moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 142,674 Reaction score 743,909 Jan 30, 2025 #101 Lamomy said: Wale wanajeshi ni nguvu kazi ya taifa, sasa kupeleka wanajeshi wetu kwenye uwanja wa vita bila maslahi huo ni uwendawazimu.!! Tushajua kinachogombaniwa mali, sasa kwanini na sisi tusiweke masharti yetu ili tufaidike km wengine?? Click to expand... Kabisa. Wakongomani wenyewe wamekaa zao Kinshasa, Lubumbashi, Karemie, Uvira na Kisangani wanakula bata ila Tanzania ikamwage damu kwa faida yao!!! Hii haiwezekani. Kama hawawezi kuweka mzigo mezani wapotezwe tu.
Lamomy said: Wale wanajeshi ni nguvu kazi ya taifa, sasa kupeleka wanajeshi wetu kwenye uwanja wa vita bila maslahi huo ni uwendawazimu.!! Tushajua kinachogombaniwa mali, sasa kwanini na sisi tusiweke masharti yetu ili tufaidike km wengine?? Click to expand... Kabisa. Wakongomani wenyewe wamekaa zao Kinshasa, Lubumbashi, Karemie, Uvira na Kisangani wanakula bata ila Tanzania ikamwage damu kwa faida yao!!! Hii haiwezekani. Kama hawawezi kuweka mzigo mezani wapotezwe tu.