JWTZ msifanye makosa DRC, haya ndio yatakuwa madhara yake

mmh
 
Well spoken. Kikubwa maslahi hakuna msaada wa bure siku hizi. Ila assessment muhimu sana kabla ya kuingiza pua zetu Goma. Tujue askari wetu watakufa sana. So tulinganishe faida na hasara. Mwakiborwa arudi kwanza ndo twende hatua inayofuata.
Sidhani km rahisi atakubali hili.
 
Ungekuwa karibu ningekupa offer ya dinner au lunch. Hili jambo ni nyeti na gumu sana tusipojipanga. Tukiendekeza siasa za maji taka za Chadema na CCM wkt Rwanda anajitanua ipo siku atatugeuka na wala sio muda mrefu. Tukumbuke miaka ya karibu wamekuwa wanaingiza mifugo kwenye mapori ya Tanzania na kujifanya wahangaza na wanyambo. Na kisha wanaloea na kuchukua uraia. Niliwahi kusoma gazeti la Rai miaka ya 2000 kuhusu uchambuzi na utafiti wa siri kubwa ya Wanyarwanda Watutsi kuwa na mkakati wa kuitawala Africa ya mashariki, kati na kusini, kijeshi, kiuchumi na kuwaweka watusi kwenye nchi zote kama ilivyo kwa Uganda, Rwanda nk. Mseveni mtusi aliingia madarakani kijeshi, na Kagame the same. Hatuko salama. Tanzania au Kenya hata msumbiji, Zambia, Malawi nk
 
Mauaji ya waafrika ni ujinga na uroho wa Mwafrica alirubuniwa na mzungu.
 
Niliwahi kusoma gazeti la Rai miaka ya 2000 kuhusu uchambuzi na utafiti wa siri kubwa ya Wanyarwanda Watutsi kuwa na mkakati wa kuitawala Africa ya mashariki, kati na kusini
daah gazeti lilikuwa la moto sana hili. Unalisoma gazeti halikuchoshi na ukimaliza haulitupi unaliweka maktaba au sehemu yyote salama kwa rejea ya bdae. daah ule uandishi wa kichunguzi umepotea mazima
 
 
Ngoja tuone
Cc : Tumbili wa mjini
 

Hizi habari za ndugu zetu kushikiliwa ni za kweli au
Kama ni kwa habari ya madereva wameshaachiwa na walisindikizwa na M23 wenyewe.
 
Samahani mkuu nimequote kwa kukuchanganya na comment ya mtu mwingine.
 
Kagame acha kejeli na dhihaka
 
Kwa huu upuuzi unaotokea Goma, kama Rais angekuwa ni JK, muda mrefu angekuwa ameshawadhibiti hao kenge wa M 23! Bahati mbaya ndiyo hivyo tena.
Na hapo ndio utaelewa bayana, tofauti ya mwanamke na mwanaume, maamuzi ya kike na Yale ya kiume, vipaumbele vya mwanamke na vile vya mwanaume n.k n.k
 
Huu ndio ukweli wenyewe, na msema kweli ni mpenzi wa Mungu..mkuu kongole kwa kuuweka ukweli peupe kbs! Tumebaki tunajimwambafai kwa historia zilizopita lkn kiuhalisia, siasa ya sasa ime compromise our military ability and intelligence
 

Inabidi ujue ukweli na lengho sio kufuraisha watu Mungu anatumia mtu mmoja kumaliza tatizo ndio maana nimeweka wazi kuwa ninachokisema ninauakika nacho sio kubahatisha.
Mambo ya teolojia, sayansi ya siasa wala Mungu hayapo huko na mambo ya .Mungu hayafundishwi!
Tatizo kubwa la hizi imani tulizo nazo wala haziendani na ukweli ndio maana huko makanisani mnawaita watu wachungaji, walimu, waijilisti, nitumie na manabii na mnaona ni sawa kabisa.
HATARI sana!!!!
Uliwai jiuliza kwanini Yesu alisema atakuja kunyakua/kuchukua kanisa lake wala sio kuliendeleza???
Unaposoma Biblia penda kujiuliza maswali magumu utagundua mambo mengi na uwezi elewa kitu kama huna Roho Mtakatifu saau.
Amesema waaminio watapewa kuongea lugha nyingine...Angalizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…