JWTZ, tulindieni heshima yetu yalindeni maslahi yetu DRC-Congo

JWTZ, tulindieni heshima yetu yalindeni maslahi yetu DRC-Congo

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Afande G. Mkunda

Ni muda wako wa kulinda historia na heshima ya muda mrefu iliyowekwa na watangulizi wako

Yanayoendelea DRC hatuwezi kuyaacha yaendelee, Sisi kama MABABU wa ulinzi na ukombozi katika ukanda wa east na south Africa ni fedheha kuona mgogoro huu unaendelea na Sisi tumekaa tuu bila kuchukua hatua.

Pamoja na madhaifu mengi ya jeshi la Congo, inahitaji hatua ya dharura kuokoa maisha ya watu wanaokufa bila hatia na safari hii tuende kimkakati zaidi

1. Kuwe na Mkataba wa muda mrefu wa ulinzi eneo lote lenye mgogoro -kivu, goma nk liwe chini ya ulinzi wa majeshi ya Tanzania Kwa makubaliano maalumu.

2. JWTZ iweke military base katika maeneo hayo.

3. JWTZ ifanye kandarasi ya Ku reshape jeshi la Congo ili Kuwa stabilize jeshi la Congo.

Endapo makubaliano hayo yatafikiwa basi Afande utakua umeweka historia na kudumisha yaliyofanywa na G.

Mwamunyange, akisaidiwa na Wazee wa kazi chafu B.G Mwakibolwa na Lt.G Mella

Licha za faida kiuchumi tutakazopata bado tunahitaji heshima yetu, wananchi wa Congo wanaimani kuwa JWTZ itawakomboa kutoka mkononi wa waasi.

Afande ni muda wako wa kulinda heshima na maslahi ya Tanzania DRC
 
Afande G. Mkunda

Ni muda wako wa kulinda historia na heshima ya muda mrefu iliyowekwa na watangulizi wako

Yanayoendelea DRC hatuwezi kuyaacha yaendelee, Sisi kama MABABU wa ulinzi na ukombozi katika ukanda wa east na south Africa ni fedheha kuona mgogoro huu unaendelea na Sisi tumekaa tuu bila kuchukua hatua.

Pamoja na madhaifu mengi ya jeshi la Congo, inahitaji hatua ya dharura kuokoa maisha ya watu wanaokufa bila hatia na safari hii tuende kimkakati zaidi

1. Kuwe na Mkataba wa muda mrefu wa ulinzi eneo lote lenye mgogoro -kivu, goma nk liwe chini ya ulinzi wa majeshi ya Tanzania Kwa makubaliano maalumu.

2. JWTZ iweke military base katika maeneo hayo.

3. JWTZ ifanye kandarasi ya Ku reshape jeshi la Congo ili Kuwa stabilize jeshi la Congo.

Endapo makubaliano hayo yatafikiwa basi Afande utakua umeweka historia na kudumisha yaliyofanywa na G.

Mwamunyange, akisaidiwa na Wazee wa kazi chafu B.G Mwakibolwa na Lt.G Mella

Licha za faida kiuchumi tutakazopata bado tunahitaji heshima yetu, wananchi wa Congo wanaimani kuwa JWTZ itawakomboa kutoka mkononi wa waasi.

Afande ni muda wako wa kulinda heshima na maslahi ya Tanzania DRC
Naunga mkono endapo huo mgogoro Una maslahi na Nchi yetu, Otherwise tuwe makini tusije kuteketeza Askari wetu huko bure
 
Enzi za kusaidia watu wengine for free nadhani tumwachie Hayati Nyerere.
Kwa sasa kwa sababu tulishaona jinsi tulivyocheleweshwa sababu ya vita ya ukombozi wa ndugu zetu wa kusini mwa Afrika, ni wakati wa kuingia makubaliano maalum na serikali ya DRC, tuwasaidie lakini watupe raslimali za kuendeleza nchi yetu pia kama malipo ya kazi ya kuwasaidia kiulinzi.
Haiwezekani Tanzania iendelee kuwa chini tu siku zote kwa sababu ya usamaria wema!
 
Tukiwasaidia wao wanatulipa nini?.
Tumefanya sana haya mambo zama za Nyerere, watu wetu wengi wakafa, tukatumia rasirimali zetu lakini hakuna hata mmoja anayekumbuka haya.

