Kwenu nyie maCcm ambao hamtaki ukweli mtasema an atumika.Huyu mtusi anatumika vibaya na siku wanaomtumia wakimchoka sijui atakimbilia wapi
Lakini ukweli umejulikana. Yuko wapi Magufuli? Kulikuwa na mtu wa kumfanya chochote?Biswalo hawezi kufanywa chochote na Kabendera anapoteza mda tu.
Huelewi kinachoendelea TanzaniaWatusi kwa kujipendekeza hawajabo. Teuzi inatafutwa hapo.
Kwa nini iwe leo na si kipindi kile?
MkuuHuelewi kinachoendelea Tanzania
Sio Rais wa Tz tu . hizi Nchi zetu Africa [emoji288] Zina Marais wenye miguvu Mikubwa zid ya watawaliwa.Wakiamua kumfanyizia watamfanyizia tu hakuna cha siri wala nini. Kwangu mimi nadhani Samia ana huruma fulani hivi ndiyo maana hawakamii sana. Mbona Magufui alikuwa ana-terrorize nchi yote na hakuna aliyekuwa na ubavu wa kusema chochote? Ogopa nguvu alizonazo rais wa Tanzania, na ndiyo maana watu tunataka katiba ibadilike ASAP.
Kwenu nyie maCcm ambao hamtaki ukweli mtasema an atumika.
Ila ukweli uko wazi Magu alikuwa muuaji na jambazi.
Subirini watu wateme nyongo. Mlizowea vya kunyonga sasa subirini tule vya kuchinja.
Pumbavu kabisa!Kusoma hujui hata picha huoni?
Ficha ujinga wako!Watusi kwa kujipendekeza hawajabo. Teuzi inatafutwa hapo.
Kwa nini iwe leo na si kipindi kile?
Yule alikuwa shetani katika maumbile ya binadamu.Yule marehemu hakuwa mtu mzuri Hakika, Tunamshukuru Mungu.
Masalia ya Mhutu mna shida sanaBiswalo hawezi kufanywa chochote na Kabendera anapoteza mda tu.
Kuna uongo gani kuwa mwendazake alikua na genge la uhalifu?Huyu mtusi anatumika vibaya na siku wanaomtumia wakimchoka sijui atakimbilia wapi
Hana ukweli huyo sana sana anataka kulipa kisasi tu.Lakini ukweli umejulikana. Yuko wapi Magufuli? Kulikuwa na mtu wa kumfanya chochote?
Mhhh, Tuweke akiba ya maneno mkuu- kuna vitu vinafanyika hata havikudhaniwa.Biswalo hawezi kufanywa chochote na Kabendera anapoteza mda tu.
Uwendawazimu huanza kama hivyo unavyopitia. Wenzio wanajadili hoja, wewe unaropoka chochote kilicho karibu na kinywa chako. Kafanye uchunguzi wa afya ya akili haraka ili kujiridhisha kuwa unayoyaenena hayana uhusiano na maradhi ya akili.Kusoma hujui hata picha huoni?