Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazani hili liko kwenye process sizani kama Tshekedi atapuuza katika kipindi ambapo Rwanda kamzidi kimbinuNi humu humu nimewahi kuandika uzi miaka minne iliyopita kuwa kandarasi ya kuwamaliza M23 na wenzao ipewe JWTZ tu bila kuwachqnganya na wengine. Ni kazi ya mwezi mmoja tu. Siyo kuwatimuq bali kuwaua.
Umenena vema.Wakongo waweke mzigo mezani au watupe mgodi mmoja wakati wanajeshi wetu wanasaidia, wengine wanachimba madini na ya kuyarudisha home..!!
Miaka hii hakuna cha bure, enzi za mwalimu zilishapita..!! Ss hivi kila mtu ashinde mechi zake.!!
Mimi ningeshauri afande afanye kila liwezekanalo alinde heshima ya Tz ndani ya Tz tusije tukafikia hali waliyo nayo wacongo..Afande G. Mkunda
Ni muda wako wa kulinda historia na heshima ya muda mrefu iliyowekwa na watangulizi wako
Yanayoendelea DRC hatuwezi kuyaacha yaendelee, Sisi kama MABABU wa ulinzi na ukombozi katika ukanda wa east na south Africa ni fedheha kuona mgogoro huu unaendelea na Sisi tumekaa tuu bila kuchukua hatua.
Pamoja na madhaifu mengi ya jeshi la Congo, inahitaji hatua ya dharura kuokoa maisha ya watu wanaokufa bila hatia na safari hii tuende kimkakati zaidi
1. Kuwe na Mkataba wa muda mrefu wa ulinzi eneo lote lenye mgogoro -kivu, goma nk liwe chini ya ulinzi wa majeshi ya Tanzania Kwa makubaliano maalumu.
2. JWTZ iweke military base katika maeneo hayo.
3. JWTZ ifanye kandarasi ya Ku reshape jeshi la Congo ili Kuwa stabilize jeshi la Congo.
Endapo makubaliano hayo yatafikiwa basi Afande utakua umeweka historia na kudumisha yaliyofanywa na G.
Mwamunyange, akisaidiwa na Wazee wa kazi chafu B.G Mwakibolwa na Lt.G Mella
Licha za faida kiuchumi tutakazopata bado tunahitaji heshima yetu, wananchi wa Congo wanaimani kuwa JWTZ itawakomboa kutoka mkononi wa waasi.
Afande ni muda wako wa kulinda heshima na maslahi ya Tanzania DRC
Ukikua utaelewa bado storage yako imejaa stori za vijiweniUnawajua JWTZ ww au unasikia barabarani ..?
Mimi hapa naweza kuchangia mawili:Afande G. Mkunda
Ni muda wako wa kulinda historia na heshima ya muda mrefu iliyowekwa na watangulizi wako
Yanayoendelea DRC hatuwezi kuyaacha yaendelee, Sisi kama MABABU wa ulinzi na ukombozi katika ukanda wa east na south Africa ni fedheha kuona mgogoro huu unaendelea na Sisi tumekaa tuu bila kuchukua hatua.
Pamoja na madhaifu mengi ya jeshi la Congo, inahitaji hatua ya dharura kuokoa maisha ya watu wanaokufa bila hatia na safari hii tuende kimkakati zaidi
1. Kuwe na Mkataba wa muda mrefu wa ulinzi eneo lote lenye mgogoro -kivu, goma nk liwe chini ya ulinzi wa majeshi ya Tanzania Kwa makubaliano maalumu.
2. JWTZ iweke military base katika maeneo hayo.
3. JWTZ ifanye kandarasi ya Ku reshape jeshi la Congo ili Kuwa stabilize jeshi la Congo.
Endapo makubaliano hayo yatafikiwa basi Afande utakua umeweka historia na kudumisha yaliyofanywa na G.
Mwamunyange, akisaidiwa na Wazee wa kazi chafu B.G Mwakibolwa na Lt.G Mella
Licha za faida kiuchumi tutakazopata bado tunahitaji heshima yetu, wananchi wa Congo wanaimani kuwa JWTZ itawakomboa kutoka mkononi wa waasi.
