Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Hahaha waongo wamekufanyia nn tenaHakuna watu waongo na wababaishaji kama Jw ,halafu wanasema ni top 6 ya majeshi bora duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha waongo wamekufanyia nn tenaHakuna watu waongo na wababaishaji kama Jw ,halafu wanasema ni top 6 ya majeshi bora duniani
Mkuu vipi tena?,wamekupiga ndoige au?.Hakuna watu waongo na wababaishaji kama Jw ,halafu wanasema ni top 6 ya majeshi bora duniani
mimi hawananifanya kituHahaha waongo wamekufanyia nn tena
hapana,kwani hamuoni walitangaza nafasi na hamna kitu kilifanyika mnashuhudia tuu watu wanamalizaMkuu vipi tena?,wamekupiga ndoige au?.
Hahaha Hilo linaeleweka kuwa bila connection hatutoboihapana,kwani hamuoni walitangaza nafasi na hamna kitu kilifanyika mnashuhudia tuu watu wanamaliza
Kinaendelea nini mkuu?In processes
Ewaaaa... [emoji393]In processes
[emoji23][emoji23] kwanzia kesho mpka tarehe 14 usipoitwa ndo ushaachwa ivompka wakuu wale xmass kwanza
Una maana gani chief?[emoji23][emoji23] kwanzia kesho mpka tarehe 14 usipoitwa ndo ushaachwa ivo
be cool kijana hujazoea tuu hizi lonja[emoji28]Una maana gani chief?
Hizi lonja acha tu kmmk[emoji28]be cool kijana hujazoea tuu hizi lonja[emoji28]
[emoji1787]maana yake ndoige itakuwa imempiga panapo uma DadeqiiiUna maana gani chief?
hahaha ngoja tuone Mimi sisemi kitu ila kwanzia Leo mpaka 14 ujue umepigwa ndoige"[emoji23][emoji23] kwanzia kesho mpka tarehe 14 usipoitwa ndo ushaachwa ivo"
Una maana watu washaanza kupigiwa simu?[emoji28]
hahahaa amna ishu inaendeleahahaha ngoja tuone Mimi sisemi kitu ila kwanzia Leo mpaka 14 ujue umepigwa ndoige