Hahaha! Nitaona,Nime sema reserve IPO, of you cross a certain line kwa zaidi km 1.
Sometimes ni ku hype hype tu, na kuhusu urabu sija wahi tumia 😂🤣
for real ulabu, sigara, drugs Kama heroine Sina wahi na sioni niki jaribu.Hahaha! Nitaona,
Hufai kuishi huku mvomero/lo ..sijui kuiandika nisameheee,bila ulabu utageuka barafu,mapafu yanahitaji moto.
Nshafika mkuu. Ngoja niipitie mada.YoungPastor, EMMYGUY tudunde hapa
Madam nzuri Sana hii, hope uta toa hoja zako pia.Nshafika mkuu. Ngoja niipitie mada.
NaamMwanaume haliilii na kuhemka hovyo.
Naam uko sahihi mkuuWanaume wa siku hizi wanalizwa na mapenzi na sio Upambanaji.
Masculinity inaongozwa na akili, misimamo, heshima mipaka na malengo.Masculinity ndiyo uanaume wako.
Nimeipata hii mkuu.why imfanye Mungu ajisikie proud kwamba amekuweka hai hadi leo.Acha kukubali kuendeshwa na hisia.
Kaka ulikuwa ghosted nini??Nimeipata hii mkuu.
Hee!!!Aisee! Sina hayo madude😂
Bonge ya point....Niongeze jambo hapo mkubwa
Ukitaka maisha yako yakunyookee, usiogope kuwa strict katika mambo yote ya msingi bila ya kuvunja sheria za nchi. Kamwe! Usitake kusifiwa kwa kuwapendeza watu ili hali unafahamu dhahir kabisa madhara yatakayokutokea baada ya muda fulani.
Achana na mambo ya kujifanya uonekane ni gud person. Do what is always right.
SahihiBonge ya point....