Samvurah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 532
- 515
Very simple !Jeshi la Polisi ni moja ya majeshi yenye laana na lisilopendwa na wananchi.Umeonhea ujinga sana kesho gani lisilo pendwa na raia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very simple !Jeshi la Polisi ni moja ya majeshi yenye laana na lisilopendwa na wananchi.Umeonhea ujinga sana kesho gani lisilo pendwa na raia
Wamaanisha wale wapinda nondo na wavunja tufali kwa ngumi na wabeba mabegi mazita tu mgongoni?Kwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania.
Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ.
Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao.
Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara na wanaweza.
Majeshi mengine Yajifunze kitu..Watu walilipuka kwa Miruzi na Makofi.
Dosari: Ndogo Ndogo kutokana hulka ya mtu binafsi isiwekwe hapa. Ila mi nimetazama Upendo wa Raia kwa Jeshi Lao kiujumla.
sio kuonyesha,ni kuoneshaKwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania.
Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ.
Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao.
Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara na wanaweza.
Majeshi mengine Yajifunze kitu..Watu walilipuka kwa Miruzi na Makofi.
Dosari: Ndogo Ndogo kutokana hulka ya mtu binafsi isiwekwe hapa. Ila mi nimetazama Upendo wa Raia kwa Jeshi Lao kiujumla.
kiboko yao ni M23 wakipelekwa kongo kulinda amani wanarudishw kivingineNaunga mkono hoja hawa watu wanamisimamo sana ni moja ya taasisi iliotulia sana Tanzania
Majeshi yote iwe police, prison, nidhamu ndio msingi wa kazi,Si kwamba hawana direct mission, ila kwenye mafunzo yao nidhamu ni nguzo, they dont play around ukikosa nidhamu. Is why wale wanao bahatika kwenda mafunzo advanced wanatoka humble.
Majeshi mengine haswa lele la khaki on otherside dispite kuwa in contact na raia mafunzo yao ni kitu kingine, it all about ubabe, raia ni kama second citizen
Yes but jeshi la wananchi ni zaidi. Wao kukufukuza kwa utovu wa nidham rahisi mno. Forces zingine wanateteana sanaMajeshi yote iwe police, prison, nidhamu ndio msingi wa kazi,
Hata kwa police kufukuzwa kazi ni rahisi sana,Yes but jeshi la wananchi ni zaidi. Wao kukufukuza kwa utovu wa nidham rahisi mno. Forces zingine wanateteana sana
Jwtz wako so professionals, siwasifii i know them, walinipiga kozi back in the day
Unajidanganya kuwa jeshi halitumiki siyo? Hujui dunia wewe!Kama wanakubali kutumika ni kwa upumbavu wao. Kwanini ccm isilitumie Jeshi kama inaweza? Jibu ni rahisi tu Jeshini hapaingiliki kizembe na chombo kinaogopwa sana.
hakuna chembe ya unafiki hapo ni ukweli mtu,Naona kama una tunafikia bana sisi na wanajeshi wetu..
😂😂😂😂
Kisa mmewazoea sanaVery simple !Jeshi la Polisi ni moja ya majeshi yenye laana na lisilopendwa na wananchi.
Sio raisi kiivyo kuna makosa jeshini husamehewi kama vile wizi unafukuzwa uku unazomewa kabisaYes but jeshi la wananchi ni zaidi. Wao kukufukuza kwa utovu wa nidham rahisi mno. Forces zingine wanateteana sana
Jwtz wako so professionals, siwasifii i know them, walinipiga kozi back in the day
Hell to the big no my man, although sikupita mafunzo yao, but i have my friends, ndugu wako humo. Sisemi wote ni wabaya no kuna beat performing officers na askari ila mostly kuna hawa madudu wanayo yafanya , wangekuwa jwtz wangekuwa out long time. Kama si kuteteana sana na kubebanaHata kwa police kufukuzwa kazi ni rahisi sana,
Ww umeona wizi? Kuna makosa mengine makubwa tena unafuluzwa kwa aibu. Unawekwa kwenye ubao wa notisiSio raisi kiivyo kuna makosa jeshini husamehewi kama vile wizi unafukuzwa uku unazomewa kabisa
Af makosa mengine yanasameheka mkuu wizi husamehewi na kutembea na mke wa mtu
ha ha ha a wewe utakuwa policeKwasababu hawana direct mission na raia, hata wao mngewachukia vibaya sana kama mnavyowachukia Polisi.
Najua ila wizi jeshi ni kosa ambalo halina msamahaWw umeona wizi? Kuna makosa mengine makubwa tena unafuluzwa kwa aibu. Unawekwa kwenye ubao wa notisi
Kingereza hakina neno monitress acha ujingaKwasababu kazi yao haiwakutanishi na raia moja kwa moja , wengine majukumu yao ni kudeal na wahalifu wa ndani kwahiyo lazima wachukiwe kama ulivyokua unamchukia Monitor na monitress darasani
Wajeda mbona watu poa sana mkuu...hakuna chembe ya unafiki hapo ni ukweli mtu,
ile habari ya kukuta gwanda mtumbani halafu mnajipa moyo, ati ooh sijui hii imepauka haina soo, ooh haina shida wala noma n.k n.k...
my friend,
tupendane tu na tusiingiliane kwenye rada na nyara za serikali tafadhali 🐒