DRC wana migodi kila mahala na hakuna vita Kinshasa inachukua tu Kodi, nini inafanya kulinda mipaka yake hasa maeneo ya mashariki, kuwa na askari imara wenye kulipwa vizuri, wenye vifaa vya kisasa, nk.
Wakubwa wapo Kinshasa, Lubumbashi na Kisangani wanakula maisha tu halafu JWTZ iende ikatumie resources za watanzania.
 
Tukiwasaidia wao wanatulipa nini?.
Tumefanya sana haya mambo zama za Nyerere, watu wetu wengi wakafa, tukatumia rasirimali zetu lakini hakuna hata mmoja anayekumbuka haya.

DRC wana migodi kila mahala na hakuna vita Kinshasa inachukua tu Kodi, nini inafanya kulinda mipaka yake hasa maeneo ya mashariki, kuwa na askari imara wenye kulipwa vizuri, wenye vifaa vya kisasa, nk.
Wakubwa wapo Kinshasa, Lubumbashi na Kisangani wanakula maisha tu halafu JWTZ iende ikatumie resources za watanzania.

Wamatumbi hawa hawa watarudi kulalamika kwanini TZ imeenda vitani wakati ina changamoto nyingi nyumbani za kutatua.
 
Wanasaidiwa ila what next watz wanauliwa na wakongo wanaibiwa ilo unajua?

Pili kumbuka wanapoenda kule kuna kufa kupona dont think kwamba serikali inafurahia kila siku kuzika askari wao pasipo na sababu zozote mtu unatakiwa kufa kwaajili ya nchi yako na sio nchi ya watu wengine

Askari wanaenda kwa kuwaokoa hao hao wanawageuka na kuwaangamiza wanaacha familia zao zikiteseka bila uwepo wa baba
 
Afande G. Mkunda

Ni muda wako wa kulinda historia na heshima ya muda mrefu iliyowekwa na watangulizi wako

Yanayoendelea DRC hatuwezi kuyaacha yaendelee, Sisi kama MABABU wa ulinzi na ukombozi katika ukanda wa east na south Africa ni fedheha kuona mgogoro huu unaendelea na Sisi tumekaa tuu bila kuchukua hatua.

Pamoja na madhaifu mengi ya jeshi la Congo, inahitaji hatua ya dharura kuokoa maisha ya watu wanaokufa bila hatia na safari hii tuende kimkakati zaidi

1. Kuwe na Mkataba wa muda mrefu wa ulinzi eneo lote lenye mgogoro -kivu, goma nk liwe chini ya ulinzi wa majeshi ya Tanzania Kwa makubaliano maalumu.

2. JWTZ iweke military base katika maeneo hayo.

3. JWTZ ifanye kandarasi ya Ku reshape jeshi la Congo ili Kuwa stabilize jeshi la Congo.

Endapo makubaliano hayo yatafikiwa basi Afande utakua umeweka historia na kudumisha yaliyofanywa na G.

Mwamunyange, akisaidiwa na Wazee wa kazi chafu B.G Mwakibolwa na Lt.G Mella

Licha za faida kiuchumi tutakazopata bado tunahitaji heshima yetu, wananchi wa Congo wanaimani kuwa JWTZ itawakomboa kutoka mkononi wa waasi.

Afande ni muda wako wa kulinda heshima na maslahi ya Tanzania DRC
Asante kwa kuunga mkono wazo hili.

Natumai watalifanyia kazi kwa maslahi mapana ya kiuchumi.
 
Si kila siku kuoeleka majeshi mbele tu migogoro myengine utakoki bunduki mpk uote sugu nakupoteza muda na uhai wa watu!, huu mgogoro wawatafute mapapa wanaofadhiri hao M23 wakimalizwa hao mchezo kwisha!.
 
wacha wajilambe.. sema ki abby kizuru mwenyewe nakitamani halafu mtoto mboga saba nini...😅
Kingine kuhusu abby..
Mpaka sasa ajafikisha wanaume wanne kumnyonyoa ..
Just imagine unakitu kitu kipo very elasticity mkuu
Just imagine
 
Back
Top Bottom