JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

Jeshi la Wapumbavu....
Tuongee ukweli, hizi mbung'o zikiamka asubuhi zinafanya nini zaidi ya kufagia uwanja wa kwata na zingine zenye vyeo vya kati kufuatilia ni menu gani iko kambini...
Zile mbung'o za captain na kwenda juu nini kupiga soga mchana kutwa....
Mpaka wale kanali na luteni kanali ni wazugaji wakubwa kambini....
Nimesoma shule ya jeshi na na nilikuwa mtoro wakuzunguka kambini siku nzima
Hizi mbung'o hakuna wanachofanya
 
Jeshi la Wapumbavu....
Tuongee ukweli, hizi mbung'o zikiamka asubuhi zinafanya nini zaidi ya kufagia uwanja wa kwata na zingine zenye vyeo vya kati kufuatilia ni menu gani iko kambini...
Zile mbung'o za captain na kwenda juu nini kupiga soga mchana kutwa....
Mpaka wale kanali na luteni kanali ni wazugaji wakubwa kambini....
Nimesoma shule ya jeshi na na nilikuwa mtoro wakuzunguka kambini siku nzima
Hizi mbung'o hakuna wanachofanya
Wapo tayari kuilinda mipaka na nchi kiujumla Sasa kama hakuna vita unataka wafanye nn
 
Uhakika mwamba mie mwenyewe op samia suluh nimefanya usahili mara 3 lakin majina yanayo kuja ni ya watu wa uraiani aise.inauma sana kwa yeyote anaejua nini maana ya service man/girl wa kujitolea yan tumefanya kazi nyingi mno za kuzalisha halafu wala hatuonekqni dah haina umuhimu wa mafunzo ya jkt navo ona mie
 
Uhakika mwamba mie mwenyewe op samia suluh nimefanya usahili mara 3 lakin majina yanayo kuja ni ya watu wa uraiani aise.inauma sana kwa yeyote anaejua nini maana ya service man/girl wa kujitolea yan tumefanya kazi nyingi mno za kuzalisha halafu wala hatuonekqni dah haina umuhimu wa mafunzo ya jkt navo ona mie
Hao wa uraiani wanakuwa hawajapitia JAKATA?
 
Ivi kati ya sifa za kujiunga na jeshi la wananchi, je ni lazima kijana awe amepata mafunzo Jeshi la kujenga taifa au.. ?
Naomba mnipe somo kidogo
 
Ivi kati ya sifa za kujiunga na jeshi la wananchi, je ni lazima kijana awe amepata mafunzo Jeshi la kujenga taifa au.. ?
Naomba mnipe somo kidogo
Nadhani sio lazima awe amepitia kwenye mafunzo ya jkt kulingana na sifa za uandikishaji zilizoandikwa kwenye blog ya jwtz... ila kwenye matangazo ya kutuma maombi hiyo wanaweka ni Moja ya kigezo
 
Ivi kati ya sifa za kujiunga na jeshi la wananchi, je ni lazima kijana awe amepata mafunzo Jeshi la kujenga taifa au.. ?
Naomba mnipe somo kidogo
Vigezo kutoka katika blog ya jwtz
IMG_20231120_063239.jpg
 
Back
Top Bottom