JWTZ msifanye makosa DRC, haya ndio yatakuwa madhara yake

JWTZ msifanye makosa DRC, haya ndio yatakuwa madhara yake

Siku zote shetani akimfunga mtu anaweka Walinzi na mlinzi wa kwanza anakuwa mtu mwenyewe akitaka kusaidika anakuwa kama kambale anateleza maneno yanakuwa mengi hili abaki kwenye hilo tatizo.
Ujumbe wangu umeandikwa kwa password kama huna Roho Mtakatifu utausoma kama Torati wakati kuna maana kubwa imeandikwa huko.
Narudia kwa sasa na hata Milele hakuna Taifa linaweza shindana na Tanzania hata wafanye nini. Sasa mtaanza kushuudia kwa macho ya nyama nyie mnaoitaji kuona kwa macho.
Hakuna anayeweza kubadili hilo hata waende wapi it is a done deal.
Asante Yesu.
Tapeli. Umeshtukiwa. Tapeli wewe.
 
Jamaa ni Kanyarwanda kamekuja kujifanya kama intelligensia na namba ya simu kameweka eti kaongee na Rais wetu shenzi

Na hiyo UN inaongozwa na USA
Hili la Congo hata mara moja ungekua ulienda mission moja ya kongo au una ndg wa karibu akakusimulia yanayoendelea kati ya vikosi vya afrika UN na waasi wala msingejifanya political /Military analytical hzo ishu ni mambo ya wakubwa wa dunia wala jwtz haihitajiki
 
Umeongea ukweli mkuu na kadri lwanda itakavyo zidi kuwa kubwa ki intergensia na ki geography ndivyo itakavyo kuwa tishio kwa tz nz East Africa

Kina haja ya tz kufanya Jambo laziada katika hili badara ya kuwa busy na akina tundu
Hapana Tanzania isiingie acheni kuchochea moto, itakuwa ni wastage of resources, wastage of money na wastage of men. Mbona vita ya russia-ukraine wako busy wanabondana na hakuna mtu ameingilia. Kwanini sisi tuwe na kiharoharo cha kuingilia migogoro ya nchi nyingine. Eti kwasababu tunawaogopa/tunawaonea wivu Rwanda.

Mataifa yanayoingiliaga migogoro hivyo ni Imperialist nations (Mabeberu) mmesahau falsafa ya pan-Africanism na itikadi ya Africa wote ni ndugu zangu siyo hizo mambo za ooh atatuzidi yule tumuharibie sijui nini.
 
Unafikiri Tanzania inaweza kwenda peke yake na kutia suluhisho la kudumu?

Kuna Wanyarwanda waliozaliwa DRC, walikuwepo kwenye utawala na jeshi la Kabila Senior baadaye wakafukuzwa. Sio rahisi kuwaua wote, wanaweza kukimbia misituni, Rwanda baadaye wakarudi.

Kwahiyo suluhisho pamoja na kuwa litahusisha jeshi lakini pia political and social, integration ya hawa Wanyarwanda waliozaliwa DRC wenye haki kama Wacongo wengine pamoja na kumbana Kagame, kuimarisha na kulijengea uwezo jeshi la Congo.

Itabidi Kudhibiti jeshi la Rwanda kuingia DRC, lakini pia kuhakikisha wazaliwa wa DRC wenye asili ya Rwanda hawabaguliwi.
Makubaliano na wewe katika hoja hizo lakini Kwanza tukaweke mambo Sawa jeshi letu likatulize hali ya Amani ndipo tuangalie hayo mambo mengine
 
Hili la Congo hata mara moja ungekua ulienda mission moja ya kongo au una ndg wa karibu akakusimulia yanayoendelea kati ya vikosi vya afrika UN na waasi wala msingejifanya political /Military analytical hzo ishu ni mambo ya wakubwa wa dunia wala jwtz haihitajiki
Pamoja na mission za Siri za UN na mataifa mengine Bado tunahitaji kuweka mambo sawa ili Congo itulie na Maisha yaendelee
Halafu hayo mambo mengine e ya maslahi yatafata baadae
 
Hapana Tanzania isiingie acheni kuchochea moto, itakuwa ni wastage of resources, wastage of money na wastage of men. Mbona vita ya russia-ukraine wako busy wanabondana na hakuna mtu ameingilia. Kwanini sisi tuwe na kiharoharo cha kuingilia migogoro ya nchi nyingine. Eti kwasababu tunawaogopa/tunawaonea wivu Rwanda.