Afande ni muda wako wa kulinda heshima na maslahi ya Tanzania DRC
Kuna watu wanadhani vita ni kama mechi. Congo kuna wezi wakubwa, na hizo M23 na FDLR zipo, lakini uzito upo kwingine. M23 mnadhani ina ubavu wa kumtumbua Chirimwami au Omega!?Mimi ningeshauri afande afanye kila liwezekanalo alinde heshima ya Tz ndani ya Tz tusije tukafikia hali waliyo nayo wacongo..
Wewe uliwaona wapi!? Wana nini wanachotumia wengine hawana!? Wana mwili gani usioingia lisasi? Wana ujinga gani wa kuingia vita bila sababu? TZ na yo ni serikali, member wa UN. Na japo UN ya mchongo, ila ina masharti inayofuata, usidhani inajiingiza kimhemuko tu.Unawajua JWTZ ww au unasikia barabarani ..?
Hivi nikuulize, M23 ni kina nani!? Na wanatafuta nini!?Ni humu humu nimewahi kuandika uzi miaka minne iliyopita kuwa kandarasi ya kuwamaliza M23 na wenzao ipewe JWTZ tu bila kuwachqnganya na wengine. Ni kazi ya mwezi mmoja tu. Siyo kuwatimuq bali kuwaua.
Umeongea point. Hapo mnapotaka kunyang’anya M23 migodi, na yenyewe inailinda kwa masrahi ya wengine. Ni wekeni mezani mtupe hiki na hiki, mzigo wenu upo. So, mnachowaza JWTZ ipewe, kuna na wengine wanapewa hicho hicho. Je, wapo tayari kupoteza!? Kama mlifatilia, kuna case ya Kampuni ya Apple kutumia madini kutoka DRC, na huku ilikatazwa. Ukija kufatilia huo mlolongo,utagundua kitu. Wenye masrahi DRC ni wengi.Wakongo waweke mzigo mezani au watupe mgodi mmoja wakati wanajeshi wetu wanasaidia, wengine wanachimba madini na ya kuyarudisha home..!!
Miaka hii hakuna cha bure, enzi za mwalimu zilishapita..!! Ss hivi kila mtu ashinde mechi zake.!!
JWTZ kama iko vizuri isikubali kupigana vita visivyo na maslahi, majeshi yote duniani yanapigana kwa maslahi..!!Umeongea point. Hapo mnapotaka kunyang’anya M23 migodi, na yenyewe inailinda kwa masrahi ya wengine. Ni wekeni mezani mtupe hiki na hiki, mzigo wenu upo. So, mnachowaza JWTZ ipewe, kuna na wengine wanapewa hicho hicho. Je, wapo tayari kupoteza!? Kama mlifatilia, kuna case ya Kampuni ya Apple kutumia madini kutoka DRC, na huku ilikatazwa. Ukija kufatilia huo mlolongo,utagundua kitu. Wenye masrahi DRC ni wengi.
Juzi kwenye mkutano wa UN, mkuu wa MONUSCO Bintou Keita, alisema kwamba Rwanda inatumia GPS jamming system, inayosababisha MONUSCO washindwe kutekeleza majukumu yao.
Je, hiyo mifumo Rwanda imeitoa wapi? Unadhani aliongopa!? Na mpaka Rwanda aweze kujam hizo system, UN unadhani kampuni ya kibongo!? Kuna mikono ya watu wengi sana tena wazito.
Wale wanajeshi ni nguvu kazi ya taifa, sasa kupeleka wanajeshi wetu kwenye uwanja wa vita bila maslahi huo ni uwendawazimu.!!Umenena vema.
Kama huna cha kutulipa bora upigike tu🤣
😹😹😹 Yeaahhhh.!!Safi sana, akili kama hizi ndo zinahitajika.
Hakuna kuoneana aibu
Watoto wadogo wanahimili mishindo iseeHarmonize naskia anatoka na abby chamsi wakuu...
Hi mnazungumziaje
Mkuu JKT Bado hawajakomaa ki medani Kwa asilimia chache wanaweza kuchukuliwa ila sio Kwa wingiJeshi la akiba ndo lende kongo , kila mwaka JKT wakila ugali bure, waende wajue medani za vita, hii ni pomoja na Wabunge wote walioenda jkt kipindi flani