K-Lyinn azindua duka la kifahari nchini - Amorette

Habari zao mpaka Ununue Business Times,The Guardian utawakuta kwenye economic Forums..........sasa wewe ukijiloga ukanunua ''Wikienda''.......Ni Habari za ............. na vigodoro.
Hahahahaa hao wengine wamedominate kwenye magazeti ya kuwashia kuni.
 
-->>NI VYEMA ANGEANZISHA TAASISI YA KIFEDHA YA UKOPESHAJI,UKIZINGATIA HALI YA SASA NI NGUMU KWA KILA MTU./ AU AANZISHE A LARGER BONDS FACILITIES" KAMA ULAYA WITH A HUGE GODOWN./
Hata wewe unaweza kukimbilia fursa na kutuanzishia hata DECI hivii n.k
 
Mke wa kwanza wa Mengi alifariki 2006 na kuzikwa nyumbani kwa mengi machame kilimanjaro.
 
Hao uliowataja malezi yao yako tofauti!!
Nancy ana elimu
Faraja ana elimu.
Hoyce ana elimu
Nasreen ana elimu but sina hakika km ni degree
Jack ameassociate na wenye elimu

Pesa IPO lazima ajitambue
 
Katimiza msemo tukiwezeshwa tunaweza...angefungua kabla ya kuwa na babu ningempata big up ila kwa hili tunafundisha mabinti kuwa whore ...I ain't saying she a gold digger
But she ain't messin with no Broke niggas... Kanye west
Ngekewa hiyoo!!

Kadanga sana pale Kilimanjaro[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
huyu mwanamke hana kampani ya ajabu yaani njia moja ya kufanikiwa [HASHTAG]#keep[/HASHTAG] the circle small hana new friends wale wale tena wenye mawazo ya mafanikio....
 
Odemba na millen wamefanya nini zaidi ya kugawa vyandarua vilivyotiwa dawa na malapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…