Mataifa yanayoingiliaga migogoro hivyo ni Imperialist nations (Mabeberu) mmesahau falsafa ya pan-Africanism na itikadi ya Africa wote ni ndugu zangu siyo hizo mambo za ooh atatuzidi yule tumuharibie sijui nini.
Hakuna undugu kwenye maslahi na kama mtu anatumia vita kujinufaisba Basi vita itumike kumwangamiza
Hakuna plan B kama mtu kanynua siraha
 
Lazima tusiende kwa kubahatisha nimeweka namba mfuate maelekezo piga simu kwa kujua zaidi
Issue hipo wazi Taifa la Tanzania lipo chini ya Uongozi wa Roho Mtakatifu ndio maana ya Rais mwanamke sasa kama wewe utaki kujua sheria za Rohoni tukusaidie je????
Nenda jukwaa la dini hapa sio Mahal pako
 
Hapana Tanzania isiingie acheni kuchochea moto, itakuwa ni wastage of resources, wastage of money na wastage of men. Mbona vita ya russia-ukraine wako busy wanabondana na hakuna mtu ameingilia. Kwanini sisi tuwe na kiharoharo cha kuingilia migogoro ya nchi nyingine. Eti kwasababu tunawaogopa/tunawaonea wivu Rwanda.

Mataifa yanayoingiliaga migogoro hivyo ni Imperialist nations (Mabeberu) mmesahau falsafa ya pan-Africanism na itikadi ya Africa wote ni ndugu zangu siyo hizo mambo za ooh atatuzidi yule tumuharibie sijui nini.
Ninacho zungumzia nikwamba apendaye madaraka hatoshiba madaraka

Leo lwanda Wana taka kulifanya lwanda iwe naeneo mpaka huko goma

Nabaada ya goma wanaitaka kivu mwisho wa siku wataitaka Congo

Sasa je baada ya kuipata congonho mzima hawata itaka Tanzania?

Hapa ndipo tunapo uona umhimu wa kuingilia Jambo hili
 
Hili jambo la Congo linanifikirisha sana tena kwenye mambo matatu!

a) Limepamba moto sana tukiwa tunaandaa mkutano wa Nishati hapa DSM,mpaka siku ya kufanyika kwa mkutano tarehe 27-28 waasi walikuwa wameshafika Goma. Sisi tuko busy na mkutano wa Wakuu wa nchi wa Afrika,Rwanda na M23 wako wanaitaabisha DRC.

Swali langu, kwanini iwe nyakati hizo?

b) Kabla ya mkutano wa Nishati kufanyika hapa DSM,kuna ugonjwa unaosemekana ni 'Marburg' umezuka eneo la Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera,umeua watu,ila inasemakana huu ugonjwa umetokea Rwanda.

Nchi ikawa busy kufuatilia huu ugonjwa,viongozi wengi wa ndani mpaka 'WHO'nao wako huko mpaka leo hii.

Swali langu,je, ni kweli umetokea Rwanda? Je, huko Rwanda huu ugonjwa upo? Na je, kama siyo 'Marburg' ni kirusi gani,na kwanini kitokee Rwanda,kwanini kitokee sasa hivi wakati Rwanda wako 'busy' kuitwaa Goma,wakati sisi tuko 'busy' na mikutano ya chama (CCM),CHADEMA,na NISHATI?

c) Watu wakijaribu kuhoji kwanini Rwanda anaisumbua Congo, kwanini Tanzania isiingilie kati kuwakomboa Wakongo, kwanini JWTZ isiwarudishe nyuma M23?

