JWTZ, tulindieni heshima yetu yalindeni maslahi yetu DRC-Congo

JWTZ, tulindieni heshima yetu yalindeni maslahi yetu DRC-Congo

Enzi za kusaidia watu wengine for free nadhani tumwachie Hayati Nyerere.
Kwa sasa kwa sababu tulishaona jinsi tulivyocheleweshwa sababu ya vita ya ukombozi wa ndugu zetu wa kusini mwa Afrika, ni wakati wa kuingia makubaliano maalum na serikali ya DRC, tuwasaidie lakini watupe raslimali za kuendeleza nchi yetu pia kama malipo ya kazi ya kuwasaidia kiulinzi.
Haiwezekani Tanzania iendelee kuwa chini tu siku zote kwa sababu ya usamaria wema!

Na wengi tuliowasaidia hawajui wala kukumbuka mchango wetu wao wanawajua Nkrumah na Mandela tu although they did absolutely nothing for them.

Mubage aliandika kitabu kinaitwa Asante Mwalimu - The unsung hero of Africa. Mchango wa mwalimu unasahaulika pamoja na kujitolea kote. Hatutaki kurudi huko.

Screenshot 2025-01-29 075334.png
 
Kingine kuhusu abby..
Mpaka sasa ajafikisha wanaume wanne kumnyonyoa ..
Just imagine unakitu kitu kipo very elasticity mkuu
Just imagine
Mkuu we mmbea sana unajua mpk idadi...🤣
sasa tembo kaingia kati the bulldozer nyama itasoma kilometers zakutosha sasa!..
 
Na wengi tuliowasaidia hawajui wala kukumbuka mchango wetu wao wanawajua Nkrumah na Mandela tu although they did absolutely nothing for them.

Mubage aliandika kitabu akakiita Asante Mwalimu - The unsung hero of Africa. Mchango wa mwalimu unasahaulika pamoja na kujitolea kote. Hatutaki kurudi huko.

View attachment 3217662
Nyerere alikuwa mjinga.

Hakuangalia maslahi ya Tanzania kwenye negotiations zake na nchi husika.

A way foward now ni kufanya haya kwa kuzingatia maslahi yetu ya kiuchumi.
 
Hawatuhusu sie tunaenda kuwasaidia na kutengeneza maslahi yetu ya kiuchumi

Maslahi yapo Congo tu?

Our biggest trading partner is Kenya na nchi za kusini kwanini msiimarishe uhusiano huko?

Mmemaliza ku maximize potential za fursa zingine viwanda, madini, utalii, usafiri, kilimo nk?

Kuacha fursa zingine na kuiwaza Congo kimaslahi ni ufinyu wa akili bora hata mseme for solely humanitarian courses.
 
Hili ni la muhimu sana, kuyaacha hayo makundi yanayofadhiliwa na nchi jirani yatambe eneo la mashariki ya DRC, ambalo ni eneo jirani na nchi yetu, ukizingatia DRC ni nchi ambayo tuna maslahi nayo ya kiuchumi na kijamii, ni dharau na fedheha kwa nchi......naamini jeshi letu liko timamu kulinda mipaka na maslahi mapana ya taifa letu.
 
Mkuu we mmbea sana unajua mpk idadi...🤣
sasa tembo kaingia kati the bulldozer nyama itasoma kilometers zakutosha sasa!..
Alafu abby anakwambia amependa nywele tuu zile kama mizizi..

Mkuu just imagine katoto kama kale upo nae tano kwa saba..
Na kalivyo na sauti ahahahaha aiseeee

Staki niongee sana ngoja turudi kongo
 
Afande G. Mkunda

Ni muda wako wa kulinda historia na heshima ya muda mrefu iliyowekwa na watangulizi wako

Yanayoendelea DRC hatuwezi kuyaacha yaendelee, Sisi kama MABABU wa ulinzi na ukombozi katika ukanda wa east na south Africa ni fedheha kuona mgogoro huu unaendelea na Sisi tumekaa tuu bila kuchukua hatua.

Pamoja na madhaifu mengi ya jeshi la Congo, inahitaji hatua ya dharura kuokoa maisha ya watu wanaokufa bila hatia na safari hii tuende kimkakati zaidi

1. Kuwe na Mkataba wa muda mrefu wa ulinzi eneo lote lenye mgogoro -kivu, goma nk liwe chini ya ulinzi wa majeshi ya Tanzania Kwa makubaliano maalumu.

