Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi zile nguvu zenu za Mapolisi wa Wachama, za kupiga virungu Wapinzani bado mnazishabikia?Tunaonesha nguvu zetu.
Hiyo stori ipo humuIle siku ya Nyerere day kuna anko wa kitaa alikua anatupa stori jinsi walivyokwama kwenye machafuko ya Burundi 1994.hii stoty mwisho kuna mambo ya kushangaza kuhusu jeshi letu la JW.
yalikua maroli matatu ya kitanzania na madereva wake wakiwa wanapakia kahawa pembezoni mwa mji flani upo milimani"aliutaja huo mji ila mimi nimeusahau.
ni story ndefu alituhadithia na inamatukio mengi ya kuhuzunisha,kusisimua ila nitahadithia namimi kwa kifupi kwa yale nitakayoyakumbuka.
,,,,,story inaendelea.
Mpumbavu weweJeshi letu linatumia teknolojia mtumba, kwanini hatuwaendelezi wanasayansi wetu kwenye medani ya teknolojia ya silaha za kiviya? Je tungeokoa kiasi gani cha pesa? Je tungeibua vipaji vingapi vinavyofia mtaani?
Kale kakikundi ka Magaidi kalikokuwa kanasumbua huko Msumbiji,Rwanda walikamaliza ndani ya mwezi mmoja tu.kakikundi
IntimidationKuna ile tulisoma kwenye history.. sjui ndo inaitwaje
Sjui ndo hiyo,Intimidation
Kainerugamba Muhoozi & co.Jamaa gani?
Lete mkeka wote. Acha uogaIle siku ya Nyerere day kuna anko wa kitaa alikua anatupa stori jinsi walivyokwama kwenye machafuko ya Burundi 1994.hii stoty mwisho kuna mambo ya kushangaza kuhusu jeshi letu la JW.
yalikua maroli matatu ya kitanzania na madereva wake wakiwa wanapakia kahawa pembezoni mwa mji flani upo milimani"aliutaja huo mji ila mimi nimeusahau.
ni story ndefu alituhadithia na inamatukio mengi ya kuhuzunisha,kusisimua ila nitahadithia namimi kwa kifupi kwa yale nitakayoyakumbuka.
,,,,,story inaendelea.
Imani yangu kwa vyombo vyetu vya ulinzi ni kubwa sana sana.
Kwa mwenye jicho la tatu kuna kitu hapa Jeshi letu pendwa wanafanya ili kuwapa onyo wale jamaa wanaotaka kuleta dharau, safi sana hii.
Mkuu nitag nikaisomeHiyo stori ipo humu
Atapinga mafiiiii Yako?Jeshi letu liko fit sana chini ya mama jemedari amri jeshi mkuu.
Kule Ukraine kikundi cha vijana kisicho wanajeshi kilisaidia siku za mwanzo za uvamizi...Jeshi letu linatumia teknolojia mtumba, kwanini hatuwaendelezi wanasayansi wetu kwenye medani ya teknolojia ya silaha za kiviya? Je tungeokoa kiasi gani cha pesa? Je tungeibua vipaji vingapi vinavyofia mtaani?