Angalia majibu kutoka kwa wachangiaji.

1.M23 ni jeshi imara sana Tanzania msiende mtakufa.

2.Kagame ni mzoefu wa vita Tanzania hamumuwezi.

3.Kagame ana Intelijensia kali ,ana silaha kali sana,ana drone ataiteketeza Tanzania na JWTZ.

4.Kwani tukipigwa na kufa lakini tumeikomboa Congo kwa faida kuna shida gani,mnatuonea huruma ya nini? Kwanini ikitajwa Tanzania na JWTZ kwenye mgogoro wa Congo watu mnatahayari? Hivi,Kinyago tulichokichonga wenyewe kinaweza kututisha kweli!?

Swali langu,tunauliza kwanini JWTZ isiwafurushe M23,wanaojiita Watanzania ndivyo wanajibu hivyo, tena wengine hawajui hata Kiswahili vizuri lakini eti nao wanajifanya ni Watanzania.

Kama Rwanda hahusiki, mbona likija jambo la M23 kupigwa anahusishwa Kagame? Kwahiyo Kagame siyo Mnyarwanda ila ni Kiongozi wa M23?

Mtoa hoja nakuunga mkono.Ila naongezea tena tuwe na mipango ya muda mrefu,Burundi awe sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo Zanzibar, halafu tuwe na 'access' ya kuingia Congo pasipokuwa na kuzuizi chochote.

Ahsante.
Mkuu umeleta uchambuzi sahihi Kwa wakati sasa TISS acheni kazi ya uchawa siasa imewalevya kuna mambo yako well programmed yanaendelea nchi inapoteza focus nyie mko bize na chadema
Mambo ya kijinga Sana sisi wazalendo tunahitaji jina Tanzania lirudi katika kilele na vita ya uchumi na vita ya kijeshi zinazoendelea ni lazima tuwe macho
 
Acha kuikuza bongo utadhani iko serious na mambo ya msingi. Nchi inayojua inayopoteza watoto wadogo kama Soka, ni nchi yenye IQ ndogo sana kufikiri mikakati ya Geopoliticia.

Muache Kagame atambe kwa sababu ana akili za kutosha kufanya hivyo.
Kwa sasa mambo haya ya kijinga yanaenda kukomeshwa
Watu ndani ya vyombo wasingependa kundelea na minor issues Kwa Ajili ya siasa zaidi wanaangalia kurudisha reputation ya vyombo vyetu
Wako Wakuu wachache ambao wamebakii na uchawa Ila ni muda sahihi vyombo vyetu virudi njia kuu TPDF msiwaachie nchi TISS itaonekana wao ndio wenye nchi hapana
Au TISS mjirekebishe acheni uchawa tunataka Ku deal na mambo serious Kwa Ajili ya Tanzania
 
Ninacho zungumzia nikwamba apendaye madaraka hatoshiba madaraka

Leo lwanda Wana taka kulifanya lwanda iwe naeneo mpaka huko goma

Nabaada ya goma wanaitaka kivu mwisho wa siku wataitaka Congo

Sasa je baada ya kuipata congonho mzima hawata itaka Tanzania?

Hapa ndipo tunapo uona umhimu wa kuingilia Jambo hili
Chatu hachoki kumeza zaidi atakua nankutaka kikubwa zaidi
Ndio maana tunasisitiza TPDF wasikawie kudhibiti hali hii
 
Umeongea ukweli mkuu na kadri lwanda itakavyo zidi kuwa kubwa ki intergensia na ki geography ndivyo itakavyo kuwa tishio kwa tz nz East Africa

Kina haja ya tz kufanya Jambo laziada

Acha bangi.
Yesu alisema wasamee kwa kuwa hawajui watendalo..
Andika tarehe ya leo for your refference, Taifa la Tanzania kwa sasa na Milele ndio Taifa lenye nguvu Duniani na bado kitambo kidogo mataifa yataanza kusalimu hamri.

