjiwa tofali kichwani na ukawa unaona ni jambo la maana sana Nini?
 
Majeshi yote yanafanya hivyo, na uwezo wa jeshi haupimwi kwa Maonyesho, mbona Jwtz Wana Successfull mission nyingi tu Congo, Comoro, Uganda etc. Compare na Nchi jirani Jwtz wapo level headed sana.
Congo wanalinda amani sio zaidi ya hapo. Comoro wana ubavu gani kijeshi? Uganda ipi, hizo story za vita miaka 40+ iliyopita ndio unaonyesha kama uwezo miaka hii? Tena huko Uganda ni vile Iddy Amin waganda walikuwa washamchoka. Story ingekuwa nyingine. Ni hivi, jeshi liachane na show outdated.
 
Hao wenzenu walio toka huko kwenye kuvunja mbao si ndo wameshindwa kuokoa mateka hapo gaza dhidi ya wahuni wa Hamas mwezi wa nne huu? ,kijana acha dharau dhidi ya wanao kufanya uwe salama.
Muhuni weye na familia yako. Hamas wanapigania nchi yao inayokaliwa kwa mabavu
 
mbOne on one simwogopi mtu. I can hold my own.

JWTZ ni vilaza tu.
Hauwaogopi wakati huo unatumia ID feki ili usitambulike?, kwanza hata jeshi tumeenda mbali tumia utambulisho sahihi alafu uongee mbovu dhidi ya serikali uone kama ujapapaswa kalio mchana kweupe na vijana wa chama cha kijani .
 
Vifaa vyao sio siri boss, labda hujui lolote kwenye Dunia hii. Siri kwao ni mbinu sio vifaa. Hawahitaji kuweka vitu vyote, lakini uhalisia wa nguvu zao kijeshi uko wazi. Yale mameli ya kivita, madege makubwa ya kivita ni Siri?
They always show to the world less than what they possess . Be sharp bro
 
Congo wanalinda amani sio zaidi ya hapo. Comoro wana ubavu gani kijeshi? Uganda ipi, hizo story za vita miaka 40+ iliyopita ndio unaonyesha kama uwezo miaka hii? Tena huko Uganda ni vile Iddy Amin waganda walikuwa washamchoka. Story ingekuwa nyingine. Ni hivi, jeshi liachane na show outdated.
Wakati wa Kikwete kulikua na mtifuano baina ya Jwtz na M23 waasi na Jwtz kufanikiwa kuwapiga labda kama umesahau.

Soma hii Hotuba ya Kikwete kuhusu Jwtz alilist mafanikio yao yote Darfur, Ivory coast, Liberia, Congo, Visiwa vya shelisheli, Uganda, Comoro etc.

 
They always show to the world less than what they possess . Be sharp bro
Kama Yale madege, meli za kivita ni kidogo cha walichonacho, basi ni wa hatari sana. Sasa Hawa wanaoonyesha kuvunjiana matofali kichwani wana jipya lipi?
 
Nyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?

Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.

Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.

Wanakesha kivyao wala hamna mtu mwenye time nao usiwape umuhimu wa kuvunja matofali bana
 
Wakati wa Kikwete kulikua na mtifuano baina ya Jwtz na M23 waasi na Jwtz kufanikiwa kuwapiga labda kama umesahau.

Soma hii Hotuba ya Kikwete kuhusu Jwtz alilist mafanikio yao yote Darfur, Ivory coast, Liberia, Congo, Visiwa vya shelisheli, Uganda, Comoro etc.

Sina imani sana na story za serekali, nyingi ni za kupika ili kuhadaa umma.
 
Hao wenzenu walio toka huko kwenye kuvunja mbao si ndo wameshindwa kuokoa mateka hapo gaza dhidi ya wahuni wa Hamas mwezi wa nne huu? ,kijana acha dharau dhidi ya wanao kufanya uwe salama.
Sasa hao maharamia kama wanajificha kwenye mashimo kama panya huoni ni ishara kwamba hawana uwezo?

Wanajificha nyuma ya raia na kuwatumia kama shield kuwapa advantage keyboard warriors wa social media waje na campaign ya #freepalestinians
 
Trump alitiwa hasira sana na kiduku kwa maonyesho yake,
Alivyokuwa mpumbavu awaambia US Army nao wafanye hayo maigizo, magenerali wa US Army wakamwambia akae kwa kutulia..... 🤣
 
Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo, kwangu hayana maana yoyote ile.
Jirani yetu Mr. Slim anatuchora tu sisi tunadhani sifa
 
"Ngabu kuumia kupenda tunaona hujaumia muda mrefu Mzee"
1693477939534.jpg
 
Back
Top Bottom