K-Lyinn azindua duka la kifahari nchini - Amorette


Hapo kwenye...''hiyo inaitwa beauty with brain'' ...umenikumbusha maneno ya yule rais Mkongwe barani Africa kwamba....''When a beautiful woman fail to use her brain her private parts suffers most''...hahaaa huyu mzee ana kauli tata sanaa...
 
Jack hakuwa mtulivu hata kidogo..sema tu umepata alichotaka..ashachapwa sana na mtoto wa kingunge na wengine wengi...sasa hv ndio amepata alichokuwa anatafuta. Imebid atulie
 
Binamu bana...

Kikanisa sio halali...

Kisheria halali


Mdomo komaaaaa...mil 7 usawa huu [emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
 
Waliachana mke alikuwa mtata yule mama dah iko siku alimfukuza mzee akatoka nduki akaruka ukuta wa nyumba hata geti hakuliona.
Alimfanya nini mkewe?

Mpaka kiruka ukuta ujue alikuwa na soo

Hahaha
 
Hili jambo nami hujiuliza sana, Mengi alikua hakufunga ndoa au more money less masharti ya kiimani n vice versa?

Mengi na huyo jack wake wamefunga ndoa ya kibomani na sio ya kanisani, sasa hapo imani inaingiaje?
 
Reactions: MC7
Mtt Mashaalaah uyu kwa bed

Yan anakupa ile kitu Unacho staili

Hakup unacho kitaka
[emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mengi na huyo jack wake wamefunga ndoa ya kibomani na sio ya kanisani, sasa hapo imani inaingiaje?
Mi mwenyewe nashangaa mkuu kuna watu wana judge wenzao kuhusu imani wakati wao wenyewe ni wazinz mbwa sasa imani ya mtu ikusaidie nn kwa mfano
 
Yupo Machame Nkwarungo

Kajitulia zake na lile limjumba pale la maana

Kufukuzana hataki si unajua tena ndugu zangu wamachame wakishapata nyumba na friji wameridhika

No stress
Hahaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]a akishapata nyumba na nini????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…