Kuanzia leo elewa kuwa shina kubwa la mateso ya kila namna ni kujizalau.....

Bahati mbaya sana natumia nguvu nyingi kuongea lakini sijui ninayemwelimisha kama anaelewa hata??
I wish I can get in your brain and show you the truth about Tanzania utakaa Kimya na kuniomba msamaa.
 
Vita ya DRC imegeuka kutoka kuwa mgogoro wa kijamii hadi mgogoro wa kimaslahi ya ulinzi na uchumi, taifa letu likiwa eastern na southern Africa linapaswa kutambua yafuatayo.

Kama JWTZ haitaingilia Kati mgogoro wa DRC kama ilivyofanya mwaka 2012/13 madhara yake

1. Maeneo ya mashariki ya Congo yatakua chini ya uthibiti wa Rwanda chini ya M23 Kwa asilimia 100%.

2. Rwanda ataendelea kupata uungwaji Mkono wa mataifa wanufaika wa Rasilimali za madini na misitu in favour ya Ku exchange Rasilimali hizo na military items mfano makampuni makubwa yanayotegemea mgogoro kuiba madini Congo in exchange watampatia siraha na aircraft za mana Rwanda ambazo zitamwezesha kuwa dominant wa security east Africa Kwa maana hio kitendo cha kumuacha Rwanda kuiteka DRC ni kitendo cha kumkuza kiuchumi na in exchange kumkuza kijeshi

3. Rwanda kuwa hub ya mineral business Kwa maana ya kwamba Kigali Airport Ku connect na Dubai moja Kwa moja kufanya miji hii kuwa bussy na biashara ya madini Kwa kasi kuliko wakati wowote huku mgogoro ukikuzwa kuendelea ili biashara ziendelee kufanyika.

4. JWTZ inaenda kupoteza geomilitary influence na badala yake Rwanda anaenda kuchukua military influence ya technical skills, ability (siraha hatari) na kandarasi za ulinzi katika maeneo yenye migogoro tunaenda kutengeneza new Israel east Africa ambayo wazungu wataona inafaa kuwaunga mkono.

5. JWTZ itegemee statement yoyote ya kubezwa kutoka jeshi la Rwanda, kama ambavyo Kagame amemjibu Leo Ramaphosa

Afande CDF. Mkunda, Mama yetu yuko bize na Uchaguzi, intelligensia kubwa imeelekezwa kwenye siasa hilo liko wazi, Waziri wako nae ndio hivyo tena Sekta ngumu kama hii wanaleta mwanamama kazi kweli kweli, visingizio vitakua vingi

Hivyo nakushauri utumie ushawishi wako wakikushinda yupo Rais Jk, Mwamunyange, Mwakibolwa watume washawishi vijana waruhusiwe waingie kazini lakini tuwe na makubaliano yenye maslahi ya kiuchumi na DRC katika mgogoro huu.

Pia jeshi letu lisiwe tena chini ya command ya south Africa whether ni SADC au MUNUSCO tujitegemee bila kuwa chini yao bali tufanya exchange ya intelligence tuu katika operation zetu, jeshi la south Africa kwenye filed ni lelemama, hawawezi kitu dominate ati sababu wana technology wakati application ni zero

Nawasilisha:
Tanzania ijenge military base mashariki mwa DRC, Tanzania inapaswa kulinda maslahi yake DRC kwa wivu mkubwa.

Lengo la Kagame yawezekana ni kubwa kuliko kuiba madini tu yawezekana anataka kumega kabisa sehemu ya DRC.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hawa Wacongoman sijawahi kuwaelewa , wamekaa kimama sana kutwa kwenye vioo kujichubua ona sasa M23 wanavyowapelekea moto.

Yaani hawawezi pigana kwa maslahi ya nchi yao mpaka wategemee majeshi washirika, hovyo sana hawa wacongoman.

Wao ni starehe tu mala Paris Sijui Belgium kumbe bure tu.
 
Back
Top Bottom