Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unataka waonyeshe skills zao zote hadharani? Hivi nyie sayansi ya majeshi na vita mnaijua?Yani unavunja mbao kwa mkono halafu mbele ya kadamnasi unajiita komando?
Majeshi ya wenzetu washatoka huko kwenye huo mfumo wa kutegemea mikono kuvunja mbao.
View attachment 2870001
Hao wenzenu walio toka huko kwenye kuvunja mbao si ndo wameshindwa kuokoa mateka hapo gaza dhidi ya wahuni wa Hamas mwezi wa nne huu? ,kijana acha dharau dhidi ya wanao kufanya uwe salama.Yani unavunja mbao kwa mkono halafu mbele ya kadamnasi unajiita komando?
Majeshi ya wenzetu washatoka huko kwenye huo mfumo wa kutegemea mikono kuvunja mbao.
View attachment 2870001
Unaniita dogo wakati wee ni mdogo wangu kabisa,ntake radhi banaNyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?
Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.
Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.
Apitie kwenda kufanya Nini boss, Dunia hii ya vita vya drones, Bado makomandoo wanaona sifa kuvunjia mawe kichwani? Tuombe tu isitokee vita maana itakuwa aibu.Acha dharau dogo umewahi pita hata JKT angalau kwa miaka miwili ?
Acha mkwala mbuzi dogoNyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?
Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.
Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.
Hayo mambo alikuwa akifanya huku tukiona bwana power mabulaNamkumbuka pawa
Walipoanza kujenga maframe ya maduka hapo lugalo ndy nkawaona jamaa hawa hawako seriousUtoto Huo Waache.. Vita vya Leo Siyo Nguvu ni drones tuu
Unajua umezungukwa na nchi ngapi zilizokosa amani na zimejaa waasi na wewe upo hapa unatapika upuuzi bila ya hofu yoyote?Apitie kwenda kufanya Nini boss, Dunia hii ya vita vya drones, Bado makomandoo wanaona sifa kuvunjia mawe kichwani? Tuombe tu isitokee vita maana itakuwa aibu.
I am not in the least bit impressed.
Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo kwangu hayana maana yoyote ile.
View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n
Wanalinda nchi kwa kuvunjiana matofali kichwani? Kazi ya ulinzi sio hisani Bali ni ajira kama zilivyo nyingine. Na huu uoga hapa nchini a.k.a amani haujaletwa na jeshi, bali uko automatically kutokana na uoga wa wananchi wa nchi hii. Usitake kutoa sifa za kijinga. Watu wanataka jeshi libadilike liachane na mambo ya kizamani.Nyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?
Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.
Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.
Hata kupiga hawawezi si yule mwenzao kapigwa hadi kufa na dereva bajaji😂😂😂 alafu wanaleta porojo mara jeshi la sita kwa ubora 😂😂😂 labda ubora wa maigizo huku mtaani mbona gwanda zinavalika kama kawa watu hawaogopi wala nnHii nchi kila kitu kimekaa kimaigizo kuanzia uongozi wa kisiasa mpaka kijeshi.
Jeshi la nchi hii linalochojua ni ubabe wa kupiga watu wanaovaa hata chupi zenye mabaka ya kijeshi na kupiga raia wakidundwa na wao kwa kuchukua wake za watu mitaani.