Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,914
- 3,386
Afande G. Mkunda
Ni muda wako wa kulinda historia na heshima ya muda mrefu iliyowekwa na watangulizi wako
Yanayoendelea DRC hatuwezi kuyaacha yaendelee, Sisi kama MABABU wa ulinzi na ukombozi katika ukanda wa east na south Africa ni fedheha kuona mgogoro huu unaendelea na Sisi tumekaa tuu bila kuchukua hatua.
Pamoja na madhaifu mengi ya jeshi la Congo, inahitaji hatua ya dharura kuokoa maisha ya watu wanaokufa bila hatia na safari hii tuende kimkakati zaidi
1. Kuwe na Mkataba wa muda mrefu wa ulinzi eneo lote lenye mgogoro -kivu, goma nk liwe chini ya ulinzi wa majeshi ya Tanzania Kwa makubaliano maalumu.
2. JWTZ iweke military base katika maeneo hayo.
3. JWTZ ifanye kandarasi ya Ku reshape jeshi la Congo ili Kuwa stabilize jeshi la Congo.
Endapo makubaliano hayo yatafikiwa basi Afande utakua umeweka historia na kudumisha yaliyofanywa na G.
Mwamunyange, akisaidiwa na Wazee wa kazi chafu B.G Mwakibolwa na Lt.G Mella
Licha za faida kiuchumi tutakazopata bado tunahitaji heshima yetu, wananchi wa Congo wanaimani kuwa JWTZ itawakomboa kutoka mkononi wa waasi.
Afande ni muda wako wa kulinda heshima na maslahi ya Tanzania DRC
Ni muda wako wa kulinda historia na heshima ya muda mrefu iliyowekwa na watangulizi wako
Yanayoendelea DRC hatuwezi kuyaacha yaendelee, Sisi kama MABABU wa ulinzi na ukombozi katika ukanda wa east na south Africa ni fedheha kuona mgogoro huu unaendelea na Sisi tumekaa tuu bila kuchukua hatua.
Pamoja na madhaifu mengi ya jeshi la Congo, inahitaji hatua ya dharura kuokoa maisha ya watu wanaokufa bila hatia na safari hii tuende kimkakati zaidi
1. Kuwe na Mkataba wa muda mrefu wa ulinzi eneo lote lenye mgogoro -kivu, goma nk liwe chini ya ulinzi wa majeshi ya Tanzania Kwa makubaliano maalumu.
2. JWTZ iweke military base katika maeneo hayo.
3. JWTZ ifanye kandarasi ya Ku reshape jeshi la Congo ili Kuwa stabilize jeshi la Congo.
Endapo makubaliano hayo yatafikiwa basi Afande utakua umeweka historia na kudumisha yaliyofanywa na G.
Mwamunyange, akisaidiwa na Wazee wa kazi chafu B.G Mwakibolwa na Lt.G Mella
Licha za faida kiuchumi tutakazopata bado tunahitaji heshima yetu, wananchi wa Congo wanaimani kuwa JWTZ itawakomboa kutoka mkononi wa waasi.
Afande ni muda wako wa kulinda heshima na maslahi ya Tanzania DRC