Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu huyu Half american ndo anaendekeza sana mahisiaIntelligent businessman Shadow7 Half american Poor Brain Oya kweli washikaji hisia za mbwa zinatucost sana wana
Hata wewe, uta kusaidia kuwa kubwa la manusu vizuriJipe somo rudia kuusoma huu uzi wako unakuhusu sana ili ubadilike.
Utasikia fyoko, Kama vile kala kaa la Moto 😄Nilitaka nimpose ila yeye kutwa masilaha tu😂
Mimi hisia ni za maigizo tu ila uhalisia natumia akili sana baada ya kupigwa na heavy thing.Hata wewe, uta kusaidia kuwa kubwa la manusu vizuri
We muite kubwa la manusu au nusu albino Half americanAlafu huyu Half american ndo anaendekeza sana mahisia
Kitu gani kili kukuta Mr kubwa la manusu.Mimi hisia ni za maigizo tu ila uhalisia natumia akili sana baada ya kupigwa na heavy thing.
Why is she passing between my interview? Why? I hate you😂😂🙌 in TID voiceUtasikia fyoko, Kama vile kala kaa la Moto 😄
You're absolutely right broSome peoole think uanazme ni kuvaa suruali...it goes beyond that
Aisee🤣😄Why is she passing between my interview? Why? I hate you😂😂🙌 in TID voice
Tudili na mada hiyo ni mada ya siku nyingine. Experience ni mwalimu mzuriKitu gani kili kukuta Mr kubwa la manusu.
Sema ili vijana waji funze.Tudili na mada hiyo ni mada ya siku nyingine. Experience ni mwalimu mzuri
Kuna vitu uwezi kujifunza bila kupitia, hasa hilo la hisia.Sema ili vijana waji funze.
Ahahahahahahaha Half american kubwa la makubwa na nusu.....We muite kubwa la manusu au nusu albino Half american
Naam chotara la kichinaAhahahahahahaha Half american kubwa la makubwa na nusu.....
Albino
oya ngoja nije niku nunulie dodoma wine utulie 😊🤓Agenda ya kikao imekua mmi tena?😂😂 😂😂 hisia zimewashinda tayari
Umeniwahi. Siku ile hisia zilimzidia mpaka aka-mean malice to everybody na kuvuka mipaka. Ajabu sasa hata waliojitolea kumkanya nao hakuwasikiliza. Hisia!Hakuna noma mkuuda, hata wewe upunguze matumizi ya hisia, ulikua mahabusu ya jf kwa sababu ya kushindwa kuzidhibiti hisia zako.