Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Hapana kwa kweli..Huja funga zile suna?
Hicho ni kipaji cha kuzaliwa ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kwa kweli..Huja funga zile suna?
Hahaha, dom zabibu Bei gani siku hizi??Hapana kwa kweli..
Hicho ni kipaji cha kuzaliwa ππππ
Yap, forever I mean no malice to nobodyYou genuinely mean no malice to nobody.
Pamoja sana mkuuLeo nimetoka kuwaza hivyo hivyo kama ulichoandika
Naaam naamkwamba uta Rudi asili yako ya porini, mr kubwa la manusuππ€£
Nmeelewa wakuu wa kayaKubwa la manusu a.k.a nusu albinoo ume sikia π€£π Half american
Kubwa la manusu niaje π€πNaaam naam
Allright Mr kubwa la manusu πNmeelewa wakuu wa kaya
Yo brotherI see you bro CAPTORHINOMORPHS
Makini bro niaje?Kubwa la manusu niaje π€π
Barida kabisa, jah ana bless, so tuna ibuka Huku kufanya messyMakini bro niaje?
Hope you are doing fine bro!Yo brother
una weza ukawa sahihi mkuu, kwa kuwa kila mmoja ana Uhuru na nafasi ya kutoa maoni.Mleta thread ni mhuni tu,mvuta bangi.
Unavyojitetea sasa...!π€£una weza ukawa sahihi mkuu, kwa kuwa kila mmoja ana Uhuru na nafasi ya kutoa maoni.
Ila kiukweli siko katika hayo uliyo yasema hapo, mi ni mmoja Kati ya watu wema na wastaarabu Sana.
Wanao nijua personal Wana Elewa.
I mean no malice to nobody
Hahaha, hapana ni ukubwa tu, these days Mimi sio bingwa wa vita (japo Nina reserve hiyo, π€£).Unavyojitetea sasa...!π€£
Unanifurahisha sana ukionewa kidogo huchelewi kufungua risala hapa.
Kwema lakini mdogo wangu?
Hizo ni mbwembwe tu, Ipo siku nitathibitisha kama si kupitia mimi basi hata watu wengine watakukorofisha ,ikiwa haya usemayo yatatekelezwa basi nitasema umekua kijana .Hahaha, hapana ni ukubwa tu, these days Mimi sio bingwa wa vita (japo Nina reserve hiyo, π€£).
Niko poa kabisa, sijui wewe huko?
Nime sema reserve IPO, of you cross a certain line kwa zaidi km 1.Hizo ni mbwembwe tu, Ipo siku nitathibitisha kama si kupitia mimi basi hata watu wengine watakukorofisha ,ikiwa haya usemayo yatatekelezwa basi nitasema umekua kijana .
Karibu ulabu π»,baridi ni kali mno..!