BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Tena wamemuona kafanya la maana...Kuna watu wana nyota ya kutosemwa yani hii couple ingekuwa bi couple nyingine age difference na ndoa ya mzee ya awali basi ingesemwa hatari.
Lakini ajabu kwao kila mtu anamsifia k lyn
Mkuu hao wadada wanakukwaza sana? Nahis umetumia neno zito sanaZile mbumbu zao zinapiga kazi daladala cha mtoto
Hahahahaa hao wengine wamedominate kwenye magazeti ya kuwashia kuni.Habari zao mpaka Ununue Business Times,The Guardian utawakuta kwenye economic Forums..........sasa wewe ukijiloga ukanunua ''Wikienda''.......Ni Habari za ............. na vigodoro.
Wametengana mda sana!Mke wa kwanza wa Mengi yupo wapi?au alikuwa bado hajaoa!
Hata wewe unaweza kukimbilia fursa na kutuanzishia hata DECI hivii n.k-->>NI VYEMA ANGEANZISHA TAASISI YA KIFEDHA YA UKOPESHAJI,UKIZINGATIA HALI YA SASA NI NGUMU KWA KILA MTU./ AU AANZISHE A LARGER BONDS FACILITIES" KAMA ULAYA WITH A HUGE GODOWN./
Wameachana mda sana kabla Rodney hajafaHili jambo nami hujiuliza sana, Mengi alikua hakufunga ndoa au more money less masharti ya kiimani n vice versa?
The most risky business to do, don't ever go into it-->>NI VYEMA ANGEANZISHA TAASISI YA KIFEDHA YA UKOPESHAJI,UKIZINGATIA HALI YA SASA NI NGUMU KWA KILA MTU./ AU AANZISHE A LARGER BONDS FACILITIES" KAMA ULAYA WITH A HUGE GODOWN./
***Mshauri mke wako anzishe hiyo taasisi!
Hali ikirudi kwenye mstari hiyo taasisi atamkopesha nani pesa-->>NI VYEMA ANGEANZISHA TAASISI YA KIFEDHA YA UKOPESHAJI,UKIZINGATIA HALI YA SASA NI NGUMU KWA KILA MTU./ AU AANZISHE A LARGER BONDS FACILITIES" KAMA ULAYA WITH A HUGE GODOWN./
Hahahaaa we jivunie tu pangaboy lako mwenzio anayo automatic AC kuanzia kwenye Gari mpaka garden.mafas yetu sasa vijana wa viuno panga boi maana kishaanza kutoka nje mzee atabak ndani
Kumbe hata kinyesi kinaweza kuwa kitu cha kuvutia inategemea kakinya naniTena wamemuona kafanya la maana...
Hao uliowataja malezi yao yako tofauti!!yaani achatu ndugu yangu,sasa hapa bongo mtu kuwa celebrity anaona kasha maliza dunia yote,nambaya zaidi hawa jifunzi kwa walio fail before..!!Hawa wadada kina Nancy,Kline,Faraja,Hoyce walitumia urembo kama means yakufanikisha harakati zao achana na hawa wanao shinda kwenye mabar,inst kukaa uchi nakubadilisha shape wanasahau kuwa umri unaenda alafu wamesahau sura zao wamezitunza kwa mkorogo na maplastic surgery!!nawaone huruma sana
***The most risky business to do, don't ever go into it
Umeona eeeh!K- Lyn ana zari sana, alikuwa keshaingia kwenye mtego kama akina Wema sema akashtuka kikubwa!
Ngekewa hiyoo!!Katimiza msemo tukiwezeshwa tunaweza...angefungua kabla ya kuwa na babu ningempata big up ila kwa hili tunafundisha mabinti kuwa whore ...I ain't saying she a gold digger
But she ain't messin with no Broke niggas... Kanye west
huyu mwanamke hana kampani ya ajabu yaani njia moja ya kufanikiwa [HASHTAG]#keep[/HASHTAG] the circle small hana new friends wale wale tena wenye mawazo ya mafanikio....Aliyewahi kuwa miss Tanzania mwaka 2000, Jackline Ntuyabaliwe maarufu kama K-Lynn au bosslady ambaye pia ni mke halali wa billionea na mfanyabiashara maarufu nchini bwana Reginald Mengi, hivi karibuni amefungua duka lake jipya la FURNITURE 'Amorette" lenye brand yake ambapo atakuwa anauza furniture mbalimbali za nyumbani pamoja na mambo ya interior decorations.
View attachment 401358
Odemba na millen wamefanya nini zaidi ya kugawa vyandarua vilivyotiwa dawa na malapa?huyu dada kapata bingo tu.. na kajua kulitumia danga vizuri..
lakini yeye na kina mwafulani ndo wale wale..
angefanya kwa pesa zake kama kina odemba au millen tunge muelewa lakini huyo baba ni sponser kwake !
ambacho katufundisha ni kukamatia danga na kutulia kulichuna haswa.
Kweli yule bimkubwa ni mtata sanaSeriously?