2. JWTZ iweke military base katika maeneo hayo.

3. JWTZ ifanye kandarasi ya Ku reshape jeshi la Congo ili Kuwa stabilize jeshi la Congo.

Endapo makubaliano hayo yatafikiwa basi Afande utakua umeweka historia na kudumisha yaliyofanywa na G.

Mwamunyange, akisaidiwa na Wazee wa kazi chafu B.G Mwakibolwa na Lt.G Mella

Licha za faida kiuchumi tutakazopata bado tunahitaji heshima yetu, wananchi wa Congo wanaimani kuwa JWTZ itawakomboa kutoka mkononi wa waasi.

Afande ni muda wako wa kulinda heshima na maslahi ya Tanzania DRC
Jeshi letu liliwahi kutoa mafunzo jeshi la Uganda, Namibia, Rwanda, Afrika kusini nk ni wazo zuri kwa Congo pia
 
Maslahi yapo Congo tu?

Our biggest trading partner is Kenya na nchi za kusini kwanini msiimarishe uhusiano huko?

Mmemaliza ku maximize potential za fursa zingine viwanda, madini, utalii, usafiri, kilimo nk?

Kuacha fursa zingine na kuiwaza Congo kimaslahi ni ufinyu wa akili bora hata mseme for solely humanitarian courses.
Kenya ni trading partner kiuwekezaji as wao ndo wanaongoza kwa uwekezaji kwetu

Congo ni biggest partner wetu kwa upande wa Cargo transit as yeye ndo nchi inayoongoza kea kupitisha mizigo yake kupitia Bandari zetu.

Alafu kuna shida gani tukiweka nguvu kwenye fursa zote ikiwemo Congo. Au unaumia Rwanda mtakosa mkate wenu?
 
Naunga mkono hoja,inabidi tushirikiane na Congo kulinda amani ndani ya congo.Pia sisi Tz tuchangamkie fursa zilizopo Congo siyo wajinga wanatoka mbali kuja kuiba Congo.
 
Kenya ni trading partner kiuwekezaji as wao ndo wanaongoza kwa uwekezaji kwetu

Congo ni biggest partner wetu kwa upande wa Cargo transit as yeye ndo nchi inayoongoza kea kupitisha mizigo yake kupitia Bandari zetu.

Alafu kuna shida gani tukiweka nguvu kwenye fursa zote ikiwemo Congo. Au unaumia Rwanda mtakosa mkate wenu?

TZ inaongoza kuwekeza Kenya kwa sasa ji update.


Last yr kampuni ya TZ imenunua kiwanda cha cement Kenya for more than 180M USD. Bado project ya LPG ya Rostam. TZ exports more to Kenya than imports.

Screenshot 2025-01-29 083131.png
 
Usipojipambania wewe mwenyewe kupata chakula, hakuna jirani atakayekuletea chakula ule wewe na mke wako mpate nguvu za kuzagamuana
 
Sehemu iliyokuwa imebakia Goma Airport nayo imekamatwa na Congolese Rebels M23 sasa ni saa ya mazungumzo ya amani ya kudumu Mashariki ya Kongo.

Serikali ya DRC ikae chini na Waasi waongee sisi tuwakaribishe Arusha.
 
H
Sehemu iliyokuwa imebakia Goma Airport nayo imekamatwa na Congolese Rebels M23 sasa ni saa ya mazungumzo ya amani ya kudumu Mashariki ya Kongo.

Serikali ya DRC ikae chini na Waasi waongee sisi tuwakaribishe Arusha.
HIvi kati ya Drc na m23 nani huwa anavunja makubaliano na kusababisha vita kulipuka?
 
H
HIvi kati ya Drc na m23 nani huwa anavunja makubaliano na kusababisha vita kulipuka?
Serikali ya Congo waoga kinoma noma km waliweza kuwaua wale vijana 200+ wasio na silaha wanashindwaje kuwamaliza hawa?
 
Alafu abby anakwambia amependa nywele tuu zile kama mizizi..

Mkuu just imagine katoto kama kale upo nae tano kwa saba..
Na kalivyo na sauti ahahahaha aiseeee

Staki niongee sana ngoja turudi kongo
🤣
 
TZ inaongoza kuwekeza Kenya kwa sasa ji update.


Last yr kampuni ya TZ imenunua kiwanda cha cement Kenya for more than 180M USD. Bado project ya LPG ya Rostam. TZ exports more to Kenya than imports.

View attachment 3217681
Sasa kuna tofauti gani na hoja yangu. Partnership ya biashara between Tz na Kenya ni Uwekezaji.

Partnership ya biashara between Tz na Congo ni usafirishaji wa Bidhaa


Hujaelewa nini?
 
Back
Top Bottom