JWTZ: Tunamsaka aliyesema tumeongezewa Mshahara

atafutwe ashikishwe adabu, wamekuja mpaka jeshini? Wamezoea uzushi pumbavu kabisa
 
Wasiishie TAT tu, wapitie pitie na hapa JF, kuna wapotoshaji wengi sana.
 
Mwenye hiyo media mwenyewe yupo Urusi kwa Putin ambae wanamuunga mkono sijui itakuwaje sasa
Yuko Japan jinsi location feature inavyofanya kazi kwenye Twitter? Soma hii tweet yake ya zamani. 👇
 

Attachments

  • IMG_0715.png
    13.5 KB · Views: 7
Labda wameongezwa na DP WORLD! Kapata Zembwela na Kitenge sembuse wao
 
Jeshi halijui wajibu wake hadi aibu,badala ya kudeal na mambo ya maana linadeal na mahovyo hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…