Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #21
pamoja sana mkuu, enzi zile jando ili saidia Sana.Umemaliza na huo ndio uanaume wenyewe .Hapo kwenye kuongoza familia na mke si lelema .Natamani kungekua na mafunzo ya watu kuelewa uanaume ni nini.
Kwani we ni mshkaji kichizi?Intelligent businessman Shadow7 Half american Poor Brain Oya kweli washikaji hisia za mbwa zinatucost sana wana
Ushaharibu hali ya hewa. This is men's special threadIntelligent businessman Shadow7 Half american Poor Brain Oya kweli washikaji hisia za mbwa zinatucost sana wana
Una fata uki jua nyama, kumbe kinyesi tu😀.Intelligent businessman Shadow7 Half american Poor Brain Oya kweli washikaji hisia za mbwa zinatucost sana wana
Huenda upo sahihi mkuu mkudaFor real hakuna ufalme katika Hilo, uta zunguka mwisho utaona you were deeply wrong.
Noma Sana, Mr kubwa la manusu.Huenda upo sahihi mkuu mkuda
Kwani we ni mshkaji kichizi?
Ushaharibu hali ya hewa. This is men's special thread
Nimeleta vinywaji tu ningepiga hodi mngekataa kufungua, Kikao chema mkija mje na mambo ya maana otherwise wembe ni ule ule😀.Una fata uki jua nyama, kumbe kinyesi tu😀.
Uo wembe tutauvunja ngoja kikao kiishe.Nimeleta vinywaji tu ningepiga hodi mngekataa kufungua, Kikao chema mkija mje na mambo ya maana otherwise wembe ni ule ule😀.
Ni kweli watoto wanalelewa kimama sana .Mimi mwenyewe hivi karibuni ndio nimeanza kuelewa nini maana ya kuwa Mwanaume na bado najifundisha.pamoja sana mkuu, enzi zile jando ili saidia Sana.
Siku hizi mambo yame badilika, so watu wana ishi kimachale tu.
Hakuna noma mkuuda, hata wewe upunguze matumizi ya hisia, ulikua mahabusu ya jf kwa sababu ya kushindwa kuzidhibiti hisia zako.Noma Sana, Mr kubwa la manusu.
sawa, USI sahau kuvaa abaya😆Nimeleta vinywaji tu ningepiga hodi mngekataa kufungua, Kikao chema mkija mje na mambo ya maana otherwise wembe ni ule ule😀.
Ni kweli kubwa la manusu, i usually take things too personal.Hakuna noma mkuuda, hata wewe upunguze matumizi ya hisia, ulikua mahabusu ya jf kwa sababu ya kushindwa kuzidhibiti hisia zako.
Sidhani hata kukata salad, Kama huyo Fake P ana jua 😆Fake P inafaa uwe huku Jukwaa la Mapishi
Ni kweli mkuu, being a man ni Jambo linalo hitaji kujibtoa kweli kweli.Ni kweli watoto wanalelewa kimama sana .Mimi mwenyewe hivi karibuni ndio nimeanza kuelewa nini maana ya kuwa Mwanaume na bado najifundisha.
Jipe somo rudia kuusoma huu uzi wako unakuhusu sana ili ubadilike.Ni kweli kubwa la manusu, i usually take things too personal.